econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Mkuu kwani mwarabu wa dipii wedi hajaanza kumwaga mpunga? maana tuliambiwa taabu itakuwa bai bai...
Yale yalikuwa maneno ya kisiasa. Kwani unaona Kuna mtu anafuatilia Sasa hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani mwarabu wa dipii wedi hajaanza kumwaga mpunga? maana tuliambiwa taabu itakuwa bai bai...
Wapuuzi nyie,kodi hamlipi mnashindana kupeleka pesa kwa manabii matapeli,na mafungu ya kumi huko makanisani kutajirisha wwavivu wa kazi hao
Kwa hiyo jwtz ingilie kati
Failed StateShida kila taasisi imekuwa chawa. Hawawezi kuingilia.
Mkila kande mnaandika chochote, unafaham maana ya serikali kuishiwa fedha.
Umenikumbusha 17 March siku ya sherehe kuu baada ya lile shetani lenu la Chato kutwaliwa na MuumbaKimsingi toka mwezi wa 9 hakuna Malipo yoyote yanayofanyika serikalimi. Kibubu hakina kitu. Miradi ya maendeleo yote imesimama ndio maana wale YASP wa SGRA wanapunguza wafanyakazi. Hakuna OC kwenye mataasisi au Halmashauri. Kimsingi, hakuna pesa yule ajuza wa Zanzibar ana kazi ya kuturembulia macho tu. Katika pogo amblo Mungu alitupiga watanzania ni lile la 17/3/2021. Hii takataka isingeingia madarakani.
Halafu eti serikali haina helaWapuuzi nyie,kodi hamlipi mnashindana kupeleka pesa kwa manabii matapeli,na mafungu ya kumi huko makanisani kutajirisha wwavivu wa kazi hao
Kuanzisha kanisa ni kazi rahisi sanaKodi kakusanye wewe kama unaona TRA hawafai. Ni nani anaepeleka fadha ya serikali kwa manabii? Haujielewi kuingilia imani za watu. Kama inakuuma na wewe anzisha kanisa kama ni raisi kihivyo.
Huduma za kijamii kadai huko kwa matapeli mnaowatajirisha na mafungu ya kumi mmbuz nnyie
VC akiwa kama mchumi mbobevu alilazimika kwenda huko majuu kwa kazi maalum kwa siku zaidi ya 30 huku ukimya ukiwa umetamalaki.Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.
Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.
HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.
Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.
Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
HamasIsrael
MwafaMiradi Kama SGR haiendeshwi kwa pesa za Donors. Hizo ni pesa za MIKOPO.
Magufuli alikuwa anakopa KINUHA kwenye mabenki ya kibiashara, mikopo yenye riba kubwa halafu ya muda mfupi.
Sasa SGR haijaisha na madeni yameiva yanatakiwa kulipwa.
Wanachofanya Bibi too na Mwigulu ni kukopa sehemu nyingine na kulipa.madeni yaliyoiva.
Mzungu alishajua mitawala ya Africa ni mijuha na Ina tamaa Kali sanaa.
Kwahiyo, Mzungu akitoa pesa yake iwe msaada au mkopo nafuu anaiwekea masharti, hasa itumike kwenye Afya, demokrasia, utawala Bora, haki za binadamu au Mazingira na Mzungu anakagua pesa zake hataki ujinga.
Pesa unazoona Wanasiasa wanafanyia anasa za posho, mishahara, kulipa wake wa viongozi, kununua magoli ya mpira ni pesa za TRA na makusanyo mengine.
Nasi tunakumbuka tarehe ambayo tulifanya sherehe kuu baada ya lishetani limama yako lilivyotwaliwa. Pumbavu kabisa wewe.Umenikumbusha 17 March siku ya sherehe kuu baada ya lile shetani lenu la Chato kutwaliwa na Muumba
Possibly ni kweli kwa hii hoja yako mkuu. Ni kweli Kibubu hakina kitu. Mama Abdul kampa Mzee Hafidh pesa zote.VC akiwa kama mchumi mbobevu alilazimika kwenda huko majuu kwa kazi maalum kwa siku zaidi ya 30 huku ukimya ukiwa umetamalaki.
Nchi gani duniani imemaliza kulipa madeni yake yoteeKushindwa kulipa madeni yake.
Chizi uyo achana nayeHata huna hoja..umebwabwaja tu ujinga wako hapa