Kwanini hakiyajenga yeye na alikaa miaka 10 madarakani?Tungependa kuona madaraja yote ya Dar yaliyoasisiwa na serikali ya awamu ya nne yaitwe majina yake halisi badala ya kupewa majina rafiki zake mpenda misifa.
Mwambie hata wewe nimeambiwa niache uongo haaa haaTerminal 3 imejengwa na jiwe upo tz gani? Wajanja walipiga hela
Akili za kimsukule hiziLegacy sio mzimu bali kadri muda unavyo enda ndivyo muda nao unaongea,Rip Magu.
Litapunguza sana kwa wanaojua njia za masaki - mikocheni.Kazi nzuri ingawa halipunguzi sana foleni ya Selandar bridge
Ukiingia kwa ndani kabisa, mwendazake alikuwa na sifa za kipuuzi mno.Hongera Kikwete kwa mpango wa ujenzi wa daraja na kuanza kutafuta fedha toka Korea kusini lakini mpenda misifa aka mungu mtu kauteka nyara mradi na kujifanya yeye ndio mwenyewe.
Kama alivyofanya Daraja la tazara, ujenzi wa terminal 3 na daraja la ubungo.
Kitengo kilifeli mno, mtu mkabila mkatili sijui alipewa vipi nchi.Kwenye nchi ambazo kitengo kinafanya serious vetting huyo mtu wenu asingeruhusiwa hata kuchukuwa tu fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais.
Ukitaka kujuwa ubongo wake muulize Anthony Diallo.
Rais ni lazima uwe Raia wa kuzaliwa kwa baba na mama.Kitengo kilifeli mno, mtu mkabila mkatili sijui alipewa vipi nchi.
R.ip Magufuli.
R.i.p mzalendo wa kweli.
Legacy sio mzimu bali kadri muda unavyo enda ndivyo muda nao unaongea,Rip Magu.
Magufuli alitafuniwa na kulishwa Kama kinda la ndege. Miradi Jakaya alikwisha kamilisha kuanzia usanifu,fedha nkTayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.
Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
Tusubiri hiyo Tarehe 1 tuoneKazi nzuri ingawa halipunguzi sana foleni ya Selandar bridge
Mharibifu wa kweli. Pesa za hilo Daraja zimetafutwa na Jakaya kwa taarifa yakoApumzike kwa Amani mwamba wa kweli, ila sina hakika kama Kigongo-Busisi wataiendeleza maana. . .
Wazee wa Ligasi watajifanya hawaoni hilo. Na mkataba wa makubaliano ulisainiwa na Waziri wa Fedha Saada Mkuya. Sasa usimsifie mtafuta hela ukamsifie mnyampala hiyo akili au matope.Magufuli alitafuniwa na kulishwa Kama kinda la ndege. Miradi Jakaya alikwisha kamilisha kuanzia usanifu,fedha nk
View attachment 2101307
View attachment 2101310
Hahaha nimekuelewa kakaRais ni lazima uwe Raia wa kuzaliwa kwa baba na mama.
Chaa ajabu alimtoa ujenzi akampeleka uvuvi akamrudisha tena ujenzi ujenzi,ndio ujue hata huyo Kikwete aliiona potential ya huyo mtu.Magufuli alitafuniwa na kulishwa Kama kinda la ndege. Miradi Jakaya alikwisha kamilisha kuanzia usanifu,fedha nk
View attachment 2101307
View attachment 2101310
So ukimchukia ww inatosha ila tupo wengi tunao mkubali kwani impact yake ni kubwa na tokea kuumbwa kwa dunia hajatokea binadamu aliye pendwa na kila mtu so si shagai.Akili za kimsukule hizi
Serikali kupitia kwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Mbarawa leo Jan. 30 imetangaza kukamilika kwa 100% kwa daraja la Tanzanite lililojengwa juu ya bahari kutoka Aga khan hadi Osterbay Jijini Dar Es Salaam na sasa magari yataanza kupita bure kuanzia Feb. Mosi mwaka huu.
View attachment 2101108
View attachment 2101107
Mbona wana haraka hivyo? Walipumzishe likauke kwanza.
Kazi nzuri ingawa halipunguzi sana foleni ya Selandar bridge
Tunamshukuru sana Hayati Mhe. Magufuli. Huyu alikuwa mtu wa vitendo. Hakuwa na ubabaishaji. Asante sana Hayati Mhe. Magufuli kwa kukamilika kwa daraja hili la Tanzanite.