Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Hujasikia hoja kwamba wachungaji na.masheikh wanaanza kulipwa mishahara na serikali ikiwa ninwadau wakubwa wa kunyoosha wananchi wawe watiifu kwa mamlaka na mungu.
Serikali inanufaika na watu wanaposhindwa ku reason rationally na kuwa addicted na upako. Utaliona hili kamoeni zikianza mwamposa atawaambia kaambiea na mungu raisi kavaa nguo za yanga yaani ccm.
Haya mambo ya makanisa ya kitapeli yameanzia marekani na ni mfumo ulitengenezwa kutuliza fikra tunduizi ili watu wasijielewe na wasijue adui yao mkubwa ni ujinga, irresponsible leaders etc
Serikali inanufaika na watu wanaposhindwa ku reason rationally na kuwa addicted na upako. Utaliona hili kamoeni zikianza mwamposa atawaambia kaambiea na mungu raisi kavaa nguo za yanga yaani ccm.
Haya mambo ya makanisa ya kitapeli yameanzia marekani na ni mfumo ulitengenezwa kutuliza fikra tunduizi ili watu wasijielewe na wasijue adui yao mkubwa ni ujinga, irresponsible leaders etc