Daraja la tazara,la salender na ubungo,vibaka wenzake angetafuta zawadi nyingine za kuwapa.yataje hayo madaraja , mijitu mingine chuki inawafanya kuwa wapumbav ila watoto zenu watakuja kumuenz JPM , Nyerere pia alichukiwa sana kipind anajenga misingi ya hii nchi
Sijazungumzia ilani, bali mchakato wa hiyo miradi ilianza wakati Kikwete anakaribia kumaliza muda wake,yule mpenda sifa akajifanya yeye ndio mwanzilishi wa hiyo miradi.Duh kikwete ndo muandaaji wa ilani ya ccm sio ?
Hakuna sababu ya ku rush,hayo machuma hapo chini yanafanya nini kama limekamilika asilimia 100?Serikali kupitia kwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Mbarawa leo Jan. 30 imetangaza kukamilika kwa 100% kwa daraja la Tanzanite lililojengwa juu ya bahari kutoka Aga khan hadi Osterbay Jijini Dar Es Salaam na sasa magari yataanza kupita bure kuanzia Feb. Mosi mwaka huu.
View attachment 2101108
View attachment 2101107
Afu daraja lenyewe ni local kweli,mbona halivutii?Mbona wana haraka hivyo? Walipumzishe likauke kwanza.
Duh kikwete ndo muandaaji wa ilani ya ccm sio ?
Kwanza ni daraja la msaada kutoka Korea Kusini,alizileta JK baada ya kumuunga mkono Ban Kimoon kwenye nafasi UN Secretary General..Ambariki kwakua yeye ndio kajenga daraja?au?pesa yake ya mfukoni sidhan Kama inaweza Jenga Hilo daraja...ok ngoja TU niseme AMINA...
Na wewe kulaHakika mkuu,,
Sasa ni zamu ya wezi na mafisadi Kula keki ya taifa.
Wakisikia jina la Magufuli wanatetemeka.
Nakumbuka hata Tazara flyover ilianza mwaka 2015,Salander mchakato wake ulifanywa na JK,interchange ya Kigamboni nk.Tungependa kuona madaraja yote ya Dar yaliyoasisiwa na serikali ya awamu ya nne yaitwe majina yake halisi badala ya kupewa majina rafiki zake mpenda misifa.
Rais akamilishe na ule wa Mwanza,Bwawa la umeme Ili tubakie na sgr tuu maana hiyo labda itakamilika baada ya 2025 .Tunamshukuru mama Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha mradi kikamilifu.
Kule Zanzibar Karume alianza ujenzi wa Maghorofa ya watu wa hali ya chini, lakini alipouwawa Marais wote waliofuatia waliachana na mradi huo mpaka mwanaye alipokuja kuupata Urais ndio akakamilisha mradi aliouanza Baba yake.
Hata Magufuli aliukataa mradi wa Bandari ya Bagamoyo ambao aliuanza Kikwete.
Vivyo hivyo Mama ana mamlaka kamili ya kukataa miradi aliyoikuta kama haina tija kwa mtazamo wake.
Mfano Airport ya Chato ndio ingekuwa inaanza ujenzi huo mradi ungepigwa chini on the spot, ni mradi wa hovyo usiokuwa na tija kwa Taifa letu zaidi ya ubinafsi wa Magufuli.
.Boss kumbe una connection nzuri na wakubwa?mkuu wakitaka wasishinde 2025 waitelekeze ile project japo kuna big fish mmoja alinidokeza wasiwasi wake kuhusu ilo daraja
Nishanyamaza kaka yangu japo ndiyo ukweli.Utatukanwa mdogo wangu usiseme hivyo!
hakika nitasikitika endapo wataamua kulitelekeza, Lile daraja ni muhimu sana, kwani litarahisisha mawasiliano baina ya pande mbilimkuu wakitaka wasishinde 2025 waitelekeze ile project japo kuna big fish mmoja alinidokeza wasiwasi wake kuhusu ilo daraja
Kumbe mwamba alikuwepo, safi sana.Magufuli alitafuniwa na kulishwa Kama kinda la ndege. Miradi Jakaya alikwisha kamilisha kuanzia usanifu,fedha nk
View attachment 2101307
View attachment 2101310
Mama yenu anafanya nini na hizo kodi na mikopo?Bwashee huyo Mungu kama anajielewa hawezi kumbariki muuaji.
Halafu huyo magufuli hakutoa hela yake ya msahahara kujenga hilo daraja. Ni kodi za walalahoi hizo. Jipongezenj wananchi acheni kusifia mizimu.
Msiwe wapuuzi. Mmesikia na nyie vibwengo wengine? Yamungu Athumani Koryo2 mwandende joseph1989
Mnafunuliwa ubongo muache kuabudu makaburi bado bichwa lako zito unailaumu chadema we faller kweliHalafu kwa maendeleo yote hayo kuna wajinga wajinga wanawaza kuitoa CCM madarakani!!
Miaka 30 ofisi za makao makuu ziko uswahilini matola!
Mbona wana haraka hivyo? Walipumzishe likauke kwanza.