Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

Hili gonjwa lilinitisha mwanzo wakati nafatilia kwa kina kipindi limeshika kasi huko uchina, saiv hofu imeisha siogopi tena.
 
Wao ndio wameleta samurai Dsm......wanakanusha nini?!

Kuletwa sampuli haimaanishi kwamba wagonjwa wameongezeka kwa kuwa vipimo ndivyo huzungumza - hata baadhi ya mikoa wapo suspects ambao wako Karantini, wanachukuliwa sampuli yet hatuwezi sema ni wagonjwa.

Hata hivyo sipingani na wengi wenu juu ya umuhimu wa kuchukuwa tahadhali kwa ugonjwa huu
 
Kuletwa sampuli haimaanishi kwamba wagonjwa wameongezeka kwa kuwa vipimo ndivyo huzungumza - hata baadhi ya mikoa wapo suspects ambao wako Karantini, wanachukuliwa sampuli yet hatuwezi sema ni wagonjwa.

Hata hivyo sipingani na wengi wenu juu ya umuhimu wa kuchukuwa tahadhali kwa ugonjwa huu
PM Majaliwa katoa taarifa kulingana na majibu ya maabara....sasa wanapinga nini?!
 
Kuna watu walisema Corona ilishaingia Bongo kitambo ila serikali ikagoma kutangaza... Bado natafakari kauli hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha!
Usichotwe akili na waropokaji serikali haiwezi kuficha kitu kinachoweza kujidhihirisha chenyewe!
Ule ni ugonjwa kama upo itafahamika tu utafichaje..? Kuficha inamaana uwe na takwimu ya watu wako na uwajue walioathirika! Kipimo chenyewe kipo dar!! Kuna mtu alipima taifa zima Kisha akawaficha wagonjwa...??

Wapuuze hao waropokaji hata kipindi kile wanasema ati serikali wanaficha ebora!! 😂😂 Huwezi ficha pembe la ng'ombe na bado mtachotwa akili sana chujeni taarifa wakuu kuna mahala niliandika hivi Tanzania ni kama gemu la nyoka akiwa mrefu anajiuma mwenyewe ndo wananchi wa tz tulivyo;
 
China iliweza kuthibiti kusambaa zaidi kwa Corona kwa kuufunga mji wa Wuhan kuingilika na kutoka kwa watu.

Ndiyo maana hatusikii wachina kusambaza kwenye mataifa mengine tofauti na hao wapuuzi waliofuata raia wao Wuhan ili wanaonekane wanajali sana watu wao.
 
Mh. WAZIRI Mkuu,

naomba kujuwa, wanafunzi wa boarding wanasafiri kwenda makwao au wanabaki kwenye shule zao?

Waliopanga vyumba mitaani, wabaki mitaani mwao au wasafiri kwenda makwao?

Wakibaki kwenye mazingira yao ya kishule, maisha yao yatakuwaje?

Wakisafiri, uhakika wa Wanafunzi kutokuwa WASAMBAZAJI kulingana na mazingira watokako ukoje?
 
Back
Top Bottom