Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Jf ni bure.Hakuna cha bure hapa duniani.
Kula Uliwe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf ni bure.Hakuna cha bure hapa duniani.
Kula Uliwe!
Wacha ajipongeze mwenyewe,sisi tumpongeze kwa lipi alilo lifanya?Hebu tumpongeze kwanza Rais Samia
Wewe hapa JF,ni win win?Yap huenda ni kweli hatujalipa....
Ingawa sijui na wao ni kipi / vipi tutawapa favor na wasilipe....
As the saying goes no free lunch..., mwisho wa siku ndio tutajua kama ni Win/Win au kama Kawaida yetu Win kwa Wachache (10%) na Loose kwa Taifa na vizazi vijavyo...
🖕🖕Aliyeegiza huo uchuuzi wangu uporwe alikuwa ni rais wa nchi hii hii pia. Nukusaidie kwenye hilo kama hujui.
Wewe unatumia JF,bure,umewaahidi nini JF?Issue ambayo wengi hawaijui ni kwamba.. hakuna cha bure duniani hapa. Hao jamaa hizo pesa walizotumia watazipataje?
Usishangae wameshaahidiwa kupewa Ngarongoro bure kabisa.
Ni ngumu sana kuwaamini watu wanao taka kujipamba.
Acheni kulalamika,mlilamika kulipia,mmeambiwa ni bure pia mnalalamika.Yani muarabu akupe halua bure-bure??
Huyu naye bure kabisa kichwani, nani anakupa hiyo service bure? so you were bribed to consequently submit to their demands?Msemaji wa Serikali kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema haya..
Serikali HAIJALIPIA kuweka tangazo la Tanzania katika jengo refu kuliko yote Duniani liitwalo Burj Khalifa lililopo katika Jiji la Dubai.
Tangazo hilo limewekwa kwa lengo la kuitangaza Tanzania kutokana na uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi yetu na Umoja wa Falme za Kiarabu.
Utawala wa Dubai umeweka tangazo hilo kwa kutambua ziara ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kaifanya Dubai na umeahidi kuendelea kuitangaza Tanzania kupitia jengo hilo maarufu.
Pia soma
- Jengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa - Dubai lapambwa kwa picha za Bendera ya Tanzania
- Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?
===
GHARAMA zilizoelekezwa na mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burj Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya US$ 67,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki TZS 150M kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote hilo la Burj Khalifa.
=>Gharama kwa lisaa limoja ni jumla ya TZS 3BL,
=> Gharama kwa siku moja ni TZS42BL
=> Gharama kwa siku 30 ni TZS 2.2Trilioni,
=>Kwasababu ya mahusiano mazuri kati ya mamlaka za Tanzania na Dubai tumepewa kujitangaza bure Kabisa kwa siku 30,
Nani Kama Rais Samia Suluhu Hassan?
Hoja yangu ni nini hapa,
Kwanza, Huu ni ushahidi wa wazi kwamba sasa ni rasmi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imefunguka Kitaifa & Kimataifa,
Pili,Kupitia matangazo haya Tanzania inakwenda kupata idadi kubwa sana ya wawekezaji wa nje na watalii ambao pengine haijawahi kuwashuhudia tangu Uhuru wake,
Tatu,Rais Samia anakuwa ni Rais mwenye ushawishi zaidi kusini mwa jangwa la Sahara ndani ya muda huu mfupi ( rejelea ziara zake za Ufaransa na Ubelgiji )
Nne, Burj Khalifa ni taasisi yenye zaidi ya followers 10M kwenye akaunti zake za Tweeter, facebook,Telegram na Instagram na nimejaribu kupitia accounts hizi Tanzania ina-trend kwa kasi,
Acheni kulalamika,mlilamika kulipia,mmeambiwa ni bure pia mnalalamika.
Ache-Acheni kulalamika,mlilamika kulipia,mmeambiwa ni bure pia mnalalamika.
Kulalamika lalamika ni ujinga.Ikiwa bure wanalalamika,ikilipiwa wanalalamika,ni ujinga mtupu.Hao waliotuambia huwa hawasemi kweli.
Tunaomba CAG apitie vizr na kwa umakin zaid ukoMsemaji wa Serikali kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema haya..
Serikali HAIJALIPIA kuweka tangazo la Tanzania katika jengo refu kuliko yote Duniani liitwalo Burj Khalifa lililopo katika Jiji la Dubai.
Tangazo hilo limewekwa kwa lengo la kuitangaza Tanzania kutokana na uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi yetu na Umoja wa Falme za Kiarabu.
Utawala wa Dubai umeweka tangazo hilo kwa kutambua ziara ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kaifanya Dubai na umeahidi kuendelea kuitangaza Tanzania kupitia jengo hilo maarufu.
Pia soma
- Jengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa - Dubai lapambwa kwa picha za Bendera ya Tanzania
- Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?
===
GHARAMA zilizoelekezwa na mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burj Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya US$ 67,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki TZS 150M kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote hilo la Burj Khalifa.
=>Gharama kwa lisaa limoja ni jumla ya TZS 3BL,
=> Gharama kwa siku moja ni TZS42BL
=> Gharama kwa siku 30 ni TZS 2.2Trilioni,
=>Kwasababu ya mahusiano mazuri kati ya mamlaka za Tanzania na Dubai tumepewa kujitangaza bure Kabisa kwa siku 30,
Nani Kama Rais Samia Suluhu Hassan?
Hoja yangu ni nini hapa,
Kwanza, Huu ni ushahidi wa wazi kwamba sasa ni rasmi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imefunguka Kitaifa & Kimataifa,
Pili,Kupitia matangazo haya Tanzania inakwenda kupata idadi kubwa sana ya wawekezaji wa nje na watalii ambao pengine haijawahi kuwashuhudia tangu Uhuru wake,
Tatu,Rais Samia anakuwa ni Rais mwenye ushawishi zaidi kusini mwa jangwa la Sahara ndani ya muda huu mfupi ( rejelea ziara zake za Ufaransa na Ubelgiji )
Nne, Burj Khalifa ni taasisi yenye zaidi ya followers 10M kwenye akaunti zake za Tweeter, facebook,Telegram na Instagram na nimejaribu kupitia accounts hizi Tanzania ina-trend kwa kasi,
Utaelewa tu.Ache-
Mli-
Mme-
Mna-
Uta-Utaelewa tu.
Bila mimi au wewe unadhani kuna JF ?Wewe unatumia JF,bure,umewaahidi nini JF?
Na ujuwe pia matangazo kwenye hilo jengo,ndio hivyo hivyo,kama wewe unavyokuwepo JF.Bila mimi au wewe unadhani kuna JF ?
JF ni user content providers through content zetu watu wanaingia na through hao watu wanapata matangazo..., Wewe unapata Habari, Kutoa Habari na kujumuika na wenzako na wao wanatumia wingi wetu kuweza ku-monitize Jukwaa...
Au unadhani Facebook, Yuotube n.k. wanafanya kazi ya Kanisa ?
Ndio .Uta-
Ni kwa sababu Loliondo ni sehemu ya Etisalat chini ya utawala wa OBC, waarabu wawindaji kutoka Emirate.Na kwa nini mtangazwe bure, hapo bado amelikoroga.........