Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
X walinidai 15k tu na vitisho mpaka unatamani dunia ipasukeTALA TANZANIA = Nadaiwa 500000/-
Mtandao X = Nadaiwa 780000/-
😊😊😊😊😊😊
Huu ndio ujinga sasaTamaa zitawaua, sasa kampuni ya mikopo wewe ndio unawapa 2mln tena!
Duh,kwa hiyo we ndiyo umewapigaTALA TANZANIA = Nadaiwa 500000/-
Mtandao X = Nadaiwa 780000/-
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Vigezo vya kukopa Tala Ni gani
😆😆, niliwaotea, nikakaa pembeni...Duh,kwa hiyo we ndiyo umewapiga
[emoji1]
Ova
Hapana mimi siye, ila sikushauli uende huko mkuu..Wewe utakuwa ndio tala yenyewe hakuna mtu aliweka pesa akapewa mkopo wake ni matapeli huo ni uongo hakika
Serikali iache ku deal na Tundu Lissu huko Loliondo ikusaidie vimikopo vidogo dogo vya biashara ya vitumbua?Hizi kampuni fake zinadai zimesajiliwa na serikali lakini zinafanya kazi ya utapeli, zipo nyingi, cjui tala imarisha maisha. Tulia mikopo online na zingine zinatumia majina ya Jokate Mwegelo na kuna hawa wanatumia matangazo na video za watu mashuhuri kwa kuziedit.
Watanzania wamepigika wanaamini kila kitu ni fursa jambo ambalo sio kweli. Kuna dada anaitwa Lilian jana kashawishiwa na kampuni moja jina ninalo, kwamba aweke kuanzio cha milion 2 apewe mkopo wa milioni kumi kapigwa kapoteza fahamu kwa sababu hiyo pesa na yeye alikopa sehemu. Kwanini polisi mnashindwa kupambana na wizi wa mitandaoni?
Serikali yetu inamifumo yote lakini inaacha makanjanja wanawaliza watu mitaani ,onyo na angalizo hakuna taasisi inaweza kumkopesha mtu online labda songesha ya Vodacom.
Je, wako kisheria !!? Kwa maana wana Kibali cha BOT, Leseni ya Biashara toka BRELA, TIN number !!?? Na je Sera yao (Company's Business/Lending Policy) inawaruhusu kufanya hivyo kwa mujibu wa sheria na taratibu !!!??? Kama sivyo kuna tatizo mahali na ukitapeliwa kwa asilimia kubwa, ni jambo la kujitakia.Kwa nini ulikopa umeshindwa kuwalipa ndio unawaita matapeli?ila riba zao ni kaushA damu na wanapiga simu hao na vitisho juu
Yaani unatapeliwa kwa upumbavu wako unawalaumu polisi? Mambo mengine tunatakiwa tujiongezeSerikali iko busy na Polisi kuzuia watu wasiingie Ngorongoro mkuu!
Jaribu Branch nao. Wako Kama Tala, hawana noma. Dkk tatu tu Kama uko jirani na bar, unaumwagilia moyo.TALA TANZANIA = Nadaiwa 500000/-
Mtandao X = Nadaiwa 780000/-
😊😊😊😊😊😊
Branch walinipiga block baada ya kusumbuana takribani mwaka na nusu kulipa deni lao 😕😕Jaribu Branch nao. Wako Kama Tala, hawana noma. Dkk tatu tu Kama uko jirani na bar, unaumwagilia moyo.
Bado wanakudai au wamesamehe?Branch walinipiga block baada ya kusumbuana takribani mwaka na nusu kulipa deni lao 😕😕
Unawezaje kukukopa hadi kufikisha kiwango hicho?TALA TANZANIA = Nadaiwa 500000/-
Mtandao X = Nadaiwa 780000/-
😊😊😊😊😊😊