Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #101
Na wewe umejiita magema. Kwetu maana yake makalioHujakosea kujichagulia jina "CHIZI" na kweli we ni chizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe umejiita magema. Kwetu maana yake makalioHujakosea kujichagulia jina "CHIZI" na kweli we ni chizi
Tatizo uwezo wake wa kufatilia mambo ni mdogo! Anadangavywa sana na kwa bahati mbaya wa kumwambia ukweli hana!Hizo barabara zote ulizotaja ni very strategic.....serikali hii ya Samia haijali...yaani samia hajali kabisa.
Nchi gani duniani imemaliza kulipa madeni yake yotee
Kweli kabisa, hiyo bibi ni ziro yaani hamna kitu kabisa.Kimsingi toka mwezi wa 9 hakuna Malipo yoyote yanayofanyika serikalimi. Kibubu hakina kitu. Miradi ya maendeleo yote imesimama ndio maana wale YASP wa SGRA wanapunguza wafanyakazi. Hakuna OC kwenye mataasisi au Halmashauri. Kimsingi, hakuna pesa yule ajuza wa Zanzibar ana kazi ya kuturembulia macho tu. Katika pogo amblo Mungu alitupiga watanzania ni lile la 17/3/2021. Hii takataka isingeingia madarakani.
Ukweli ni kuwa huyo mama kaja kugawa Hela kwa mafisadi tu.Wapuuzi nyie,kodi hamlipi mnashindana kupeleka pesa kwa manabii matapeli,na mafungu ya kumi huko makanisani kutajirisha wwavivu wa kazi hao
Acha kupishana naye,huyo anaonekana ana upungungufu wa kufikiri.Kodi kakusanye wewe kama unaona TRA hawafai. Ni nani anaepeleka fadha ya serikali kwa manabii? Haujielewi kuingilia imani za watu. Kama inakuuma na wewe anzisha kanisa kama ni raisi kihivyo.
Ulishawahi kufanya kazi yoyote kipindi Cha magu mkuu?au unaongea tu.Kuna jamaa angu mmoja biashara kwasasa ina suffocate mbaya..pesa yote iko mikonon mwa serikal na kulipwa hakuna dalili..
Yule Magufuli licha ya ujeuri wake, ila kwenye malipo ya vendors alikua anajitahid sana
Sasa mla kunde ulitaka anye mayai au miwa?Ukila kunde unatoa mashuzi tu.
We shetwani,na wewe utakufa tu.Umenikumbusha 17 March siku ya sherehe kuu baada ya lile shetani lenu la Chato kutwaliwa na Muumba
Ni bora kuwa na Taarifa za kweli, Upotoshaji wa namna hii ndio unaofanya JF isiwe credible source ya taarifa, Fedha unazosemea zilipelekwa sehemu husika, katika elimu madarasa yalijengwa kwa ufanisi mkubwa, hakuna mkandarasi anayedai kwa sababu utaratibu unaotumika ni Force account
Jinga hilo. Limazani wote ni machawa. Mbona nasi tu watumishi wa serikali na tunajua tola mwezi wa Tisa MUSE hakuna Malipo? Tunapost malipo ila BOT wanayafreeze. Tunajua taasisi na wakala wengi OC Zimemezwa? Punga hilo liccm achana nalo.JF ndio credible source namba moja Tanzania. Tuache siasa na uchawa, serikali haina Fedha
Kimsingi toka mwezi wa 9 hakuna Malipo yoyote yanayofanyika serikalimi. Kibubu hakina kitu. Miradi ya maendeleo yote imesimama ndio maana wale YASP wa SGRA wanapunguza wafanyakazi. Hakuna OC kwenye mataasisi au Halmashauri. Kimsingi, hakuna pesa yule ajuza wa Zanzibar ana kazi ya kuturembulia macho tu. Katika pogo amblo Mungu alitupiga watanzania ni lile la 17/3/2021. Hii takataka isingeingia madarakani.
Tukiwambia mama na serikali yake wamekata moto na nchi imewashinda, chawa hawaelewi wao ni kusifia tu....tukisema mama punguza safari zisizo za lazima, na katika safari zako punguza idadi ya wapambe, watu hamtuelewi...mnaona kama wivu. Kinachoungua ni kodi na kama ni mkopo unaesifia pia utakuhusu.
Pesa ya covid watu waligawana, tulisikia mkwara lakini ulikoishia hatujui...watu walikula kwa urefu wa kamba zao. Bunge limelia kwa ufisad serikali iko kimya na mbaya zaidi mawaziri wanatetea. Rais mwenyewe analalamika kwa rushwa na ufisadi kukithili kwenye taasisi za serikali. Sijaelewa ni nani anaepaswa kushughulika na haya kama kila mtu analalamika hadi waziri mwenye takukuru!
Ukiangalia dhoruba ya kiuchumi inayoendelea duniani hata nchi tajiri huko , halafu kuna wapumbavu wanafuja pesa za serikali Kwa issues za kipumbavu badala ya kusave na kuweka mikakati madhubuti ya kudhibiti anguko la kiuchumi
Nchi kama Germany zipo kwenye recessions mpaka sasa , UK local government zina decalre buncruptcy kila siku , Marekani makampuni yanapunguza wafanyakazi na mwengine kufirisika kabisa ,mabenki pia ,China local governments zina mzigo wa madeni mpaka nyingine zimeshindwa kulipa mishahara mpaka sasa tangia mwaka huu uanze
Nchi kama Srilanka ,,Lebanon ,Turkey , Pakistan , Argentina nk kuna mfumuko mkali wa bei na kushuka kwa thamani ya local currency zao + uhaba wa fedha za kigeni na anguko la mapato mpaka muda huu tunaoongea na wanazidi kupewa handsout za IMF
Sisi wapumbav wetu hapa wanazidi kufuja tu as if tuko salama
Wakuu hali ni mbaya ,na kinachotokea mwakani kitakuwa ni kibaya zaidi katika aspect ya uchumi .
Ni kwamba tunaongozwa na watu wapumbavu nchi hii
Kama hujui kaaa kimya miradi ililetewa dummy cash kwenye mfumo , Hadi Leo from September hajalipika Hali ni Tete supplies wanahaha wenye mikopo benki watakuwa na Hali ngumu sanaNi bora kuwa na Taarifa za kweli, Upotoshaji wa namna hii ndio unaofanya JF isiwe credible source ya taarifa, Fedha unazosemea zilipelekwa sehemu husika, katika elimu madarasa yalijengwa kwa ufanisi mkubwa, hakuna mkandarasi anayedai kwa sababu utaratibu unaotumika ni Force account
Hivi unajua ni lini miradi hii ilitekelezwa?Kama hujui kaaa kimya miradi ililetewa dummy cash kwenye mfumo , Hadi Leo from September hajalipika Hali ni Tete supplies wanahaha wenye mikopo benki watakuwa na Hali ngumu sana
Ni kweli, jf ina watu wenye viwango tofauti vya Elimu. Kama kweli mtu anafikili uchumi wa nchi utaimarika kwa watu kutokwenda makanisani na kutoa sadaka, huyo hakuna jinsi ya kumusaidia.Acha kupishana naye,huyo anaonekana ana upungungufu wa kufikiri.