Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Tunakimbizana? Kwani watu walikua hawafi?matajiri nyie njaaa kibao na wezi tu tena mkadandia corona ili muweze kula vizuri mikopo ya mabeberu.......bora masikini anaejielewa kuliko tajiri wa kuungaungaMy brother you cannot compare tz and kenya ....we are so intelligent and richer than you....Saa hii ndio mnakimbizana na mambo tulio pambana nayo 2020. yaani mna akili ndogo....serikali yenu ilificha mambo hadi sasa mmeanza kujionea vifo kwa macho ndio mnashtuka... yani mna akili ndogo sana
Jiwe anahusikaje sasa jamani yani tamko la jiwe ndio litakimbiza corona au mi naona bora mambo yabaki hivi hivi akitoa tamko atazua taaruki ambayo haitasaidia chochote zaidi zaidi watu watakua wanaanguka hovyo kwa hofu. Hofu ni ugonjwa mbaya kuliko corona itakua chaosTatizo ni jiwe ambalo halioni, kusikia, kunusa, wala ku-test chochote.
Tuko vizuri au nasema uongo ndugu zanguuuuuHaya yote hayasaidii kwani nchi za wenzetu hawakufanya haya??? Korona imepungua??? Tuache kutishana bure kama ni kufa utakufa tu sio kwa korona hata malaria yatakuua tu! Tuache kujitoa ufahamu
Maalim seif aliiba kuraHakuna kufunga mpaka wezi wote wa kura waishe.
Tanzania ni Taifa mahili,lenye viongozi intelligent na genius,viongozi makini na wasio waoga.hata Babu yenu Kenyatta Ana appreciate Hilo.Tanzania sio manyumbu like Kenyans,ambao wazungu wakisema Jambo hakuna anayethubutu ku argue.kamwe hatuwez kufunga shule kwa vimafua hivi.Na siku zote ukiwa very intelligent tegemea maadui wengi,iko hivo ,thus why mabeberu wanatusakama weee,bt still we are so tough.Uliza SADEC,watakwambia how Tanzania tough is.Wewe ndio una ufinyu wa akili, yani nyie watanzania dah wacha tu.... shule na zifungwe ili kudhibiti ugonjwa usije ukasambaa sana. lakini hata hivyo wakati nchi zote za africa mashariki zilikuwa za pambana kwa njia moja au nyingine nyie mlikuwa mkitukejeli tu.... watanzania aiseee... wacha tu.... najua sasa mbona nyinyi nchi maskini ingawa mna rasilimali chungu nzima....ni kwa sababu ya upumbavu umekithiri zaidi
Maalim seif aliiba kura
R.i.pWapinzani kufa sio habari maana wasipokufa kwa corona, watauliwa na watawala ili wakae madarakani kwa shuruti.
Umenena vema mkuuWewe simama uliposimama achana na mtu anayesaka uteuzi au mmiliki wa shule anayemiliki duka Jirani na shule hawezi kutaka shule zifungwe akose mapato
Utakuwa imetumwa na makaburu wewe siyo bure!! Usilikuze tatizo kuliko lilivyo!!Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!
Covid haina madhara makubwa kwa vijana na watoto, wanaugua na kupona tena bila dawa za maana. Tatizo ni kuwa, wanaambukizana na kuileta majumbani na kuwaambukiza wazazi na watu wenye umri mkubwa nyumbani.
Hii ndo balaa! Kama tutaweza kudhibi maambukizi kwa watoto na vijana, tutakuwa tumefanikiwa sana kuokoa maisha ya watu wazima wanaojikinga katika familia. Shule na vyuo wafunge mwezi mmoja tu, maambukizi yatapungua.
Kwahiyo zilifungwa kisa awazalishi...duuhKwani wanafunzi wanazalisha nini?
Wewe ni dikiteta asiye na faida. Yaani unazuia wangu wasipate fresh air oksijeni ya Mungu. Kisa unauza barakoa?. To prevent me get fresh by mask your need to have heart of satan and devil1. Waanze kutangaza cases daily na wapi zimepatikana. Wataalamu wa kupambana na magonjwa ya milipuko wapewe confidence na uhuru wa kufanya kazi zao bila kusubiri ruhusa kutoka kwa wanasiasa
2. Weka bylaws kila mtu avae barakoa kwenye public. Mkaidi akamatwe na kulipa faini
3. Wageni kutoka nje wote waje na negative certificate za COVID with immediate effect. Ambae hana arudishwe na ndege aliyokuja nayo
4. Wafanyakazi waanze kuingia ofisini kwa shift na wengine wafanyie home ili kupunguza mikusanyiko. Hakuna haja ya kujazana ofisini
5. Public transport zianze kubeba watu nusu ya uwezo wake
6. Funga clubs kwa mwezi mmoja
Kuna mengi ya kufanya ila kiburi cha Magufuli ni tatizo. Sasa katwaliwa Eng. Kijazi. Who next?
You are very ignorant.Wewe ni dikiteta asiye na faida. Yaani unazuia wangu wasipate fresh air oksijeni ya Mungu. Kisa unauza barakoa?. To prevent me get fresh by mask your need to have heart of satan and devil
Imeshachelewa dawa sasa ni chanjo tuTunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!
Covid haina madhara makubwa kwa vijana na watoto, wanaugua na kupona tena bila dawa za maana. Tatizo ni kuwa, wanaambukizana na kuileta majumbani na kuwaambukiza wazazi na watu wenye umri mkubwa nyumbani.
Hii ndo balaa! Kama tutaweza kudhibi maambukizi kwa watoto na vijana, tutakuwa tumefanikiwa sana kuokoa maisha ya watu wazima wanaojikinga katika familia. Shule na vyuo wafunge mwezi mmoja tu, maambukizi yatapungua.
Nitakufa kwa Sababu nyingine ya msingi lkn si kwa hivi vijimafua!!Ukifa wewe ndiyo utaenda kumwambia kijazi kuwa corona mbaya
Hata hao waliokuwa wanalockdown wameanza kuzifungua wenyewe japo bado Wana maambukizi mapya Killa siku! wameamua kufanya lockdown ya kichina!! Eti lockdown ya kuanzia saa tatu za usiku mpaka saa kumi za alfajiri kana kwamba kukicha corona inalala!Dunia nzima watu wanafungua mashule sababu wameona hakuna chochote kilichoabdirika kwa kufunga shule wewe unakuja tena hapa unasema wafunge?