Serikali iache kunyanyasa watumishi, Mfumo wa PEPMIS hauna uhusiano na mshahara wa Mtumishi alioufanyia kazi mwezi mzima

Serikali iache kunyanyasa watumishi, Mfumo wa PEPMIS hauna uhusiano na mshahara wa Mtumishi alioufanyia kazi mwezi mzima

Wenye mamlaka wapumbavu sana, fikiria tu mshahara wenyewe mkia wa mbuzi halafu uutumie kuhangaika na huo upumbavu wao, maisha yenyewe gharama juu, wanadhani kila mfanyakazi ana maisha mazuri kama wao, hawajui kuna watu hawana hata 500 ya vocha
Tatizo la utendaji duni wa watumishi wa umma wa nchi hii si mambo ya mifumo hiyo wanayowaza kuitumia kuwabana tatizo ni kwamba serikali imeshindwa kutekeleza wajibu wake wa kuwalipa watumishi stahili zao . Suala la malimbikizo ya mishahara serikali imewekeza sana kwenye propaganda za kusema tunalipa tunalipa ! Wakati ukifika kila mamlaka za serikali za mitaa kuna maelfu ya watumishi hawajui kwa nini hawalipwi na watalipwa lini ni kizungumkuti
 
Hivi wanazuia kweli au 😂
Mimi nilijaribu saa zima na sikuweza
Hapana watatolewa mfano wachache tu!
ila Itabdi Nyie wengine muandike barua kwa Wakurugenzi wenu kutoa sababu kwanini hamjajiunga..
Maana nao wataandika Barua Kwa katibu mkuu-Utumishi Kujieleza kwanini surbonates wao hawajasajili mfumo
 
Katika Taifa hili hakuna ujinga tunaofanya kama kiwahi technology wakati bado tuna mambo ya kawaida kabisa hatujayaweka sawa...
Ambayo yapo kwenye Haya mambo matatu UJINGA UMASIKINI MARADHI na kwa miaka hii limeongezeka hili la RUSHWA NA UFISADI....

Tungeshughulika na hayo mambo kwanza kwa kweli tungetengeneza taifa imara sanaa

Ni ujinga kudeal na mfumo wakati kuna shule hazina hata matundu ya choo na wanakaa chini

Ni umasikini kumlazimisha mtumishi kujisajir kwenye huu ujinga ukiwa kiwango chake cha mshahara ni 370000

Sio busara kukurupuka na mamifumo kama Haya yanayokula pesa ndefu ikiwa huduma zetu za afya zipo chini sanaaa ambapo mgonjwa anakufa kwenye hosptal ya serikali na mwili unazuiliwa

Ni upuuzi kabisa kukurupuka mavitu kama Haya ikiwa Taifa bado Lina majitu yanajilimbikizia mali nakuiba kila siku na wananchi kunyanyasika pasipo ata huyo mtumishi kuwekewa mazingira mazuri ya kazi na kulindiwa haki zake zenye maslah
Serikali ingetumia muda huu kutafakari kwa kina nini kifanyike ili kuachana mfumo wa kikokotoo ambao umewaacha wastaafu hoi licha ya kutumikia nchi hizi kwa uadilifu na uzalendo mkubwa .Mtu anatumikia miaka 30 plus anaambulia pensheni ya mkupuo vihela vichache kama milioni 18.My foot
 
Nashindwa kuelewa hawa viongozi huwa wana tumia akili gani katika maamuzi yao.

Msidhani kila mtu anaishi mtumba hapo dodoma muwe mnafanya tafiti za kina kabla ya kuleta hiyo mifumo yenu kwanza.

Mfumo wenu unahitaji angalau 3G au H+ Internet speed ili angalau ufanye vizuri wakati huo kuna watumishi wapo vijijini huko ambako hadi leo wanapata internet yenye kasi ya GPRS na EDGE (hilo nina uhakika nalo na ushahidi ninao).

Msitumie ubabe kwenye hili mtatesa watumishi sana, mfumo bado una shida na si rafiki kwa mazingira yetu mnalazimisha nchi kuingia kwenye teknolojia ambazo ki msingi si rafiki kwa kwa aina ya watu na miundo mbinu kifupi hamjawaandaa watumiaji wala miundo mbinu.

Mtumishi ataesimamishiwa mshahara wake alio utumikia mwezi mzima kutokana na majukumu yake kwa mujibu wa makataba wake wa kazi kwa kisa hajajiunga na PEPMIS anione PM kwa masaada wa kisheria.
Na kuongezea tu. Hela za bando wamewapa watumishi ..? Swali lingine wakumbusheni kuwa kuna watumishi wamehama kutoka halimashauri moja kwenda nyingine huku mishahara yao haijaweza kuhamishwa mpaka sasa hivi. Hao nao wasipo jisajili kwenye huu mfumo mtawakata mshahara wao. .? Hili taifa linaongozwa na mazwazwaaaaa waropokaji wakurupukaji. Kaeni kwa kutulia na mjitafakari
 
Jambo jipya huwa na changamoto mitazamo tofauti ila baada ya muda tutazoea tuu.
 
Na kuongezea tu. Hela za bando wamewapa watumishi ..? Swali lingine wakumbusheni kuwa kuna watumishi wamehama kutoka halimashauri moja kwenda nyingine huku mishahara yao haijaweza kuhamishwa mpaka sasa hivi. Hao nao wasipo jisajili kwenye huu mfumo mtawakata mshahara wao. .? Hili taifa linaongozwa na mazwazwaaaaa waropokaji wakurupukaji. Kaeni kwa kutulia na mjitafakari
Outliers have a special way of dealing with them.
Wahusika/Viongozi watajua Nini chakufanya.
 
Hivi wanazuia kweli au 😂
Mimi nilijaribu saa zima na sikuweza
Wamesharuhusu Mfumo kwa sasa unaweza kujaza majukumu na kuedit progress zako na kuweka majukumu ila Mfumo utakuwa wazi mpaka Ijumaa saa kumi na mbili kujaza majukumu..
Na kama umeshajaz andika progress na Weekly report
 
Nashindwa kuelewa hawa viongozi huwa wana tumia akili gani katika maamuzi yao.

Msidhani kila mtu anaishi mtumba hapo dodoma muwe mnafanya tafiti za kina kabla ya kuleta hiyo mifumo yenu kwanza.

Mfumo wenu unahitaji angalau 3G au H+ Internet speed ili angalau ufanye vizuri wakati huo kuna watumishi wapo vijijini huko ambako hadi leo wanapata internet yenye kasi ya GPRS na EDGE (hilo nina uhakika nalo na ushahidi ninao).

Msitumie ubabe kwenye hili mtatesa watumishi sana, mfumo bado una shida na si rafiki kwa mazingira yetu mnalazimisha nchi kuingia kwenye teknolojia ambazo ki msingi si rafiki kwa kwa aina ya watu na miundo mbinu kifupi hamjawaandaa watumiaji wala miundo mbinu.

Mtumishi ataesimamishiwa mshahara wake alio utumikia mwezi mzima kutokana na majukumu yake kwa mujibu wa makataba wake wa kazi kwa kisa hajajiunga na PEPMIS anione PM kwa masaada wa kisheria.
Lile Lisimbachawene ni punguani snaa ana roho mbaya kama Jobu sijui mijitu ya Dodoma ikoje.

Aliwahi kusema kwamba eti Watumishi wasitumie simu Wakiwa kazini Hadi watoke
 
Watumishi wao wanalia mishahara duni huku gharama za maisha zikiongezeka na kile kikotoo cha kustaafu ni cha kinyonyaji, haya ya mfumo hayana maana kwao.
Serikali ijikite kushughulikia hayo na si kusumbua watumishi na mambo ya mifumo mpaka wakose muda wa kuhudumia wateja wao
 
Lipeni kwanza mishahara ambayo TUCTA wanapendekeza ikiwemo ile nyongeza ya 23%, posho na likizo kwa wakati, rudisheni kikokotoo kilichokuwepo, halafu mje na mifumo.
Ni kweli siyo kwenye nyongeza ya 23percent mnabadili gear angani na utekelezaji wake kuwa 2.3%
 
Nashindwa kuelewa hawa viongozi huwa wana tumia akili gani katika maamuzi yao.

Msidhani kila mtu anaishi mtumba hapo dodoma muwe mnafanya tafiti za kina kabla ya kuleta hiyo mifumo yenu kwanza.

Mfumo wenu unahitaji angalau 3G au H+ Internet speed ili angalau ufanye vizuri wakati huo kuna watumishi wapo vijijini huko ambako hadi leo wanapata internet yenye kasi ya GPRS na EDGE (hilo nina uhakika nalo na ushahidi ninao).

Msitumie ubabe kwenye hili mtatesa watumishi sana, mfumo bado una shida na si rafiki kwa mazingira yetu mnalazimisha nchi kuingia kwenye teknolojia ambazo ki msingi si rafiki kwa kwa aina ya watu na miundo mbinu kifupi hamjawaandaa watumiaji wala miundo mbinu.

Mtumishi ataesimamishiwa mshahara wake alio utumikia mwezi mzima kutokana na majukumu yake kwa mujibu wa makataba wake wa kazi kwa kisa hajajiunga na PEPMIS anione PM kwa masaada wa kisheria.
Inchi imejaa uhuni mwingi sana hii,
 
Back
Top Bottom