Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
- Thread starter
- #61
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.HUYU ALIKUWA ANAPIGWA PINI KALI SANA POO YAKE ILIKUWA NI KUUNGANA NA WATESI
Siwezi kuunga mkono mateso ya wote wanaokosa maarifa. Nitakuwa kwa vitendo sikubaliani na mateso ya Yesu msalabani aliyekufa na kufufuka kwa ajili ya mamilioni ya watu.