Serikali: Daraja la Tanzanite kuanza kutumika Feb 1, magari kupita bure

yataje hayo madaraja , mijitu mingine chuki inawafanya kuwa wapumbav ila watoto zenu watakuja kumuenz JPM , Nyerere pia alichukiwa sana kipind anajenga misingi ya hii nchi
Daraja la tazara,la salender na ubungo,vibaka wenzake angetafuta zawadi nyingine za kuwapa.
 
Duh kikwete ndo muandaaji wa ilani ya ccm sio ?
Sijazungumzia ilani, bali mchakato wa hiyo miradi ilianza wakati Kikwete anakaribia kumaliza muda wake,yule mpenda sifa akajifanya yeye ndio mwanzilishi wa hiyo miradi.
 
Hakuna sababu ya ku rush,hayo machuma hapo chini yanafanya nini kama limekamilika asilimia 100?
 
Tungependa kuona madaraja yote ya Dar yaliyoasisiwa na serikali ya awamu ya nne yaitwe majina yake halisi badala ya kupewa majina rafiki zake mpenda misifa.
Nakumbuka hata Tazara flyover ilianza mwaka 2015,Salander mchakato wake ulifanywa na JK,interchange ya Kigamboni nk.
 
Rais akamilishe na ule wa Mwanza,Bwawa la umeme Ili tubakie na sgr tuu maana hiyo labda itakamilika baada ya 2025 .

 
Kazi nzuri sana hii.... hongera wahandisi, wasimamizi na wote mliofanikisha.
mkuu wakitaka wasishinde 2025 waitelekeze ile project japo kuna big fish mmoja alinidokeza wasiwasi wake kuhusu ilo daraja
.Boss kumbe una connection nzuri na wakubwa?
 
mkuu wakitaka wasishinde 2025 waitelekeze ile project japo kuna big fish mmoja alinidokeza wasiwasi wake kuhusu ilo daraja
hakika nitasikitika endapo wataamua kulitelekeza, Lile daraja ni muhimu sana, kwani litarahisisha mawasiliano baina ya pande mbili
 
Mama yenu anafanya nini na hizo kodi na mikopo?

Ajira kimya, mishahara kimya, kuendeleza miradi anasuasua. Au zinatosha kujaza mafuta kwenye ndege tu?
 
Nitakuja kupiga Ekotite hapo nije niwaoneshe wakulima wenzangu huku Mangamawe.
 
Halafu kwa maendeleo yote hayo kuna wajinga wajinga wanawaza kuitoa CCM madarakani!!

Miaka 30 ofisi za makao makuu ziko uswahilini matola!
Mnafunuliwa ubongo muache kuabudu makaburi bado bichwa lako zito unailaumu chadema we faller kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…