jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Failed state,uongozi wa hovyo ndio matokeo yake haya,hatuna mkuu wa nchi tuna rubber stamp president.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Donor yupi aliyelalamika, au wewe?Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.
Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.
HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.
Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.
Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Hata huna hoja..umebwabwaja tu ujinga wako hapaWapuuzi nyie,kodi hamlipi mnashindana kupeleka pesa kwa manabii matapeli,na mafungu ya kumi huko makanisani kutajirisha wwavivu wa kazi hao
Lipa kodi serikali ikamilishe miradi jinga weweHata huna hoja..umebwabwaja tu ujinga wako hapa
Isidori kafufuka, eti kweli?Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.
Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.
HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.
Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.
Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
UKiona tunaongea sana hiv jua waz tuna lipa kodi..Lipa kodi serikali ikamilishe miradi jinga wewe
JingaKodi kakusanye wewe kama unaona TRA hawafai. Ni nani anaepeleka fadha ya serikali kwa manabii? Haujielewi kuingilia imani za watu. Kama inakuuma na wewe anzisha kanisa kama ni Rais kihivyo.
Au unataka tukuwekee hapa mpaka Z-reports zetu hapa ndio uamin?Lipa kodi serikali ikamilishe miradi jinga wewe
Mkila kande mnaandika chochote, unafaham maana ya serikali kuishiwa fedha.Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.
Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.
HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.
Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.
Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Kuna jamaa angu mmoja biashara kwasasa ina suffocate mbaya..pesa yote iko mikonon mwa serikal na kulipwa hakuna dalili..Ukitaka kujua kama serikali haina hela fanya nayo biashara. Kulipwa mpaka ugomvi
Ukila kunde unatoa mashuzi tu.Mkila kande mnaandika chochote, unafaham maana ya serikali kuishiwa fedha.
Kimsingi toka mwezi wa 9 hakuna Malipo yoyote yanayofanyika serikalimi. Kibubu hakina kitu. Miradi ya maendeleo yote imesimama ndio maana wale YASP wa SGRA wanapunguza wafanyakazi. Hakuna OC kwenye mataasisi au Halmashauri. Kimsingi, hakuna pesa yule ajuza wa Zanzibar ana kazi ya kuturembulia macho tu. Katika pogo amblo Mungu alitupiga watanzania ni lile la 17/3/2021. Hii takataka isingeingia madarakani.
Wapuuzi nyie,kodi hamlipi mnashindana kupeleka pesa kwa manabii matapeli,na mafungu ya kumi huko makanisani kutajirisha wwavivu wa kazi hao
Tukiwambia mama na serikali yake wamekata moto na nchi imewashinda, chawa hawaelewi wao ni kusifia tu....tukisema mama punguza safari zisizo za lazima, na katika safari zako punguza idadi ya wapambe, watu hamtuelewi...mnaona kama wivu. Kinachoungua ni kodi na kama ni mkopo unaesifia pia utakuhusu.
Pesa ya covid watu waligawana, tulisikia mkwara lakini ulikoishia hatujui...watu walikula kwa urefu wa kamba zao. Bunge limelia kwa ufisad serikali iko kimya na mbaya zaidi mawaziri wanatetea. Rais mwenyewe analalamika kwa rushwa na ufisadi kukithili kwenye taasisi za serikali. Sijaelewa ni nani anaepaswa kushughulika na haya kama kila mtu analalamika hadi waziri mwenye takukuru!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini " 🫣