Serikali: Hatujalipa kuweka tangazo jengo la Burj Khalifa lililopo Dubai

Kulipa mwalalamika,bure mwalalamika.Badala kufuatilia uwekezaji na biashara,mwabakia kulalamika.
dah aisee waarabu ni watu wazuri sana kwa Tanzania, tulifanya makosa makubwa kama taifa kwenye hatua ya makudi kufuzu kucheza kombe la dunia walahi hawa waarabu walivyo na mahaba na Tanzania wangetuwezesha kuchukua kombe kwenye ardhi ya kwao piga ua
 
Toka juzi tumewaambia washamba waliodhani tz imelipia tangazo
UAE ni tajiri jamani hana njaa kama wengi wasio na exposure wanavyodhani!
 

 
Yale Yale ya Jiwe,kishindo Cha awamu ya Tano,eti tunajenga kwa pesa ya ndani!!
Sasa tumejua alikuwa anakopa kama kichaa.
Miaka kadhaa ijayo ndio tutajua hatujuhi,itakapodhihirika kuwa ile muvi ya mama ya kutangaza utalii,tumepigwa,hili tangazo tumepigwa,ma ccm ni mahongo,zaidi ya shetani.
 
Hii inji hii in Mrema’s voice
Ni mambo ya hovyo kila kukicha
 
Watu wajinga, wenye wivu na chuki na Samia wanahangaika Sana.

Hata ikibidi kulipa ,alipe tuu;mil.200 kwa faida tutakayopata kama Nchi ni kitu gani?

Utalii unagombewa na kila Nchi afu mtu anaropoka.Hiyu hapa Museven akipigia chapuo utalii wa Nchi yake ,dizaini ya Royal tour👇





 
Wewe unatumia JF,bure,umewaahidi nini JF?

Huu mfano wako embu uchunguze tena kama unafa kuwa humu, ama unataka tujue ulivyo mtupu kichwani?

Maana siku ukijua situmii JF bure utajicheka. hata wewe utajicheka.

Hakuna cha bure dunia hii.

Hata ziwa la mama ako tu unalilipia.utaniuliza kama unapenda nifafanue).
 

Hivi bado kuna watu wanaiamini serikali kwenye kauli zake. Waziri mkuu mwenyewe aliwahi kutoa kauli ya uongo kipindi mwendazake anaumwa. Sembuse msemaji wa serikali?
 
Ni kwa sababu Loliondo ni sehemu ya Etisalat chini ya utawala wa OBC, waarabu wawindaji kutoka Emirate.
Kwa hiyo ni exchange business, mwarabu chukua ngorongoro masai weka tangazo kwenye mnara pale emirates......biashara ya namna hii aliwahi kuifanya chifu mangungo wa kule msovero, sikumbuki ni lini............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…