Serikali: Hatujalipa kuweka tangazo jengo la Burj Khalifa lililopo Dubai

Serikali: Hatujalipa kuweka tangazo jengo la Burj Khalifa lililopo Dubai

Yap huenda ni kweli hatujalipa....

Ingawa sijui na wao ni kipi / vipi tutawapa favor na wasilipe....

As the saying goes no free lunch..., mwisho wa siku ndio tutajua kama ni Win/Win au kama Kawaida yetu Win kwa Wachache (10%) na Loose kwa Taifa na vizazi vijavyo...
Wewe hapa JF,ni win win?
 
Issue ambayo wengi hawaijui ni kwamba.. hakuna cha bure duniani hapa. Hao jamaa hizo pesa walizotumia watazipataje?

Usishangae wameshaahidiwa kupewa Ngarongoro bure kabisa.

Ni ngumu sana kuwaamini watu wanao taka kujipamba.
Wewe unatumia JF,bure,umewaahidi nini JF?
 
Msemaji wa Serikali kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema haya..

Serikali HAIJALIPIA kuweka tangazo la Tanzania katika jengo refu kuliko yote Duniani liitwalo Burj Khalifa lililopo katika Jiji la Dubai.

Tangazo hilo limewekwa kwa lengo la kuitangaza Tanzania kutokana na uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi yetu na Umoja wa Falme za Kiarabu.

Utawala wa Dubai umeweka tangazo hilo kwa kutambua ziara ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kaifanya Dubai na umeahidi kuendelea kuitangaza Tanzania kupitia jengo hilo maarufu.

Pia soma

===
GHARAMA zilizoelekezwa na mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burj Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya US$ 67,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki TZS 150M kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote hilo la Burj Khalifa.

=>Gharama kwa lisaa limoja ni jumla ya TZS 3BL,

=> Gharama kwa siku moja ni TZS42BL

=> Gharama kwa siku 30 ni TZS 2.2Trilioni,

=>Kwasababu ya mahusiano mazuri kati ya mamlaka za Tanzania na Dubai tumepewa kujitangaza bure Kabisa kwa siku 30,

Nani Kama Rais Samia Suluhu Hassan?


Hoja yangu ni nini hapa,

Kwanza, Huu ni ushahidi wa wazi kwamba sasa ni rasmi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imefunguka Kitaifa & Kimataifa,

Pili,Kupitia matangazo haya Tanzania inakwenda kupata idadi kubwa sana ya wawekezaji wa nje na watalii ambao pengine haijawahi kuwashuhudia tangu Uhuru wake,

Tatu,Rais Samia anakuwa ni Rais mwenye ushawishi zaidi kusini mwa jangwa la Sahara ndani ya muda huu mfupi ( rejelea ziara zake za Ufaransa na Ubelgiji )

Nne, Burj Khalifa ni taasisi yenye zaidi ya followers 10M kwenye akaunti zake za Tweeter, facebook,Telegram na Instagram na nimejaribu kupitia accounts hizi Tanzania ina-trend kwa kasi,
Huyu naye bure kabisa kichwani, nani anakupa hiyo service bure? so you were bribed to consequently submit to their demands?
 
Kulipa mwalalamika,bure mwalalamika.Badala kufuatilia uwekezaji na biashara,mwabakia kulalamika.
 
Msemaji wa Serikali kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema haya..

Serikali HAIJALIPIA kuweka tangazo la Tanzania katika jengo refu kuliko yote Duniani liitwalo Burj Khalifa lililopo katika Jiji la Dubai.

Tangazo hilo limewekwa kwa lengo la kuitangaza Tanzania kutokana na uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi yetu na Umoja wa Falme za Kiarabu.

Utawala wa Dubai umeweka tangazo hilo kwa kutambua ziara ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kaifanya Dubai na umeahidi kuendelea kuitangaza Tanzania kupitia jengo hilo maarufu.

Pia soma

===
GHARAMA zilizoelekezwa na mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burj Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya US$ 67,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki TZS 150M kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote hilo la Burj Khalifa.

=>Gharama kwa lisaa limoja ni jumla ya TZS 3BL,

=> Gharama kwa siku moja ni TZS42BL

=> Gharama kwa siku 30 ni TZS 2.2Trilioni,

=>Kwasababu ya mahusiano mazuri kati ya mamlaka za Tanzania na Dubai tumepewa kujitangaza bure Kabisa kwa siku 30,

Nani Kama Rais Samia Suluhu Hassan?


Hoja yangu ni nini hapa,

Kwanza, Huu ni ushahidi wa wazi kwamba sasa ni rasmi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imefunguka Kitaifa & Kimataifa,

Pili,Kupitia matangazo haya Tanzania inakwenda kupata idadi kubwa sana ya wawekezaji wa nje na watalii ambao pengine haijawahi kuwashuhudia tangu Uhuru wake,

Tatu,Rais Samia anakuwa ni Rais mwenye ushawishi zaidi kusini mwa jangwa la Sahara ndani ya muda huu mfupi ( rejelea ziara zake za Ufaransa na Ubelgiji )

Nne, Burj Khalifa ni taasisi yenye zaidi ya followers 10M kwenye akaunti zake za Tweeter, facebook,Telegram na Instagram na nimejaribu kupitia accounts hizi Tanzania ina-trend kwa kasi,
Tunaomba CAG apitie vizr na kwa umakin zaid uko
 
Wewe unatumia JF,bure,umewaahidi nini JF?
Bila mimi au wewe unadhani kuna JF ?

JF ni user content providers through content zetu watu wanaingia na through hao watu wanapata matangazo..., Wewe unapata Habari, Kutoa Habari na kujumuika na wenzako na wao wanatumia wingi wetu kuweza ku-monitize Jukwaa...

Au unadhani Facebook, Yuotube n.k. wanafanya kazi ya Kanisa ?
 
Bila mimi au wewe unadhani kuna JF ?

JF ni user content providers through content zetu watu wanaingia na through hao watu wanapata matangazo..., Wewe unapata Habari, Kutoa Habari na kujumuika na wenzako na wao wanatumia wingi wetu kuweza ku-monitize Jukwaa...

Au unadhani Facebook, Yuotube n.k. wanafanya kazi ya Kanisa ?
Na ujuwe pia matangazo kwenye hilo jengo,ndio hivyo hivyo,kama wewe unavyokuwepo JF.
 
Nilivosoma hilo jengo ukiweka tangazo siku 30 ni kama 1trillion hvi..

Ila sisi tumepewa bureeee...

Sawa sisiemu tumewasikia...

Acha tusubiri watalii
 
Back
Top Bottom