Serikali iboreshe sheria ya Ndoa za Kikristu ili ziruhusu talaka kuepusha mauaji na fumanizi

sasa mbona mahakamani wanatoa talaka freshi tu kwa ndoa za kikristo wewe ndo ulikua hujui
 
Serikali sio mwasisi wa ndoa za kikristo so haiwezi kuingiilia misingi yake,
Msingi na kanuni za ndoa kikristo ni Neno ambalo halibadiliki badiliki, so kazi ipo ni uvumilivu na kusameheana na kuombeana 😀
 
Serikali sio mwasisi wa ndoa za kikristo so haiwezi kuingiilia misingi yake,
Msingi na kanuni za ndoa kikristo ni Neno ambalo halibadiliki badiliki, so kazi ipo ni uvumilivu na kusameheana na kuombeana 😀
Kwanini inatoa cheti
 
Labda hiyo kristu. Lakini Mkristo wa kweli hawezi kuifanya serikali wala mamlaka yoyote duniani kuwa Kristo!. Umepotea, nenda eneo lingine hii agenda si yako.
 
Tatizo upo ili kukashifu watu fulani, na huyo ni pepo. Umelelewa katika misingi ya kizinufi
Unauelewa mdogo sana wewe siyo level yangu! Sitakujibu tena! Nisamehe kwa kukwambia vyeti ni vya serikali ila wachungaji wanachokifanya ni uwakala wa kugawa hivyo vyeti!
 
Serikali haiwezi kuingilia mambo ya kidini zaidi na kikatiba wananchi wamepewa uhuru wa kuchagua dini wazitakazo ikiweno kufunga ndoa katika dini wazipendazo.

Kabisa, yaani serikali na ukiristu wapi na wapi. Serikali haina dini.
 
Ni uthibitisho kwa wanandoa!
Serikali inatambua cheti cha ndoa, ila haiusuki na utoaji wa vyeti vya ndoa. We ndoa ya wapi uliona unaenda kuchukulia cheti cha ndoa ofisi ya kijiji au kwa mkuu wa wilaya
 
Serikali inatumbua cheti cha ndoa, ila haiusuki na utoaji wa vyeti vya ndoa. We ndoa ya wapi uliona unaenda kuchukulia cheti cha ndoa ofisi ya kijiji au kwa mkuu wa wilaya
Serikali imeweka utaratibu wa kuwasajili/ kuwapa leseni wachungaji/mashekh ili wawe ni mawakala!
Hivyo watumishi wa Mungu hupewa vyeti na serikali halafu wao ndo huenda kuvigawa kwa waumini wao wanaofunga ndoa!
Ndiyo maana mchungaji asiye na leseni haruhusiwi kufungisha ndoa

Na nyongeza tu, ndoa haitakiwi ifungishwe usiku wa manane uchochori ni MARUFUKU
 
Yesu ambaye ndo role model wa ukristo , alifundisha habari za MUNGU kwa kupitia mikutano/ makongamano Na hii ni baada ya kukataliwa na makuhani ambao walikuwa na uhusiano na serikali.
 
Ni uthibitisho kwa wanandoa!
Nabii aliyelala na kitoto cha miaka 9. Nabii aliyeoa mke wa mtoto wake. Nabii aliyemiliki mtumwa na hakuishia hapo akamtumikisha mtumwa huyo kingono. Atakufundisha nini kuhusu ndoa
 
Yesu ambaye ndo role model wa ukristo , alifundisha habari za MUNGU kwa kupitia mikutano/ makongamano Na hii ni baada ya kukataliwa na makuhani ambao walikuwa na uhusiano na serikali.
Usijifanye mcha Mungu kuliko Waroma!

Talaka ni suruhisho kwa watu wengi!

Kama ingekupasa kuwa mcha Mungu , unatakiwa Uoe bikira, na wewe usifanye kabla ya ndoa!
Hivi Leo unaoa mtu kashapigwa miti na kutoa mimba kama zote halafu unajiona kamirifu kwamba eti hutakiwi kuvunja ndoa yenye migogoro?

Kwa taarifa yako ndoa nyingi zimeshikiliwa na vyeti (hawana Mungu)
Na serikali ikiweka utaratibu rahisi wa talaka fasta wengi wataachana
 
Mbona kama unashinikiza? Alafu swala la mimi kumcha au kutomcha MUNGU ni la MUNGU(JEHOVAH na sio Allah ) mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…