Serikali fuatilieni hizi kampuni za kitapeli zinazodai zinakopesha mitandaoni, mama zetu wanalizwa vibaya sana

Serikali fuatilieni hizi kampuni za kitapeli zinazodai zinakopesha mitandaoni, mama zetu wanalizwa vibaya sana

...Inawezekana ! Najiuliza Sana kuhusu Taasisi za Kukopeshwa zenye Picha kabiza za Mo Dewji au Jokate Mwegelo ! Utashangaa wanavyojitangaza lakini Wahusika wenyewe wapo kimya !
Inafika Mahali unajiuliza...Wenyewe Wana HISA na Matapeli Hawa Kwa Kutumia Majina Yao na kuyalipia !

Halafu post zao Feki za kujirudia rudia za Wateja feki Kushukuru Kwa kupata Mkopo wa Milioni Tano !!

Watanzania hatujifunzi na Matapeli Hawa ??? [emoji35][emoji35][emoji35]
Sidhani kama wana hisa
Ila wnaona kuvutana mahakamani na kuliwa hela za bure
Yaani ni shida
 
Back
Top Bottom