Tetesi: Serikali haina pesa. Hali ni mbaya ya kusua sua baadhi ya Donors waanza kulalamika

Tetesi: Serikali haina pesa. Hali ni mbaya ya kusua sua baadhi ya Donors waanza kulalamika

Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.

Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.

HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.

Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.

Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Kama hizi habari ni kweli...hatuna cha kushangaa, kiuchumi unatakiwa vyanzo vya kuingiza fedha viwe vingi kuliko matumizi na ongezea viwe sustainable.

Tunajua kua matumizi yapo juu...lakini pia leakages za fedha hazikosekani maana wajanja ni wengi kwenye mfumo..!

Ultimately, zigo lote linaishia kwetu via PAYE, VAT na tozo mbalimbali.

Alternatively ingekua kuna vyanzo vipya vya mapato makubwa atleast tungekua optimistic na ukuaji uchumi in future.

Tusisahau majanga ya asili yanapotekea kama mafuriko ile saving kiasi inabidi itumike....

Mwisho wake kama.Taifa ndio tunakua wazee wa hand to mouth..tunapata tunatumia tunaishiwa tunarudi kwa donor kupiha goti! Viscous cycle of poverty.
 
Kimsingi toka mwezi wa 9 hakuna Malipo yoyote yanayofanyika serikalimi. Kibubu hakina kitu. Miradi ya maendeleo yote imesimama ndio maana wale YASP wa SGRA wanapunguza wafanyakazi. Hakuna OC kwenye mataasisi au Halmashauri. Kimsingi, hakuna pesa yule ajuza wa Zanzibar ana kazi ya kuturembulia macho tu. Katika pogo amblo Mungu alitupiga watanzania ni lile la 17/3/2021. Hii takataka isingeingia madarakani.
Punguza maneno ya namna hii mkuu.
Ni ombi tu kwa ustawi wa umoja na mshikamano wetu.
Kosoa kiustaarabu na ujivunie utanzania wako. 🙏 🙏 🙏
 
Kobaz unazosema ndizo nusura ya nchi Hii,mind you that huko serikalini zaidi ya asilimia 80 watendaji na watumishi ni wasomi wa kanisa ambao kazi Yao kubwa wanayoijua ni wizi na ufisadi,unategemea Rais wa nchi afanye kitu Gani??
Omba sana Mola akujaalie hekima na busara kwani unakoelekea (uzeeni) hadi watoto wadogo watakuwa wanakuita kubwa jinga!
 
Toa ujinga wako hapa. Kwani yule bi. Tozo sio mzanzibar?
Mbona nimeandika simple sana mkuu,
Kosoa kiustaarabu usipende kutweza utu wa binadamu wengine zingatia pia kwamba huyo mama ni Rais wa nchi yetu Tanzania.
Hata hivyo nashukuru kwa ujinga wangu lakini jifunze na uuepuke unaoitwa "Upumbavu" maana ni kipaji.
 
Wapuuzi nyie,kodi hamlipi mnashindana kupeleka pesa kwa manabii matapeli,na mafungu ya kumi huko makanisani kutajirisha wwavivu wa kazi hao
tena utuache!
hao sio wavivu wanapiga kazi
si kazi rahisi kumshawishi mtu anunue kikaratasi cha upako kwa shilingi 10,000/-
bora mlevi unaweza kumshawishi ukimwaga pombe yake kuliko hawa jamaa wa kwa nabii.
inamana kuwapata hao wachungaji walipiga kazi ya maana.
 
Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.

Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.

HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.

Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.

Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Donors nani hao? Unaweza kutupa ushahidi wa maandishi au sauti zao wakati wakilalamika Hela zao kuliwa?
 
Mbona Huku watu wanapiga tenda za halmashauri mazahanati,shule kusuplier vifaa wanazid kusupplie Kila siku
 
Back
Top Bottom