Serikali iache mzaha; kuruhusu watoto waliopewa mimba kurudi shule ni anguko la taifa la kesho

Serikali iache mzaha; kuruhusu watoto waliopewa mimba kurudi shule ni anguko la taifa la kesho

andiko lako refu sana hongera kwa kuchukua muda wako kuandika hisia zako ambazo haziko kitaalamu.
Tuambie ni kwa vipi binti kuwa mjamzito/kuzaa kutampunguzia uwezo wake wa kuelewa darasani.
Unajua kuwa kuzuia watoto waliopata ujauzito ndio kunaongeza utoaji mimba na vifo,je kipi bora mtoto kurudi shule au atoe mimba na kusababisha vifo
unajua asilimia kubwa ya watoto wanaopewa ujauzito ni kutokana na unayanyasaji wa kingono ie kubakwa sasa kwanini aadhibiwe huyu aliyebakwa
je unajua kuwa kumzuia mtoto aliyepewa ujauzito kurudi shule unaongeza pengo katika usawa wa kijinsia ie angalia ratio kuna wanawake wangapi kwenye nafasi za kiuongozi
Hebu jaribu kutafakari namna bora ya mlinda mtoto wa like badala ya kumuadhibu
 
SERIKALI IACHE MZAHA; KURUHUSU WATOTO WALIOPEWA MIMBA KURUDI SHULENI KUSOMA NI ANGUKO LA TAIFA LA KESHO.

Anaandika Robert Heriel.

Naiomba serikali, viongozi wakubwa msikie Jambo hili, tena msifanye mzaha. Huruma huruma za ajabu ajabu katika baadhi ya ishu ni hatari Kwa ustawi wa taifa.

Nafahamu wapo watu wenye roho laini, wenye huruma, lakini siku zote huruma ikizidi huleta Matatizo.

Kuruhusu watoto wakike waliopata mimba kuendelea na shule kimantiki ni Kuruhusu watoto wakike wapewe MIMBA. Yaani mi Kuruhusu mimba mashuleni Kwa lugha ya kawaida.

Nyakati za Magufuli, moja ya mambo niliungana naye ni pamoja na hili. Hatuwezi kuwa wapole na wenye huruma katika masuala haya ya Msingi.

Nani asiyejua nchi yetu ni masikini, Nani asiyejua familia zetu nyingi ni familia zilizozidiwa na ufukara. Kuzaa kunahitaji maandalizi, kuzaa kunahitaji mipango, kunahitaji wazazi wawili wenye akili iliyokomaa. Kuruhusu watoto waliopewa ujauzito waendelee na shule ni kuongeza matatizo ya kimaadili na kiuchumi.

Niliwahi kuandika kuwa serikali Kwa sehemu kubwa inachangia kumomonyoko Kwa maadili ya jamii.

Unamsomesha aliyepata mimba shuleni na wakati huo huo unamfunga miaka 30 aliyembebesha mimba huyo binti, hiyo ni Akili kweli, embu tutafakari. Kama tumeamua kuwapa watu adhabu acheni wapewe adhabu.

Huyu apoteze haki ya kusoma Kwa kukubali kudanganywa akapewa mimba, huyu mwingine afungwe Kwa kushindwa kujizuia hisia zake na kumpa mimba mtoto wa kike.

Mtoto yeyote aliyebalehe mwenye uwezo wa kubeba mimba ni Mkubwa, na anavigezo vyote vya kuitwa mama ndio maana akabeba mimba.

Kuhusu suala la akili ni ishu nyingine kabisa Kwa maana wapo watu wazima kiumri lakini hawana akili za kikubwa, na wapo watu wenye umri Kati ya 15-18 ambao wanaakili za kikubwa. Hivyo logically hatuwezi kusema Umri ni Akili au akili ni Umri ikiwa wapo wenye umri mkubwa wanazidiwa akili na wenye umri mdogo.

Kuruhusu wanafunzi waliopewa mimba wasome ni kuidhinisha zinaa ndani ya nchi. Ni kuitangazia dunia kuwa nchi yetu inaruhusu zinaa. Hapatakuwa na hofu yoyote Kwa mabinti kushiriki tendo la ndoa.

Serikali na watu wote tutambue kuwa moja ya mambo yanayowatisha mabinti wa kike wasifanye zinaa ni Kama ifuatavyo;

1. Kasumba ya kuumia wakati WA kutolewa Bikra.( Hii ni Kwa ambao hawajawahi kufanya kabisa).

2. Aibu ya maumbile. Wasichana kuogopa kuonekana nyuchi na maungo Yao ya Siri kwani wanahofia Kuambiwa wanamaumbile mabaya.

3. Kupata MIMBA
Mabinti wengi huogopa zaidi mimba kuliko magonjwa ya zinaa.

4. Kupata magonjwa ya zinaa Kama UKIMWI
Japo hii sio Sana lakini ni moja ya sababu kuu nne zinazowafanya mabinti waogope kuingia kwenye tendo la ndoa.

5. Maadili ya Dini na wazazi
Wapo watoto waliolelewa wakaleleka. Hawa huogopa kujiingiza kwenye tendo la ndoa mapema Kwa sababu ya Mafunzo waliyopewa. Hawa ni wachache.

Sababu namba tatu ambayo ni kupata mimba ni sababu nyeti mno ambayo mabinti huogopa kufanya ngono hovyo hovyo. Hii ni kutokana na kuwa mimba huwafanya wafukuzwe shule, lakini la pili mimba ni aibu kwao wenyewe na wazazi wao. Mimba huwaumbua kwa Yale waliyofanyia gizani sasa hutokea hadharani Kwa tumbo kuvimba.

Kuruhusu mimba shuleni ni Kuruhusu watoto wasio na Baba.

Kuruhusu Mimba shuleni ni Kuruhusu watoto wa mitaani kwani familia nyingi za kibongo ni Masikini.

Kuruhusu Mimba shuleni ni Kuruhusu ongezeko la single Mama hapo Baadaye ambalo kimsingi linaathari hata hivi sasa.

Kuruhusu Mimba shuleni ni Kuruhusu taifa kuelemewa na Kundi tegemezi ambalo halilisaidii TAIFA.

Kuruhusu Mimba shuleni kutaathiri maadili ya watoto kwenye malezi kwani wamama wazazi watakuwa shuleni wakisoma wakati Mtoto akiachwa Kwa mfanyakazi wa ndani, sasa jiulize ni familia ngapi zinauwezo WA kuajiri mfanyakazi wa ndani.

Kuruhusu Mimba shuleni ni kuhujumu nguvu kazi ya nchi; kwani Mwanaume atafungwa, mama atarudi shule, Bibi naye Kwa vile bado ni kijana afanyaye kazi labda ni kilimo au ujasiriamali au kazi za ualimu, uhasibu n.k watabidi waache kazi zao wadili na mtoto au waajirifanyakazi WA ndani ili wamlipe Mshahara Mdogo usiozidi 50,000 ambao pia ni uhujumu uchumi.

Serikali iache zile sheria za shule Kama zilivyo.
Atakayempa mimba mwanafunzi apate miaka yake 30 jela, na mwanafunzi afukuzwe shule. Kumbuka nimesema hakuna mtoto anayebeba Mimba.
Mtu au kiumbe chochote chenye uwezo wa kubeba mimba ujue kimekomaa, imefikisha umri wa kuitwa Mkubwa.
Kwenye nature au asili, kubeba mimba au kutungisha mimba ni moja ya ishara ya ukubwa.

Serikali na wazazi tusiendekeze mambo haya. Nafahamu Sisi sote tuwazazi, wanaopata mimba ni binti zetu, dada zetu, watoto wetu n.k lakini lazima tuwe wakali katika hili.

Mtoto aambiwe angali mdogo, ukipata mimba shule unafukuzwa, nyumbani unafukuzwa, yaani mtoto akijua Jambo hilo hawezi pata mimba ninauhakika. Hofu ndiyo ilifanya kizazi kilichopita kubaki na maadili.

Familia zinazoendekeza watoto ndizo hupata madhara ya watoto kupatwa na mimba wakiwa shuleni, kuwa mashoga, kuvuta bango na kutumia madawa ya kulevya.

Nafahamu kuna Exceptional katika mambo mengi, hivyo hata katika Jambo hili wapo wanaopatwa na madhara Kwa bahati mbaya tuu Kama kubakwa Kwa lazima, kulazimishwa kunywa madawa ya kulevya, kulawitiwa n.k. lakini kundi hili wapo wachache mno,
Wengi Hufanya Kwa hiyari Yao wenyewe.

Serikali nafahamu inaweza ikawa inahitaji pesa Fulani kutoka nchi za nje, ikiwa ni hivyo nasi itumie Siasa katika Jambo hili. Kwenye media iwe mataifa wanajua kuwa tunaruhusu wanafunzi waliopewa mimba kuendelea kusoma lakini kiuhalisia hakuna kitu Kama hicho.


Kalagabaho!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa OSTERBAY, DAR ES SALAAM
Mkuu upo sahihi , acha kuwajibu wapuuzi ambao wanatetea zinaa eti kwasababu za kipumbavu.

Kwenye mambo ya kipumbavu kama haya tutawajibu wote mnaotetea upuuzi bila kujali nafasi yako.
 
SERIKALI IACHE MZAHA; KURUHUSU WATOTO WALIOPEWA MIMBA KURUDI SHULENI KUSOMA NI ANGUKO LA TAIFA LA KESHO.

Anaandika Robert Heriel.

Naiomba serikali, viongozi wakubwa msikie Jambo hili, tena msifanye mzaha. Huruma huruma za ajabu ajabu katika baadhi ya ishu ni hatari Kwa ustawi wa taifa.

Nafahamu wapo watu wenye roho laini, wenye huruma, lakini siku zote huruma ikizidi huleta Matatizo.

Kuruhusu watoto wakike waliopata mimba kuendelea na shule kimantiki ni Kuruhusu watoto wakike wapewe MIMBA. Yaani mi Kuruhusu mimba mashuleni Kwa lugha ya kawaida.

Nyakati za Magufuli, moja ya mambo niliungana naye ni pamoja na hili. Hatuwezi kuwa wapole na wenye huruma katika masuala haya ya Msingi.

Nani asiyejua nchi yetu ni masikini, Nani asiyejua familia zetu nyingi ni familia zilizozidiwa na ufukara. Kuzaa kunahitaji maandalizi, kuzaa kunahitaji mipango, kunahitaji wazazi wawili wenye akili iliyokomaa. Kuruhusu watoto waliopewa ujauzito waendelee na shule ni kuongeza matatizo ya kimaadili na kiuchumi.

Niliwahi kuandika kuwa serikali Kwa sehemu kubwa inachangia kumomonyoko Kwa maadili ya jamii.

Unamsomesha aliyepata mimba shuleni na wakati huo huo unamfunga miaka 30 aliyembebesha mimba huyo binti, hiyo ni Akili kweli, embu tutafakari. Kama tumeamua kuwapa watu adhabu acheni wapewe adhabu.

Huyu apoteze haki ya kusoma Kwa kukubali kudanganywa akapewa mimba, huyu mwingine afungwe Kwa kushindwa kujizuia hisia zake na kumpa mimba mtoto wa kike.

Mtoto yeyote aliyebalehe mwenye uwezo wa kubeba mimba ni Mkubwa, na anavigezo vyote vya kuitwa mama ndio maana akabeba mimba.

Kuhusu suala la akili ni ishu nyingine kabisa Kwa maana wapo watu wazima kiumri lakini hawana akili za kikubwa, na wapo watu wenye umri Kati ya 15-18 ambao wanaakili za kikubwa. Hivyo logically hatuwezi kusema Umri ni Akili au akili ni Umri ikiwa wapo wenye umri mkubwa wanazidiwa akili na wenye umri mdogo.

Kuruhusu wanafunzi waliopewa mimba wasome ni kuidhinisha zinaa ndani ya nchi. Ni kuitangazia dunia kuwa nchi yetu inaruhusu zinaa. Hapatakuwa na hofu yoyote Kwa mabinti kushiriki tendo la ndoa.

Serikali na watu wote tutambue kuwa moja ya mambo yanayowatisha mabinti wa kike wasifanye zinaa ni Kama ifuatavyo;

1. Kasumba ya kuumia wakati WA kutolewa Bikra.( Hii ni Kwa ambao hawajawahi kufanya kabisa).

2. Aibu ya maumbile. Wasichana kuogopa kuonekana nyuchi na maungo Yao ya Siri kwani wanahofia Kuambiwa wanamaumbile mabaya.

3. Kupata MIMBA
Mabinti wengi huogopa zaidi mimba kuliko magonjwa ya zinaa.

4. Kupata magonjwa ya zinaa Kama UKIMWI
Japo hii sio Sana lakini ni moja ya sababu kuu nne zinazowafanya mabinti waogope kuingia kwenye tendo la ndoa.

5. Maadili ya Dini na wazazi
Wapo watoto waliolelewa wakaleleka. Hawa huogopa kujiingiza kwenye tendo la ndoa mapema Kwa sababu ya Mafunzo waliyopewa. Hawa ni wachache.

Sababu namba tatu ambayo ni kupata mimba ni sababu nyeti mno ambayo mabinti huogopa kufanya ngono hovyo hovyo. Hii ni kutokana na kuwa mimba huwafanya wafukuzwe shule, lakini la pili mimba ni aibu kwao wenyewe na wazazi wao. Mimba huwaumbua kwa Yale waliyofanyia gizani sasa hutokea hadharani Kwa tumbo kuvimba.

Kuruhusu mimba shuleni ni Kuruhusu watoto wasio na Baba.

Kuruhusu Mimba shuleni ni Kuruhusu watoto wa mitaani kwani familia nyingi za kibongo ni Masikini.

Kuruhusu Mimba shuleni ni Kuruhusu ongezeko la single Mama hapo Baadaye ambalo kimsingi linaathari hata hivi sasa.

Kuruhusu Mimba shuleni ni Kuruhusu taifa kuelemewa na Kundi tegemezi ambalo halilisaidii TAIFA.

Kuruhusu Mimba shuleni kutaathiri maadili ya watoto kwenye malezi kwani wamama wazazi watakuwa shuleni wakisoma wakati Mtoto akiachwa Kwa mfanyakazi wa ndani, sasa jiulize ni familia ngapi zinauwezo WA kuajiri mfanyakazi wa ndani.

Kuruhusu Mimba shuleni ni kuhujumu nguvu kazi ya nchi; kwani Mwanaume atafungwa, mama atarudi shule, Bibi naye Kwa vile bado ni kijana afanyaye kazi labda ni kilimo au ujasiriamali au kazi za ualimu, uhasibu n.k watabidi waache kazi zao wadili na mtoto au waajirifanyakazi WA ndani ili wamlipe Mshahara Mdogo usiozidi 50,000 ambao pia ni uhujumu uchumi.

Serikali iache zile sheria za shule Kama zilivyo.
Atakayempa mimba mwanafunzi apate miaka yake 30 jela, na mwanafunzi afukuzwe shule. Kumbuka nimesema hakuna mtoto anayebeba Mimba.
Mtu au kiumbe chochote chenye uwezo wa kubeba mimba ujue kimekomaa, imefikisha umri wa kuitwa Mkubwa.
Kwenye nature au asili, kubeba mimba au kutungisha mimba ni moja ya ishara ya ukubwa.

Serikali na wazazi tusiendekeze mambo haya. Nafahamu Sisi sote tuwazazi, wanaopata mimba ni binti zetu, dada zetu, watoto wetu n.k lakini lazima tuwe wakali katika hili.

Mtoto aambiwe angali mdogo, ukipata mimba shule unafukuzwa, nyumbani unafukuzwa, yaani mtoto akijua Jambo hilo hawezi pata mimba ninauhakika. Hofu ndiyo ilifanya kizazi kilichopita kubaki na maadili.

Familia zinazoendekeza watoto ndizo hupata madhara ya watoto kupatwa na mimba wakiwa shuleni, kuwa mashoga, kuvuta bango na kutumia madawa ya kulevya.

Nafahamu kuna Exceptional katika mambo mengi, hivyo hata katika Jambo hili wapo wanaopatwa na madhara Kwa bahati mbaya tuu Kama kubakwa Kwa lazima, kulazimishwa kunywa madawa ya kulevya, kulawitiwa n.k. lakini kundi hili wapo wachache mno,
Wengi Hufanya Kwa hiyari Yao wenyewe.

Serikali nafahamu inaweza ikawa inahitaji pesa Fulani kutoka nchi za nje, ikiwa ni hivyo nasi itumie Siasa katika Jambo hili. Kwenye media iwe mataifa wanajua kuwa tunaruhusu wanafunzi waliopewa mimba kuendelea kusoma lakini kiuhalisia hakuna kitu Kama hicho.


Kalagabaho!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa OSTERBAY, DAR ES SALAAM
Mkuu ukishaolewa kulala uchi ni SHURTI...

Una hela gani wewe. Mabeberu walishawaoa, hamna say yeyootee.

Huna la kufanya. Mshakula hela zao.

Na mashoga wanaruhisiwa soon.

Subiri hapahapaaa..
 
SERIKALI IACHE MZAHA; KURUHUSU WATOTO WALIOPEWA MIMBA KURUDI SHULENI KUSOMA NI ANGUKO LA TAIFA LA KESHO.

Anaandika Robert Heriel.

Naiomba serikali, viongozi wakubwa msikie Jambo hili, tena msifanye mzaha. Huruma huruma za ajabu ajabu katika baadhi ya ishu ni hatari Kwa ustawi wa taifa.

Nafahamu wapo watu wenye roho laini, wenye huruma, lakini siku zote huruma ikizidi huleta Matatizo.

Kuruhusu watoto wakike waliopata mimba kuendelea na shule kimantiki ni Kuruhusu watoto wakike wapewe MIMBA. Yaani mi Kuruhusu mimba mashuleni Kwa lugha ya kawaida.

Nyakati za Magufuli, moja ya mambo niliungana naye ni pamoja na hili. Hatuwezi kuwa wapole na wenye huruma katika masuala haya ya Msingi.

Nani asiyejua nchi yetu ni masikini, Nani asiyejua familia zetu nyingi ni familia zilizozidiwa na ufukara. Kuzaa kunahitaji maandalizi, kuzaa kunahitaji mipango, kunahitaji wazazi wawili wenye akili iliyokomaa. Kuruhusu watoto waliopewa ujauzito waendelee na shule ni kuongeza matatizo ya kimaadili na kiuchumi.

Niliwahi kuandika kuwa serikali Kwa sehemu kubwa inachangia kumomonyoko Kwa maadili ya jamii.

Unamsomesha aliyepata mimba shuleni na wakati huo huo unamfunga miaka 30 aliyembebesha mimba huyo binti, hiyo ni Akili kweli, embu tutafakari. Kama tumeamua kuwapa watu adhabu acheni wapewe adhabu.

Huyu apoteze haki ya kusoma Kwa kukubali kudanganywa akapewa mimba, huyu mwingine afungwe Kwa kushindwa kujizuia hisia zake na kumpa mimba mtoto wa kike.

Mtoto yeyote aliyebalehe mwenye uwezo wa kubeba mimba ni Mkubwa, na anavigezo vyote vya kuitwa mama ndio maana akabeba mimba.

Kuhusu suala la akili ni ishu nyingine kabisa Kwa maana wapo watu wazima kiumri lakini hawana akili za kikubwa, na wapo watu wenye umri Kati ya 15-18 ambao wanaakili za kikubwa. Hivyo logically hatuwezi kusema Umri ni Akili au akili ni Umri ikiwa wapo wenye umri mkubwa wanazidiwa akili na wenye umri mdogo.

Kuruhusu wanafunzi waliopewa mimba wasome ni kuidhinisha zinaa ndani ya nchi. Ni kuitangazia dunia kuwa nchi yetu inaruhusu zinaa. Hapatakuwa na hofu yoyote Kwa mabinti kushiriki tendo la ndoa.

Serikali na watu wote tutambue kuwa moja ya mambo yanayowatisha mabinti wa kike wasifanye zinaa ni Kama ifuatavyo;

1. Kasumba ya kuumia wakati WA kutolewa Bikra.( Hii ni Kwa ambao hawajawahi kufanya kabisa).

2. Aibu ya maumbile. Wasichana kuogopa kuonekana nyuchi na maungo Yao ya Siri kwani wanahofia Kuambiwa wanamaumbile mabaya.

3. Kupata MIMBA
Mabinti wengi huogopa zaidi mimba kuliko magonjwa ya zinaa.

4. Kupata magonjwa ya zinaa Kama UKIMWI
Japo hii sio Sana lakini ni moja ya sababu kuu nne zinazowafanya mabinti waogope kuingia kwenye tendo la ndoa.

5. Maadili ya Dini na wazazi
Wapo watoto waliolelewa wakaleleka. Hawa huogopa kujiingiza kwenye tendo la ndoa mapema Kwa sababu ya Mafunzo waliyopewa. Hawa ni wachache.

Sababu namba tatu ambayo ni kupata mimba ni sababu nyeti mno ambayo mabinti huogopa kufanya ngono hovyo hovyo. Hii ni kutokana na kuwa mimba huwafanya wafukuzwe shule, lakini la pili mimba ni aibu kwao wenyewe na wazazi wao. Mimba huwaumbua kwa Yale waliyofanyia gizani sasa hutokea hadharani Kwa tumbo kuvimba.

Kuruhusu mimba shuleni ni Kuruhusu watoto wasio na Baba.

Kuruhusu Mimba shuleni ni Kuruhusu watoto wa mitaani kwani familia nyingi za kibongo ni Masikini.

Kuruhusu Mimba shuleni ni Kuruhusu ongezeko la single Mama hapo Baadaye ambalo kimsingi linaathari hata hivi sasa.

Kuruhusu Mimba shuleni ni Kuruhusu taifa kuelemewa na Kundi tegemezi ambalo halilisaidii TAIFA.

Kuruhusu Mimba shuleni kutaathiri maadili ya watoto kwenye malezi kwani wamama wazazi watakuwa shuleni wakisoma wakati Mtoto akiachwa Kwa mfanyakazi wa ndani, sasa jiulize ni familia ngapi zinauwezo WA kuajiri mfanyakazi wa ndani.

Kuruhusu Mimba shuleni ni kuhujumu nguvu kazi ya nchi; kwani Mwanaume atafungwa, mama atarudi shule, Bibi naye Kwa vile bado ni kijana afanyaye kazi labda ni kilimo au ujasiriamali au kazi za ualimu, uhasibu n.k watabidi waache kazi zao wadili na mtoto au waajirifanyakazi WA ndani ili wamlipe Mshahara Mdogo usiozidi 50,000 ambao pia ni uhujumu uchumi.

Serikali iache zile sheria za shule Kama zilivyo.
Atakayempa mimba mwanafunzi apate miaka yake 30 jela, na mwanafunzi afukuzwe shule. Kumbuka nimesema hakuna mtoto anayebeba Mimba.
Mtu au kiumbe chochote chenye uwezo wa kubeba mimba ujue kimekomaa, imefikisha umri wa kuitwa Mkubwa.
Kwenye nature au asili, kubeba mimba au kutungisha mimba ni moja ya ishara ya ukubwa.

Serikali na wazazi tusiendekeze mambo haya. Nafahamu Sisi sote tuwazazi, wanaopata mimba ni binti zetu, dada zetu, watoto wetu n.k lakini lazima tuwe wakali katika hili.

Mtoto aambiwe angali mdogo, ukipata mimba shule unafukuzwa, nyumbani unafukuzwa, yaani mtoto akijua Jambo hilo hawezi pata mimba ninauhakika. Hofu ndiyo ilifanya kizazi kilichopita kubaki na maadili.

Familia zinazoendekeza watoto ndizo hupata madhara ya watoto kupatwa na mimba wakiwa shuleni, kuwa mashoga, kuvuta bango na kutumia madawa ya kulevya.

Nafahamu kuna Exceptional katika mambo mengi, hivyo hata katika Jambo hili wapo wanaopatwa na madhara Kwa bahati mbaya tuu Kama kubakwa Kwa lazima, kulazimishwa kunywa madawa ya kulevya, kulawitiwa n.k. lakini kundi hili wapo wachache mno,
Wengi Hufanya Kwa hiyari Yao wenyewe.

Serikali nafahamu inaweza ikawa inahitaji pesa Fulani kutoka nchi za nje, ikiwa ni hivyo nasi itumie Siasa katika Jambo hili. Kwenye media iwe mataifa wanajua kuwa tunaruhusu wanafunzi waliopewa mimba kuendelea kusoma lakini kiuhalisia hakuna kitu Kama hicho.


Kalagabaho!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa OSTERBAY, DAR ES SALAAM
Mojawapo ya madhara yanayotupata kwa kuongozwa na mwanamke, anafikiri huruma ni kuruhusu mambo ya hovyo kama hilo. Marehemu raisi Mkapa alianzisha vitu kama MEMKWA. Sasa kila msichana aliyevunja ungo atataka kujaribu kupata mimba ili ajisikilizie mabadiliko ya mwili. Ni kichocheo kwa marafiki kupata mimba
 
Ndio maana ya Adhabu

Lengo la adhabu ni kukuonya na kumfundisha mtu.

Huyo binti na kijana kila mmoja atumikie adhabu yake ili iwe fundisho Kwa wengine.

Elimu pasipo na maadili haina maana yoyote.
Umesisitiza sana kwamba Elimu pasipo na maadili haina maana yeyote, ninaomba ufafanuzi, maadili ni nini?
 
Nimeshangaa sana unapokomalia kuwa kila anayepata mimba n mkubwa na anajielewa ungekua kwenye jamii zetu ukaona vibinti vidogo hata balehe bado vinafanya ngono bila kujua madhara yake ungekomaa na Serikali waendelee kutoa elimu ya jinsia kwanzia primary school kunusuru kizazi na sio kufukuza wenye mimba shule. Zipo cases nyingi za waliorudi shule na wakafaulu vzr zaidi tuwasaidie watt wetu
Dah Mkuu kwanza hamna anaefanya ngono akiwa hajui madhara yake labda ni kichaa tu,,,

watoto wanafundishwa toka shule ya msingi na wanajua madhara ya ngono kwa umri wao sema tu kizazi kishaoza hiki ata tukihangaika vipi amna kitu tatizo ni kumnyima haki mtot wa kiume hapo maana mwanaume ata kama alikua mtot wa miaka 17 au 16 atafungwa alafu wakike aludi tena shule
naona kuna madudu mengi hapo halafu kwa kizazi hiki cha nyoka wataigana sasa wataona kama wapo chuo kikuu akizaa mmja bas wengine wataiga sababu wanapewa room kuzidi kufanya uchafu
 
kwani wakinyonyesha na shule inaendelea kuna shida gani? wewe ulipokuwa unasoma sekondari ulikuwa bikra au walishafumua kitambo? kama ulishafumuliwaga ungepata mimba ukanyimwa elimu ungejisikiaje au ungekuwa hapo ulipo sasa? shida mnafikiri kwa kutumia masaburi.
Tuma na salam
 
Mimi hili rai yangu binti aendelee na shule lakini apewe adhabu ya kutumikia jela miaka 5, jela ya watoto kisha akitoka aendelee na shule. Na kwa mwanaume miaka 30 ibaki palepale..
 
HAO WAPUUZI, MITOTO YAO ISHAPIGWA MIMBA HUKO NDO WANARUHUSU WENYE MIMBA WAENDELEE KUSOMA ILI WAWAPACHIKE MAKAZINI KAMA WAO WALIVOPACHIKWA.

WENGINE NI MAHAWARA ZAO. WAKAONA ISIWE TABU ANGALAU WAPATE KIJICERTIFICATE WAWAUNGANISHE KWENYE MICHONGO YA WATU WA MASTERS.
 
Mumbai kwa watoto wa kike ni one mistake, one goal. Serikali au jamii, haifaidiki chochote kwa kumnyima elimu binti huyu aliyepata mimba.

Ukimnyima elimu huyu mama, ndio umempeleka kwenye umaskini pamoja na mwanae. Wengi mara nyingi hukimbilia kwenye biashara ya ukahaba. Lakini akipewa second chance, hatakuwa tegemezi kwa mtu yoyote.

Hili tatizo huwa janga mara dufu kwenye familia maskini. Katika familia za waliojiweza, hili sio tatizo. Msichana atajifungua, mtoto atapelekwa kwa shangazi kulelewa, na binti atahamishwa mkoa mwingine ili amalize shule. Lakini mtoto wa maskini, mimba ndio mwisho wa ndoto zao za maisha.

Na yule kidume aliyetia mimba yupo wapi?
 
Nimeshangaa sana unapokomalia kuwa kila anayepata mimba n mkubwa na anajielewa ungekua kwenye jamii zetu ukaona vibinti vidogo hata balehe bado vinafanya ngono bila kujua madhara yake ungekomaa na Serikali waendelee kutoa elimu ya jinsia kwanzia primary school kunusuru kizazi na sio kufukuza wenye mimba shule. Zipo cases nyingi za waliorudi shule na wakafaulu vzr zaidi tuwasaidie watt wetu

kama mtoto wa 12 anapelekewa ukuni hiyo sio kazi ya mletamada ni nyingi kaka na dada zao ndio mna matatizo.
 
Hii nchi kwa kubaniana hadi elimu duh
Dhumuni la elimu ni kutoa ujinga
Mtt akijifungua arud shule
 
na anaempa mimba mwanafunzi nae asemehewe au alipe faini au amtunze mtoto sio kumfunga na huyu unamuachia
 
Back
Top Bottom