Serikali: Hatujalipa kuweka tangazo jengo la Burj Khalifa lililopo Dubai

Kwa hiyo ni exchange business, mwarabu chukua ngorongoro masai weka tangazo kwenye mnara pale emirates......biashara ya namna hii aliwahi kuifanya chifu mangungo wa kule msovero, sikumbuki ni lini............
Acha kuzungumza hisia chief,
 
Kwahiyo tujiandae wanyama wetu kuja kubebwa wazima wazima huko Ngorongoro?
 
Rais mwenye ushawishi?

Hiyo mikopo mnayopewa mnadhani ni misaada itokanayo na ushawishi?
 
Ukweli wa hili utajulikana hii awamu ikitoka madarakani.

Hata CAG hawezi kuja na chochote kuhusu hili ila it's too good to be true.

Bure tu! Labda ziseme mamlaka za Dubai siyo Msigwa&Co.
 
Kwani Tz haipati wa talii kwasbb hawajui kama kuna nchi inaitwa Tz au watakuja kwasbb ya Raisi wetu?......tatizo lenu mnalipwa ila hamuwezi kushawishi watu kwa hoja za mantiki.
Hujui umekaria kuti la kale.
Watalii hawafuati TZ wanatafuta interesting objects. Wala siyo bendera ya nchi.
Wewe wakiona twiga au parachichi watazifuata hata kama ni Kongo.
 
akili za kizuzu kbsa why not before, mtalipa in kind au mnaogopa huo ufisadi wa kitoto
 
Masai wa Ngorongoro wahame haraka, tuwapishe waarabu wa Dubai.
Waraabu ni ndugu zetu zaidi.
Tumetoka nao mbali
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hebu tumpongeze kwanza Rais Samia
Tunampongeza sawa, lakini tunapohitaji kuambiwa ukweli tuambiwe. Leo tutaambiwa hilo tangazo halilipiwa, wakati mama Samia asipokuwepo tutaambiwa lilipiwa. which is which?
Awali tuliambiwa hivyohivyo na JPM pesa za Gwalide la uhuru, zikajenge barabara ya Mwenge na barabara ilikamilika na ikafunguliwa kwa matumizi, leo tunaaomba zilitoka serikali ya Japan sijui msaada n.k. Hayo yanasemwa JPM hayupo, angekuwepo pengine angeyajibia.
 
Kazi iendelee,
 
Masai wa Ngorongoro wahame haraka, tuwapishe waarabu wa Dubai.
Waraabu ni ndugu zetu zaidi.
Tumetoka nao mbali
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hata wakitangaza bure faida wataipata kwenye mahotel watayojenga ngorongoro.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…