Tetesi: Serikali haina pesa. Hali ni mbaya ya kusua sua baadhi ya Donors waanza kulalamika

Tetesi: Serikali haina pesa. Hali ni mbaya ya kusua sua baadhi ya Donors waanza kulalamika

Kodi tunalipa sana mpaka tumefunga biashara kwa Kodi zenu kubwa Huku mzunguko mtaani hakuna.Kodi mnayokusanya mnafuja.Rejea ripoti ya CAG,safari ya UAE wajumbe 764,Mafao ya viongozi na wake Zao,gari la kutembelea Tani Tatu la nini?,mishahara na posho za wabunge hazilingani na uchumi wa nchi tena hazikatwi Kodi.Viongozi wanaifilisi nchi kwa kuishi maisha ya anasa Huku wananchi wakifa kwa kukosa huduma za afya na lishe
 
Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.

Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.

HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.

Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.

Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Miradi Kama SGR haiendeshwi kwa pesa za Donors. Hizo ni pesa za MIKOPO.

Magufuli alikuwa anakopa KINUHA kwenye mabenki ya kibiashara, mikopo yenye riba kubwa halafu ya muda mfupi.

Sasa SGR haijaisha na madeni yameiva yanatakiwa kulipwa.

Wanachofanya Bibi too na Mwigulu ni kukopa sehemu nyingine na kulipa.madeni yaliyoiva.

Mzungu alishajua mitawala ya Africa ni mijuha na Ina tamaa Kali sanaa.

Kwahiyo, Mzungu akitoa pesa yake iwe msaada au mkopo nafuu anaiwekea masharti, hasa itumike kwenye Afya, demokrasia, utawala Bora, haki za binadamu au Mazingira na Mzungu anakagua pesa zake hataki ujinga.

Pesa unazoona Wanasiasa wanafanyia anasa za posho, mishahara, kulipa wake wa viongozi, kununua magoli ya mpira ni pesa za TRA na makusanyo mengine.
 
Jinga ni wewe usiyeona tatizo la hali mbaya ya uchumi wa nchi. Viposho vya uchawa visikudanganye, kuna kundi kubwa la wananchi linaumia. Husivyo na akili unatueleza fedha ya watu binafsi wanayoipeleka kwa hao unaowaita manabii. Kama una akili hiyo pesa kidogo ndiyo nini kwenye uchumi wa nchi?
Huduma za kijamii kadai huko kwa matapeli mnaowatajirisha na mafungu ya kumi mmbuz nnyie
 
Ukiangalia dhoruba ya kiuchumi inayoendelea duniani hata nchi tajiri huko , halafu kuna wapumbavu wanafuja pesa za serikali Kwa issues za kipumbavu badala ya kusave na kuweka mikakati madhubuti ya kudhibiti anguko la kiuchumi
Nchi kama Germany zipo kwenye recessions mpaka sasa , UK local government zina decalre buncruptcy kila siku , Marekani makampuni yanapunguza wafanyakazi na mwengine kufirisika kabisa ,mabenki pia ,China local governments zina mzigo wa madeni mpaka nyingine zimeshindwa kulipa mishahara mpaka sasa tangia mwaka huu uanze
Nchi kama Srilanka ,,Lebanon ,Turkey , Pakistan , Argentina nk kuna mfumuko mkali wa bei na kushuka kwa thamani ya local currency zao + uhaba wa fedha za kigeni na anguko la mapato mpaka muda huu tunaoongea na wanazidi kupewa handsout za IMF
Sisi wapumbav wetu hapa wanazidi kufuja tu as if tuko salama

Wakuu hali ni mbaya ,na kinachotokea mwakani kitakuwa ni kibaya zaidi katika aspect ya uchumi .
Ni kwamba tunaongozwa na watu wapumbavu nchi hii
 
Wapuuzi nyie,kodi hamlipi mnashindana kupeleka pesa kwa manabii matapeli,na mafungu ya kumi huko makanisani kutajirisha wwavivu wa kazi hao
20230530_221016.jpg
 
Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.

Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.

HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.

Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.

Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Hakuna Rais,hakuna serikali Bali ni matapeli yamejaa pale
 
Back
Top Bottom