Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wanazuia kweli au 😂Vipi ushapata mshahara?
Hivi wanazuia kweli au 😂
Mimi nilijaribu saa zima na sikuweza
Tatizo la utendaji duni wa watumishi wa umma wa nchi hii si mambo ya mifumo hiyo wanayowaza kuitumia kuwabana tatizo ni kwamba serikali imeshindwa kutekeleza wajibu wake wa kuwalipa watumishi stahili zao . Suala la malimbikizo ya mishahara serikali imewekeza sana kwenye propaganda za kusema tunalipa tunalipa ! Wakati ukifika kila mamlaka za serikali za mitaa kuna maelfu ya watumishi hawajui kwa nini hawalipwi na watalipwa lini ni kizungumkutiWenye mamlaka wapumbavu sana, fikiria tu mshahara wenyewe mkia wa mbuzi halafu uutumie kuhangaika na huo upumbavu wao, maisha yenyewe gharama juu, wanadhani kila mfanyakazi ana maisha mazuri kama wao, hawajui kuna watu hawana hata 500 ya vocha
Hapana watatolewa mfano wachache tu!Hivi wanazuia kweli au 😂
Mimi nilijaribu saa zima na sikuweza
Serikali ingetumia muda huu kutafakari kwa kina nini kifanyike ili kuachana mfumo wa kikokotoo ambao umewaacha wastaafu hoi licha ya kutumikia nchi hizi kwa uadilifu na uzalendo mkubwa .Mtu anatumikia miaka 30 plus anaambulia pensheni ya mkupuo vihela vichache kama milioni 18.My footKatika Taifa hili hakuna ujinga tunaofanya kama kiwahi technology wakati bado tuna mambo ya kawaida kabisa hatujayaweka sawa...
Ambayo yapo kwenye Haya mambo matatu UJINGA UMASIKINI MARADHI na kwa miaka hii limeongezeka hili la RUSHWA NA UFISADI....
Tungeshughulika na hayo mambo kwanza kwa kweli tungetengeneza taifa imara sanaa
Ni ujinga kudeal na mfumo wakati kuna shule hazina hata matundu ya choo na wanakaa chini
Ni umasikini kumlazimisha mtumishi kujisajir kwenye huu ujinga ukiwa kiwango chake cha mshahara ni 370000
Sio busara kukurupuka na mamifumo kama Haya yanayokula pesa ndefu ikiwa huduma zetu za afya zipo chini sanaaa ambapo mgonjwa anakufa kwenye hosptal ya serikali na mwili unazuiliwa
Ni upuuzi kabisa kukurupuka mavitu kama Haya ikiwa Taifa bado Lina majitu yanajilimbikizia mali nakuiba kila siku na wananchi kunyanyasika pasipo ata huyo mtumishi kuwekewa mazingira mazuri ya kazi na kulindiwa haki zake zenye maslah
Na kuongezea tu. Hela za bando wamewapa watumishi ..? Swali lingine wakumbusheni kuwa kuna watumishi wamehama kutoka halimashauri moja kwenda nyingine huku mishahara yao haijaweza kuhamishwa mpaka sasa hivi. Hao nao wasipo jisajili kwenye huu mfumo mtawakata mshahara wao. .? Hili taifa linaongozwa na mazwazwaaaaa waropokaji wakurupukaji. Kaeni kwa kutulia na mjitafakariNashindwa kuelewa hawa viongozi huwa wana tumia akili gani katika maamuzi yao.
Msidhani kila mtu anaishi mtumba hapo dodoma muwe mnafanya tafiti za kina kabla ya kuleta hiyo mifumo yenu kwanza.
Mfumo wenu unahitaji angalau 3G au H+ Internet speed ili angalau ufanye vizuri wakati huo kuna watumishi wapo vijijini huko ambako hadi leo wanapata internet yenye kasi ya GPRS na EDGE (hilo nina uhakika nalo na ushahidi ninao).
Msitumie ubabe kwenye hili mtatesa watumishi sana, mfumo bado una shida na si rafiki kwa mazingira yetu mnalazimisha nchi kuingia kwenye teknolojia ambazo ki msingi si rafiki kwa kwa aina ya watu na miundo mbinu kifupi hamjawaandaa watumiaji wala miundo mbinu.
Mtumishi ataesimamishiwa mshahara wake alio utumikia mwezi mzima kutokana na majukumu yake kwa mujibu wa makataba wake wa kazi kwa kisa hajajiunga na PEPMIS anione PM kwa masaada wa kisheria.
Mahakama hizi hiziPeleka mahakakamani hao wanyanyasaji
Outliers have a special way of dealing with them.Na kuongezea tu. Hela za bando wamewapa watumishi ..? Swali lingine wakumbusheni kuwa kuna watumishi wamehama kutoka halimashauri moja kwenda nyingine huku mishahara yao haijaweza kuhamishwa mpaka sasa hivi. Hao nao wasipo jisajili kwenye huu mfumo mtawakata mshahara wao. .? Hili taifa linaongozwa na mazwazwaaaaa waropokaji wakurupukaji. Kaeni kwa kutulia na mjitafakari
Umewaza vyema sanaWanajipa kazi ya bure.. hapo inatafutw loophole ipigwe hela kupitia Mishahara inayokuwa pending... nawaza tu kwa sauti.
Wamesharuhusu Mfumo kwa sasa unaweza kujaza majukumu na kuedit progress zako na kuweka majukumu ila Mfumo utakuwa wazi mpaka Ijumaa saa kumi na mbili kujaza majukumu..Hivi wanazuia kweli au 😂
Mimi nilijaribu saa zima na sikuweza
Lile Lisimbachawene ni punguani snaa ana roho mbaya kama Jobu sijui mijitu ya Dodoma ikoje.Nashindwa kuelewa hawa viongozi huwa wana tumia akili gani katika maamuzi yao.
Msidhani kila mtu anaishi mtumba hapo dodoma muwe mnafanya tafiti za kina kabla ya kuleta hiyo mifumo yenu kwanza.
Mfumo wenu unahitaji angalau 3G au H+ Internet speed ili angalau ufanye vizuri wakati huo kuna watumishi wapo vijijini huko ambako hadi leo wanapata internet yenye kasi ya GPRS na EDGE (hilo nina uhakika nalo na ushahidi ninao).
Msitumie ubabe kwenye hili mtatesa watumishi sana, mfumo bado una shida na si rafiki kwa mazingira yetu mnalazimisha nchi kuingia kwenye teknolojia ambazo ki msingi si rafiki kwa kwa aina ya watu na miundo mbinu kifupi hamjawaandaa watumiaji wala miundo mbinu.
Mtumishi ataesimamishiwa mshahara wake alio utumikia mwezi mzima kutokana na majukumu yake kwa mujibu wa makataba wake wa kazi kwa kisa hajajiunga na PEPMIS anione PM kwa masaada wa kisheria.
Serikali ijikite kushughulikia hayo na si kusumbua watumishi na mambo ya mifumo mpaka wakose muda wa kuhudumia wateja waoWatumishi wao wanalia mishahara duni huku gharama za maisha zikiongezeka na kile kikotoo cha kustaafu ni cha kinyonyaji, haya ya mfumo hayana maana kwao.
Ni kweli siyo kwenye nyongeza ya 23percent mnabadili gear angani na utekelezaji wake kuwa 2.3%Lipeni kwanza mishahara ambayo TUCTA wanapendekeza ikiwemo ile nyongeza ya 23%, posho na likizo kwa wakati, rudisheni kikokotoo kilichokuwepo, halafu mje na mifumo.
Hivyo vidude kwanza wana vilalamikia sana ni vibovu vingi havishiki mtandao vibakufa hovyo tu
Inchi imejaa uhuni mwingi sana hii,Nashindwa kuelewa hawa viongozi huwa wana tumia akili gani katika maamuzi yao.
Msidhani kila mtu anaishi mtumba hapo dodoma muwe mnafanya tafiti za kina kabla ya kuleta hiyo mifumo yenu kwanza.
Mfumo wenu unahitaji angalau 3G au H+ Internet speed ili angalau ufanye vizuri wakati huo kuna watumishi wapo vijijini huko ambako hadi leo wanapata internet yenye kasi ya GPRS na EDGE (hilo nina uhakika nalo na ushahidi ninao).
Msitumie ubabe kwenye hili mtatesa watumishi sana, mfumo bado una shida na si rafiki kwa mazingira yetu mnalazimisha nchi kuingia kwenye teknolojia ambazo ki msingi si rafiki kwa kwa aina ya watu na miundo mbinu kifupi hamjawaandaa watumiaji wala miundo mbinu.
Mtumishi ataesimamishiwa mshahara wake alio utumikia mwezi mzima kutokana na majukumu yake kwa mujibu wa makataba wake wa kazi kwa kisa hajajiunga na PEPMIS anione PM kwa masaada wa kisheria.