Tetesi: Serikali haina pesa. Hali ni mbaya ya kusua sua baadhi ya Donors waanza kulalamika

Tetesi: Serikali haina pesa. Hali ni mbaya ya kusua sua baadhi ya Donors waanza kulalamika

Tatizo siyo serikali,tatizo ni hawa wasomi wa kanisa waliojaa huko serikalini calling themselves wataalam,kitu pekee wanachoweza zaidi ni wizi na ufisadi tuh, professional in stealing,tutafute muarobaini wa hawa walafi hawa.
Basi nchi haina serikali. Umemaliza kila kitu. Nchi haina Rais ina rahisi tu.
 
Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.

Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.

HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.

Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.

Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Mimi nawashangaa hao DOnors, kama wameona pesa zao zatumika ndiyo sivyo siwaache kutoa hizo pesa? Kwani watalazimishwa?
 
Donors nani hao? Unaweza kutupa ushahidi wa maandishi au sauti zao wakati wakilalamika Hela zao kuliwa?

Umesahau mijadala ya bungeni juzi kwenye kujadili ripoti ya CAG?. Mbona wabunge walilamika wizi ni mkunwa mpaka wengine kutaka kulia. Unadhani wahisani hawapati taarifa?.
 
Punguza uchawa na unafiki. Kwani wao wanapopandisha Bei ya nauli huwa wanapandisha kistaarabu?
Sina shida ya kuwa Chawa mkuu,
Nadhani una changamoto ya uelewa. Nilichozungumza ni kwamba kosoa kistaarabu.
Hapo uchawa na unafiki unatoka wapi?. Yumkini hata maana ya msamiati "Mnafiki/unafiki"hujui.
Nachagua kukupuuza mkuu kwa sababu ya lugha zako za kipuuzi.
Ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom