Serikali iache mzaha; kuruhusu watoto waliopewa mimba kurudi shule ni anguko la taifa la kesho

Serikali iache mzaha; kuruhusu watoto waliopewa mimba kurudi shule ni anguko la taifa la kesho

Sawa kabisa, na kama taifa ukigongewa mke wako hamna kumshika mtu ugoni! Tuchukuliane madhaifu yetu
kwahiyo mtoto akipata mimba, mchinjie baharini kwa kumuadhibu asiendele na elimu? badala ya kumpa nafasi wakati umri wake bado mdogo asome ili elimu imsaidie na ndoto zake zisiwe zimeishia pale? hivi huwa mnafikiria kwa kutumia akili kweli au mnatumia kitu kingine?
 
Mtoto anavunja ungo akiwa na miaka 12, unataka avumilie kufanya mapenzi hadi afikishe miaka 26 hadi 30? Ni ngumu sana bila nguvu za Mungu kuingilia kati.

Kule boarding school walikuwa wanatuwekea mafuta ya taa kwenye chakula hasa maharage maana walijua vidume tumebalehe tayari.
 
kwahiyo mtoto akipata mimba, mchinjie baharini kwa kumuadhibu asiendele na elimu? badala ya kumpa nafasi wakati umri wake bado mdogo asome ili elimu imsaidie na ndoto zake zisiwe zimeishia pale? hivi huwa mnafikiria kwa kutumia akili kweli au mnatumia kitu kingine?
Sawa na kijana kwanini afungwe miaka 30 jela? Can you justify the case?
 
Hii marufuku iliwanyima maelfu ya wasichana haki ya kupata elimu,kuwatenga na kuwadhalilisha wasichana huku ikiathiri maisha yao ya usoni
Badala ya kuangalia sababu za wasichana kupata mimba kama Hali duni za kiuchumi, kukosa elimu ya uzazi na kujitambua,wasichana kutembea umbali mrefu n.k na namna ya kuzitatua tunakimbilia kuwafukuza that's not fair
 
Mtoto anavunja ungo akiwa na miaka 12, unataka avumilie kufanya mapenzi hadi afikishe miaka 26 hadi 30? Ni ngumu sana bila nguvu za Mungu kuingilia kati.

Kule boarding school walikuwa wanatuwekea mafuta ya taa kwenye chakula hasa maharage maana walijua vidume tumebalehe tayari.
sisapoti uzinzi wala watoto kufanya mapenzi. lakini kuna ukweli ufuatao ambao hauepukiki kuufikiria kichwani kama una akili timamu.

1. Majority ya watoto wanafanya mapenzi hata kabla hawajafika 18. na bado ni watoto akili zao za kitoto, wakipata mimba wachukulie kuwa bdo ni watoto sio watu wazima hata uwahukumu kama watu wazima.

2. kama wanafanya ngono, hata kama utawachunga namna gani, wanawez akupata mimba.

3. akipata mimba ukamchinjia baharini aidha kwa kumhukumu zaidi, kumfukuza home, kumsimamisha masomo, unakuwa umemkomoa kwa kumpa adhabu kubwa kupita kiasi, adhabu ya kukatisha ndoto zake za elimu, hivyo haujamsaidia bali umemharibia zaidi.

4. wewe unayestopisha mtoto asiendelee na elimu kwasababu amepata mimba hauna tofauti yeyote kimatendo na yule aliyempa mimba. wote mnafanya makosa.

5. pamoja na kwamba amepata mimba, lakini bado anahitaji kusaidiwa ili ndoto zake zisiishie hapo.

6. watoto/wanafunzi wanapata mimba kwasababu tu ni wanawake, ingekuwa wanaume pia wanapata mimba, basi watoto wa kiume wangepata mimba nyingi kuliko hata wanawake kwasababu kwa uzoefu wangu mimi mwenyewe kama mwanaume, watoto wanaofanay mapenzi mapema zaidi kuliko wenzao ni wanaume. mwanamke anaweza kuishi bikra hadi miaka 20 na kuendelea, lakini watoto wa kiume wanatoa bikra zao/wanaanza mapenzi mapema sana. watoto wa kike wanakua wakiogopa kufanya mapenzi na wanachelewa kuyaanza kuliko watoto wa kiume.

7. watoto wa kike wanaopata mimba wanatakiwa kusaidiwa zaidi kuliko kukomolewa.

8. ni akili za kiporipori tu ndizo zinaamini mtoto wa kike aliyepata mimba hatakiwi kuendelea kusoma. jifunzeni duniani kwenye nchi za wenzetu walioendelea, wanafanyaje, nasema hivi kwasababu watanzania wengi wanaamini mtoto anatakiwa kuishi hivyohivyo hadi aolewe wapate ng'ombe au pesa za mahali though anapoolewa anakuwa sio bikra na hawajui kama as long as hakuwa bikra angepata mimba na wanamhukumu kuhusu mimba tu ila sio kufanya mapenzi.

9. kupata elimu, kutunzwa na kusaidiwa kufika ndoto zake ni haki ya mtoto, akipata mimba as long as bado ni mtoto usifikiri wajibu huo kama mzazi umefutika bado unawajibika.

10. ni nani ana binti hapa amemsomesha akipata mimba atafurahia aishie hapohapo kwenye suala la elimu? hakuna mzazi wa aina hiyo.

11. hatutakiwi kuwahukumu kuhusu mimba, kama hukumu basi tuhukumu watoto/wanafunzi wote ambao sio bikra, nendeni mashuleni pekueni watoto wote wale ambao bikra ndio wabaki shuleni. wale wote wasio na bikra manake wamekuwa wakifanya mapenzi na kulikuwa na possibility yao kupata mimba na hivyo hawana tofauti yeyote na wale waliopata mimba. kama ndio hukumu mnataka kutoa. manake mnapo wahukumu waliopata mimba peke yake na kuacha hao wanaofanya ngono bila kupata mimba, mnachomaanisha ni kwamba ninyi mliopata mimba tunawahukumu kwa uzembe wa kupata mimba lakini hamhukumu kitendo cha ngono. kama mnataka basi hukumuni kitendo na sio matokeo. acheni kuishi kiporipori, tupo kwenye ulimwengu wa civilization.
 
Kuruhusu watoto wenye mimba waendelee na masomo ni chanzo cha kuruhusu mambo ya hovyo yaendelee kufanyika nchini sooni ushoga utaruhusiwa ni jambo la muda.
 
Aliemtia mimba
mtu yeyote akizidi miaka 18 ni mtu mzima. sheria inatoa adhabu kwa mwanaume mtu mzima kufanya mapenzi na under age (msichana chini ya miaka 18) na kwa underage na mwanafunzi wa sekondari sheria inakataza kuwatia mimba, na ukifanya hivyo adhabu ni miaka 30. ila kwa kijana chini ya miaka 18 akimtia binti chini ya miaka 18 mimba au mwanafunzi, huwa hafungwi kwasababu kijana huyo bado anahesabika ni mtoto na kisheria ya watoto Tanzania, custodial sentence kwa mtoto imezuiliwa. mtoto hafungwi jela mzee. kwahiyo uliza swali lako vizuri kijana gani unataka nifanye justification.

kama nikidandia kwa mbele, binafsi huwa napinga kabisa sheria hii ya kugeneralise kwamba yeyote wa above 18 akitia mimba afungwe. kwangu mimi huwa naamini yeyote chini ya miaka 25 bado ni mtoto kwangu kwasabbu bado yupo kwenye foolish age tu ya kujifunza funza mapenzi, hivyo asiadhibiwe kama limtu lizimaa, au labda angepewa adhabu lakini isiwe 30, kumpa adhabu kubwa naman hiyo ni kumchinjia baharini zaidi, kumkomoa na sio kusaidia jamii. wangepewa adhabu hata ya miaka miwili au isizidi 5.

ila kwa rape zile rape pure yaani ya kukamata kinguvu na kubaka, kubaka vitoto vya miaka 3 n.k, kubaka vitoto chini ya miaka 12 n.k na zinazofanana na hizo ndio mtu ale adhabu maisha au 30.
 
Sheria hiyo ilipaswa izingatie mazingira ya nchi ZETU.
Mazingira gani hayo wakati dunia ipo kwenye convergence kuanzia mambo ya biashara mpaka culture. Yaani watu wanafanya harmonization ya sheria na sera ili kuwepo compatibility na standardization alafu unasema mazingira yetu? Maybe u specify hayo mazingira hayatohusisha wawekezaji ama mikataba ya kimataifa tuliyopledge kusimamia?
Hiyo ni adhabu na haipaswi kuwa kwa mtindo WA huruma
Adhabu ya kuzaa ni kunyimwa elimu? Ndio maana nikasema basi rushwa ya ngono huko makazini mhusika akikamatwa naye avuliwe vyeti vyote maana huwezi adhibu watoto alafu watu wazima unawapa fine tu wakati kosa ni lile lile!!
Elimu pasipo maadili haina maana yoyote ile ndani ya jamii
Nilikuuliza maadili ni sex ukivaa condom ama ni mpaka upate mimba?? Kwanini wasiseme binti wasio na bikra wafukuzwe ila unabana wenye mimba tu ilihali kuna wengine ni wazinzi ila wanatumia kinga na P2??

MY TAKE: visababishi vya maadili kuporomoka mfano porn sites zifungiwe, nyimbo zisizo na maadili zifungiwe, kwenye daladala wawe limited aina za miziki, interaction ipunguzwe kwa mabinti kubaki bwenini n.k ila kama hayo hamshughulikii mtalaumu mabinti bure.
 
Huu uzi ni mgumu sana
ni uzi mgumu kwasababu, akipata mimba ukafukuza asisome unakuwa hujamsaidia, umemchinjia baharini, na hauna tofauti na yule aliyemtia mimba na kumkatisha masomo. jua kabisa mtoto akipata mimba huwa inamuuma sana, kwasababu anapitia aibu nyingi kila mtu anamnyooshea kidole, anajiona ameaibisha familia, anaona aibu kwa wanafunzi wenzie, na anaregret mno. anajiona ana makosa, sasa huo ndio wakati wa muhimu sana kuwa karibu yake ili asikate tamaa ya maisha ya kukatisha ndoto zake, na ili ndoto yake iendelee anatakiwa kupewa nafasi ya kusoma tena, na ninaamini hatafanya makosa tena kama alivyofanya mwanzo. hata hao waliobaki shule sio kwamba hawafanyii mapenzi ni kwasababu tu hawajapata mimba, sasa watu wanakuja kuadhibu matokeo (mimba) badala ya kuadhibu kitendo(ngono). jambo linalowafanya watu wa aina hii wawe aina ya watu wasiofikiri kabisa au wanafikiri kwa kutumia akili za kiporipori. akili za ujima kabisa.
 
Kila mtu ana haki ya kupata elimu, Suala ambalo inatakiwa ufahamu kwamba wanagongwa na kutumia uzazi wa mpango
 
mtu yeyote akizidi miaka 18 ni mtu mzima. sheria inatoa adhabu kwa mwanaume mtu mzima kufanya mapenzi na under age (msichana chini ya miaka 18) na kwa underage na mwanafunzi wa sekondari sheria inakataza kuwatia mimba, na ukifanya hivyo adhabu ni miaka 30. ila kwa kijana chini ya miaka 18 akimtia binti chini ya miaka 18 mimba au mwanafunzi, huwa hafungwi kwasababu kijana huyo bado anahesabika ni mtoto na kisheria ya watoto Tanzania, custodial sentence kwa mtoto imezuiliwa. mtoto hafungwi jela mzee. kwahiyo uliza swali lako vizuri kijana gani unataka nifanye justification.

kama nikidandia kwa mbele, binafsi huwa napinga kabisa sheria hii ya kugeneralise kwamba yeyote wa above 18 akitia mimba afungwe. kwangu mimi huwa naamini yeyote chini ya miaka 25 bado ni mtoto kwangu kwasabbu bado yupo kwenye foolish age tu ya kujifunza funza mapenzi, hivyo asiadhibiwe kama limtu lizimaa, au labda angepewa adhabu lakini isiwe 30, kumpa adhabu kubwa naman hiyo ni kumchinjia baharini zaidi, kumkomoa na sio kusaidia jamii. wangepewa adhabu hata ya miaka miwili au isizidi 5.

ila kwa rape zile rape pure yaani ya kukamata kinguvu na kubaka, kubaka vitoto vya miaka 3 n.k, kubaka vitoto chini ya miaka 12 n.k na zinazofanana na hizo ndio mtu ale adhabu maisha au 30.
Mkuu wew ulibarehe ukiwa na miaka 30??...

Mtoto wa kiume ana balehe akiwa na 14 had 15...kwahyo ni rahis kumpa mimba age mate wake...ila wa kiume atafungwa 30 years ila wa kike atabaki nyumbani na kurud shule....It Ain't Fair.
 
Mkuu wew ulibarehe ukiwa na miaka 30??...

Mtoto wa kiume ana balehe akiwa na 14 had 15...kwahyo ni rahis kumpa mimba age mate wake...ila wa kiume atafungwa 30 years ila wa kike atabaki nyumbani na kurud shule....It Ain't Fair.
hujui unachoongea, nimesema Sheria ya mtoto Tanzania hairuhusu mtoto kufungwa gerezani, mtoto hafungwi. sheria gani hiyo ya mtoto kufungwa 30 unayoongelea? under age yeyote akimpa mtoto mwenzie mimba hafungwi, anaendelea na shule, ila yule wa kike mnataka asiendelee na shule wakati wa kiume anaendelea.
 
hujui unachoongea, nimesema Sheria ya mtoto Tanzania hairuhusu mtoto kufungwa gerezani, mtoto hafungwi. sheria gani hiyo ya mtoto kufungwa 30 unayoongelea? under age yeyote akimpa mtoto mwenzie mimba hafungwi, anaendelea na shule, ila yule wa kike mnataka asiendelee na shule wakati wa kiume anaendelea.
Elimu yetu inamfanya mwanafunz amalze shule akiwa na 18+...Both Girls and Boys ila kwenye case ya mimba wakiume ndo anakua mhanga wa kufungwa ila wa kike anaachiwa tu....afu unasema kjana wa kiume hafungwi?? Seriously
 
Elimu yetu inamfanya mwanafunz amalze shule akiwa na 18+...Both Girls and Boys ila kwenye case ya mimba wakiume ndo anakua mhanga wa kufungwa ila wa kike anaachiwa tu....afu unasema kjana wa kiume hafungwi?? Seriously
1. Tanzania mtoto ni mtu yeyote mwenye miaka 18 kushuka chini.

2. kuanzia balehe hadi miaka 18 watoto wa kiume wanaweza kuwapa mimba watoto wenzao wa kike. lakini sheria inawatambua wote wawili kuwa ni watoto. hata hivyo, watoto wakipeana mimba, yule wa kike ninyi mnataka asiendelee na shule wakati yule wa kiume anabaki anaendelea na shule. hii ndio hoja tunayojadili hapa.

3. hao unaowaongelea waliozidi miaka 18 sio watoto, kisheria ni watu wazima. but hao chini ya miaka 25 ndio hata mimi ninapendekeza adhabu ipungue. ila unachotakiwa kujua ambacho naona huji kwamba hakuna mtoto wa kiume wa chini ya miaka 18 anayefungwa kwa kumpa mimba mtoto mwenzie. sheria ndio inasema hivyo, imemlinda mtoto mtoa mimba, ila ninyi mnataka mtoto wa kiume alindwe ila wa kike ambaye amepata mimba asiendelee na shule wakati kama ni kosa la ngono walifanya wote wawili. kwanini tusiwasaidie wote wawili kuliko akili zenu hizo za kutaka kumwadhibu mtoto wa kike na wakiume aachwe aendelee na shule? ndio maana niliuliza huwa mnafikiria kwa kutumia kitu gani?
 
Kuruhusu watoto wenye mimba waendelee na masomo ni chanzo cha kuruhusu mambo ya hovyo yaendelee kufanyika nchini sooni ushoga utaruhusiwa ni jambo la muda.
Mmeruhusu vigodoro

Mmeruhusu nyimbo za bia tamu na ile ya weka mate iteleze, mmeruhusu singeli na radio na TV za hovyo zisizo na maadili.

Nyie MAFARISAYO mnapenda sana kuhukumu.

Mimi nikisafiri kwenye basi bongofleva zinazopigwa humo ua aibu naona mimi.
 
Inasikitisha sana...

Ikumbukwe ukipata mimba ina maana unajua kufanya matusi...
 
Hata Maghufuli hakuwazuia kupata elimu alikuwa anasema akipata mimba atolewe huko elimu akaendelee nayo kwenye kundi la wakubwa, maana elimu siyo lazima itolewe na mwalimu hata yeye anaweza akawa anawaelimisha wenzie jinsi ya kupata mtoto mwisho wa siku kila mhitimu anarudi nyumbani akiwa na ufaulu wa elimu na malezi ambayo siyo sahihi kabisa kwa jamii zetu, nami naunga la kuwakazia watambue ni kosa kuzaa ukiwa unasoma kwa kumtengenisha na aliokuwa nao.
Tunakuwa bize na siasa kwenye mambo muhimu.
 
Back
Top Bottom