Serikali boresheni mishahara ya Walimu wa nchi hii

Serikali boresheni mishahara ya Walimu wa nchi hii

Nikupige kamba ili iweje ??

Kwa hiyo kwenye UALIMU hakuna daraja la kwanza au la pili ?? HUNA AKILI KABISA.!

Au aliyekwambia kwamba walimu wote ni failure alikupotosha.

Na hii dharau yako ni kutokana na maslahi mabovu ya Walimu.
One labla za HKL sio za PCB au PCM..na hata zikiwepo ni chache sana..

Kwanini tusiongee uhalisia?.
 
Nenda kaangalie upya TGHS zipo zote pale wala sio Siri.

Serikalini Watumishi huanza na D1 hizo zingine ni madaraja na specialist View attachment 2586471

Hapa sio kweli

Niko kada ya afya

Bachelor wanaanza na TGHS C kama manesi, makatibu wa afya, laboratory etc

Except
Pharmacy hawa ni TGHS D
madaktari TGHS E
 
Hawana umoja laiti wangekuwa na ushirikiano Sasa hivi mambo Yao yangekuwa yanatazamwa
 
Amani iwe juu yenu nyote.

Mwalimu wa Nchi hii nadhani ametengenezewa UMASKINI kuanzia anaajiliwa mpaka anastafu. Kwanza ni watu wanaotoka kaya Maskini bado akiajiliwa anaishi kwenye umaskini akistaafu bado anakutana na KIKOKOTOO.

Mwalimu akiajiriwa anaanza na mshahara wa TGTS D1 (SANAA) 771,000/= na SAYANSI ni 750,000/= na hawa ni wa Degree Moja.

Hapo Mwalimu alipe kodi ya nyumba, Maji , Umeme, asomeshe, Ale, ahudumie familia na wengine ukoo Mzima. Bado mnataka avae apendeze kama kada zingine.

Mwalimu ili apande daraja afikie TGTS E1 basi itamchukua miaka 4 mpaka 5 nayo inategemeana na Rais wa wakati huo. (SIASA).

Hivi ni kwa nini daktari umlipe TGHS D1 (1270000) tofauti ya laki tano na mwalimu wa Degree na yeye ana degree wakati wengine walisoma wote hadi F6?

Walimu ndio nguzo ya Taifa, Taifa bora linatokana na raia wake walioelimika vizuri kwa kuwa na Walimu bora.

HAKUNA WALIMU BORA BILA MASLAHI BORA.

UALIMU ni vile tu umebebwa sana na watoto wa maskini ila SIO kazi ya kufanya.

Mwalimu hana House allowance, hana perdiem, hana extra duty, hana overtime bado awe mtumishi bora, Watu wanafanya bora liende tu.

Serikali waangalieni Walimu kwa jicho la pekee kama mnataka Taifa liwe bora.

Serikali haishindwi kuhudumia vizuri walimu 250,000+ (Msingi 170,000+ na sekondari 89,000+ huku walimu wa masomo ya Sayansi na hisabati wakiwa 23,000+)

Sio haki eti Mwalimu wa Degree kufikia Mshahara wa 1280,000 ambao ni TGTS F1 ni mpaka akae kazini miaka 8 - 10+ BADO TUNATAKA TAIFA LILILOELIMIKA?

INATIA UCHUNGU SANA, WANASIASA MMEJIWEKEA MASLAHI BORA SANA ILA WATUMISHI MKAAMUA KUWAPA KIKOKOTOO.

WATZ NI KWA NINI TUMEKUBALI MBUNGE MIAKA 5 APEWE MILIONI 270+ HALAFU MTUMISHI APEWE MILIONI 40+ KWA MIAKA 30 - 40 YA UTUMISHI?

TAIFA HILI LINA LAANA WALLAH.
Amani iwe juu yenu nyote.

Mwalimu wa Nchi hii nadhani ametengenezewa UMASKINI kuanzia anaajiliwa mpaka anastafu. Kwanza ni watu wanaotoka kaya Maskini bado akiajiliwa anaishi kwenye umaskini akistaafu bado anakutana na KIKOKOTOO.

Mwalimu akiajiriwa anaanza na mshahara wa TGTS D1 (SANAA) 771,000/= na SAYANSI ni 750,000/= na hawa ni wa Degree Moja.

Hapo Mwalimu alipe kodi ya nyumba, Maji , Umeme, asomeshe, Ale, ahudumie familia na wengine ukoo Mzima. Bado mnataka avae apendeze kama kada zingine.

Mwalimu ili apande daraja afikie TGTS E1 basi itamchukua miaka 4 mpaka 5 nayo inategemeana na Rais wa wakati huo. (SIASA).

Hivi ni kwa nini daktari umlipe TGHS D1 (1270000) tofauti ya laki tano na mwalimu wa Degree na yeye ana degree wakati wengine walisoma wote hadi F6?

Walimu ndio nguzo ya Taifa, Taifa bora linatokana na raia wake walioelimika vizuri kwa kuwa na Walimu bora.

HAKUNA WALIMU BORA BILA MASLAHI BORA.

UALIMU ni vile tu umebebwa sana na watoto wa maskini ila SIO kazi ya kufanya.

Mwalimu hana House allowance, hana perdiem, hana extra duty, hana overtime bado awe mtumishi bora, Watu wanafanya bora liende tu.

Serikali waangalieni Walimu kwa jicho la pekee kama mnataka Taifa liwe bora.

Serikali haishindwi kuhudumia vizuri walimu 250,000+ (Msingi 170,000+ na sekondari 89,000+ huku walimu wa masomo ya Sayansi na hisabati wakiwa 23,000+)

Sio haki eti Mwalimu wa Degree kufikia Mshahara wa 1280,000 ambao ni TGTS F1 ni mpaka akae kazini miaka 8 - 10+ BADO TUNATAKA TAIFA LILILOELIMIKA?

INATIA UCHUNGU SANA, WANASIASA MMEJIWEKEA MASLAHI BORA SANA ILA WATUMISHI MKAAMUA KUWAPA KIKOKOTOO.

WATZ NI KWA NINI TUMEKUBALI MBUNGE MIAKA 5 APEWE MILIONI 270+ HALAFU MTUMISHI APEWE MILIONI 40+ KWA MIAKA 30 - 40 YA UTUMISHI?

TAIFA HILI LINA LAANA WALLAH.
Walimu na CCM ni Pete na kidole. Uchawa wenu kwa hilo genge utawagharimu sana.
 
One labla za HKL sio za PCB au PCM..na hata zikiwepo ni chache sana..

Kwanini tusiongee uhalisia?.
Sasa hao walimu wa Sayansi Nchi nzima wapo 23,000 kati ya Walimu 250,000+ hivi hizo one za PCB na PCM nyingi zitatoka wapi ??

Na O level wengi Wana one Kali sana tu labla A' level ndio kuna two chache na three ndio nyingi.

ILA KUMBUKA KUNA MADAKTARI WA D MBILI O LEVEL WENGI TU SIKU HIZI.
 
Nipo kada ya afya

Hio D1 ni mfamasia
E1 daktari bachelor
Sasa hilo gap nalo ni la nini tena ? Wakati mpaka mwaka wa kwanza chuo wamesoma pamoja !!?? At least ingekuwa laki moja au hata na nusu.

DUUH MWALIMU ITAMCHUKUA MIAKA 15 KUFIKIA HUO MSHAHARA AMBAO NI TGTS G1
 
Unawaongezaje mshahara watu wasio zalisha alafu ni wengi? Hizo hela za kuwaongeza zinatoka mfuko gani. Elimu ingekua inauzwa hapo walikua na haki ya kupewa mshahara mkubwa.
Hivi una watoto ambao wapo shule lakini ?? Hivi unajua umuhimu wa Mwalimu kwenye Taifa lolote Duniani!!?
 
Amani iwe juu yenu nyote.

Mwalimu wa Nchi hii nadhani ametengenezewa UMASKINI kuanzia anaajiliwa mpaka anastafu. Kwanza ni watu wanaotoka kaya Maskini bado akiajiliwa anaishi kwenye umaskini akistaafu bado anakutana na KIKOKOTOO.

Mwalimu akiajiriwa anaanza na mshahara wa TGTS D1 (SANAA) 771,000/= na SAYANSI ni 750,000/= na hawa ni wa Degree Moja.

Hapo Mwalimu alipe kodi ya nyumba, Maji , Umeme, asomeshe, Ale, ahudumie familia na wengine ukoo Mzima. Bado mnataka avae apendeze kama kada zingine.

Mwalimu ili apande daraja afikie TGTS E1 basi itamchukua miaka 4 mpaka 5 nayo inategemeana na Rais wa wakati huo. (SIASA).

Hivi ni kwa nini daktari umlipe TGHS D1 (1270000) tofauti ya laki tano na mwalimu wa Degree na yeye ana degree wakati wengine walisoma wote hadi F6?

Walimu ndio nguzo ya Taifa, Taifa bora linatokana na raia wake walioelimika vizuri kwa kuwa na Walimu bora.

HAKUNA WALIMU BORA BILA MASLAHI BORA.

UALIMU ni vile tu umebebwa sana na watoto wa maskini ila SIO kazi ya kufanya.

Mwalimu hana House allowance, hana perdiem, hana extra duty, hana overtime bado awe mtumishi bora, Watu wanafanya bora liende tu.

Serikali waangalieni Walimu kwa jicho la pekee kama mnataka Taifa liwe bora.

Serikali haishindwi kuhudumia vizuri walimu 250,000+ (Msingi 170,000+ na sekondari 89,000+ huku walimu wa masomo ya Sayansi na hisabati wakiwa 23,000+)

Sio haki eti Mwalimu wa Degree kufikia Mshahara wa 1280,000 ambao ni TGTS F1 ni mpaka akae kazini miaka 8 - 10+ BADO TUNATAKA TAIFA LILILOELIMIKA?

INATIA UCHUNGU SANA, WANASIASA MMEJIWEKEA MASLAHI BORA SANA ILA WATUMISHI MKAAMUA KUWAPA KIKOKOTOO.

WATZ NI KWA NINI TUMEKUBALI MBUNGE MIAKA 5 APEWE MILIONI 270+ HALAFU MTUMISHI APEWE MILIONI 40+ KWA MIAKA 30 - 40 YA UTUMISHI?

TAIFA HILI LINA LAANA WALLAH.
ACHA mwl avune alichopanda,wakati wa uchaguzi wanakisaidia Chama Cha kijani kushinda Kwa kuwaibia kura,mimi hata asipolipwa sawa tu maana anatumikia Chama chake [emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Acha kamba wewe..mtu apate one ya PCB aende ualimu?..si atakuwa kichaa.
Hapa umetapika Pumba kaka, unamaanisha DUCE pale hakuna one? Zipo tena zingine nzuri tu ila walilazimika kwenda uko kutokana ba sababu zilizokua nje ya uwezo wao.
Unakosea kulinganisga ufaulu ja mshahara kwa dunia ya leo ambayo kuna MD wana three pale Kairuki na Kampala na wakija kazini wanakunja Pesa sawa na MD wa MUHAS.
 
Back
Top Bottom