sanje
JF-Expert Member
- May 12, 2018
- 458
- 340
Nani anamkumbuka shetwani jiwe?JPM alisema, mtanikumbuka...
Wizi na ufisadi umekithiri mpaka tunajiuliza, kweli tuna rais?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anamkumbuka shetwani jiwe?JPM alisema, mtanikumbuka...
Wizi na ufisadi umekithiri mpaka tunajiuliza, kweli tuna rais?!
Basi nchi haina serikali. Umemaliza kila kitu. Nchi haina Rais ina rahisi tu.Tatizo siyo serikali,tatizo ni hawa wasomi wa kanisa waliojaa huko serikalini calling themselves wataalam,kitu pekee wanachoweza zaidi ni wizi na ufisadi tuh, professional in stealing,tutafute muarobaini wa hawa walafi hawa.
Tatizo hamna pesa.Kwa miezi miwili Sasa malipo hayafanyiki sijui tatizo liko wapi
Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
Wapi huko wewe? Hakuna kitu kama hiko. MUSE hatuna kazi sasa. Acha uongo dogo.Mbona Huku watu wanapiga tenda za halmashauri mazahanati,shule kusuplier vifaa wanazid kusupplie Kila siku
Hii nchi ina mambo wana Ccm walivyosifia mwarabu sikutegemea hali ninayoona mtaani sasaMkuu kwani mwarabu wa dipii wedi hajaanza kumwaga mpunga? maana tuliambiwa taabu itakuwa bai bai...
Mkuu umetumia silaha kali sanaAu unataka tukuwekee hapa mpaka Z-reports zetu hapa ndio uamin?
View attachment 2838698
Ujue sometimes kuna vitu vikiongelewa humu bas watu wanachukulia kila kitu as if ni habar za kupitsha tu time ..kumbe watu wako seriousMkuu umetumia silaha kali sana
Mimi nawashangaa hao DOnors, kama wameona pesa zao zatumika ndiyo sivyo siwaache kutoa hizo pesa? Kwani watalazimishwa?Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.
Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.
HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.
Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.
Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Punguza maneno ya namna hii mkuu.
Ni ombi tu kwa ustawi wa umoja na mshikamano wetu.
Kosoa kiustaarabu na ujivunie utanzania wako. 🙏 🙏 🙏
Donors nani hao? Unaweza kutupa ushahidi wa maandishi au sauti zao wakati wakilalamika Hela zao kuliwa?
Mbona Huku watu wanapiga tenda za halmashauri mazahanati,shule kusuplier vifaa wanazid kusupplie Kila siku
Kweli mkuu watu wanasupplier malori kwa maroli ya mbao,siment,rangiPunguzeni uongo.
Sina shida ya kuwa Chawa mkuu,Punguza uchawa na unafiki. Kwani wao wanapopandisha Bei ya nauli huwa wanapandisha kistaarabu?
Hali ni mbaya mashuleni na kwenye taasisi zinginezo. Takibani miezi 2 sasa hamjapeleka fedha za ruzuku mashuleni. Mliambiwa Elimu Bure hamuiwezi mkashupaza shingo.Donor yupi aliyelalamika, au wewe?
Anaelalamika huyo atakuwa ni sembe.
Sina shida ya kuwa Chawa mkuu,
Nadhani una changamoto ya uelewa. Nilichozungumza ni kwamba kosoa kistaarabu.
Hapo uchawa na unafiki unatoka wapi?. Yumkini hata maana ya msamiati "Mnafiki/unafiki"hujui.
Nachagua kukupuuza mkuu kwa sababu ya lugha zako za kipuuzi.
Ubarikiwe.
Kweli mkuu watu wanasupplier malori kwa maroli ya mbao,siment,rangi