Tetesi: Serikali haina pesa. Hali ni mbaya ya kusua sua baadhi ya Donors waanza kulalamika

Tetesi: Serikali haina pesa. Hali ni mbaya ya kusua sua baadhi ya Donors waanza kulalamika

Kwa kawaida january inakuwa ngumu baada ya watu kulipa bills na ku enjoy sikukuu lakini this time mwisho wa mwaka umekuwa mgumu balaa! Nawaza tuu mwakani itakuwajee?
 
Uongo mtupu serekeli ina hela za kutosha ,mama amefungua nchi
sawa, itapendeza ukitoa na vitu halisi. kwa mfano barabara zilizokamilika, sgr, bwawa la mwalimu, daraja la busisi, barabara ya karagwe - benako nk. halafu mtoe na takwimu za pesa. comment hii inamhusu pia mtoa mada
 
Back
Top Bottom