Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

Nasikia ukikiri nchi yako ina corona who wanaleta fungu la hela[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ndo maana now tunatangaza.
Sasa zenji wao wameona kuwa itaua utalii na ndip roho yao ndo maana wanakanusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisikia "UPEPO WA KISULISULI" ndio hii Corona sasa, dah. Huyo wa Dar ikisemekana alipanda kwa kugombania "MWENDO KASI", itakua kasheshe.

Kesho utasikia wamepatikana wagonjwa 5 wa kisulisuli, wawili Tandale, mmoja Mbagala, na wawili Manzese.
Eti ni kweli huyo wa Dar ni mtalii na alikuwa Masaki?
 
Wewe hii ni lini mkuu? Hii hapa ya leo
Screenshot_20200318-105508~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom