Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Mabula Mchembe amesema idadi ya watu waliopata maambukizi ya Ugonjwa huo kwenye baadhi ya vituo vya matibabu imepungua na wengi wao wanaendelea vizuri.
Ametaja idadi ya wagonjwa kwa siku ya leo kwa Mkoa wa Dar na Pwani katika Hospitali ya Amana kuna wagonjwa 12, Kisoka- Mloganzila 6 pamoja na Kituo cha Kibaha chenye wagonjwa 24
View attachment 1451311
😳😳😳😳😳😳Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Mabula Mchembe amesema kuwa wagonjwa wa corona nchini wamepungua katika vituo vya kutolea huduma za afya na kuwataka watoa huduma za afya kujitahidi kutoa huduma bora kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa mengine pia
Piga kazi acha kushinda mitandaoni😳😳😳😳😳😳
Piga kazi acha kushinda mitandaoni kwa kisingizio cha Korona
Nko na nyagi Sahv Kazi na dawaPiga kazi acha kushinda mitandaoni kwa kisingizio cha Korona
Dawa yng hyoPiga kazi acha kushinda mitandaoni kwa kisingizio cha Korona
Kumbe maabara inaendelea kupima? Si Walisema sasahivi hawapimi?Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Mabula Mchembe amesema idadi ya watu waliopata maambukizi ya Ugonjwa huo kwenye baadhi ya vituo vya matibabu imepungua na wengi wao wanaendelea vizuri.
Ametaja idadi ya wagonjwa kwa siku ya leo kwa Mkoa wa Dar na Pwani katika Hospitali ya Amana kuna wagonjwa 12, Kisoka- Mloganzila 6 pamoja na Kituo cha Kibaha chenye wagonjwa 24
View attachment 1451311
Vipi account inasoma ngapi mpaka mida hii?
We jamaa unahitaji maombi mengine ya siku tatu mfululizo maana naona yale Mkulu alituelekeza yaliacha baadhi ya wenzetu nyuma wewe ukiwemo.Kipindi corona inaanza tuliambiwa wasemaji ni 3 tu yani raisi, waziri mkuu na waziri wa afya sasa huyu katibu vipi tens
Hizi takiwimu itakuwa za kupikwa na ndio maana bi Ummy amekataa kuzitangaza inawezekana bi Ummy amefunga hivyo hawezi kudanganya
Mimi hizi siziamini nasubiri zitakazo tangazwa na Ummy hata kama miezi 3 ijayo
Sent using Jamii Forums mobile app
endelea kufuata propaganda za mzungu utakuja kuelewa baadaeKwa hiyo mtu atatoka huko aje kuripoti uongo? Na inapotokea mpaka maiti yanamkuta bado watakuwa ananiambia uongo? Ukiwa unafanyakazi sekta ya afya, haina maana unamjua kila mgonjwa na pia sio kwamba hautaguswa na ukweli wa yanayowasibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Darwin Theory law of the jungle survival for the fittest.Nimetafakari sana .Yaani kinachotokea sasa ni sawa na kupunguza mahindi shambani unaacha yale yenye afya .madhaifu yote unang'oa.
Ndiyo huu ugonjwa unvyotufanya unaua wale wadhaifu dhaifu tuu.wenye kinga za kutosha unawaingia lakini una dunda.mwisho taifa litabakia na watu wenye miili imara na hivyo in long run budget ya wizara itapata ahueni
Kapimeni watu huko waliko ,haya ya vituoni kupungua sio kipimo cha kuonyesha hali halisi ya wagonjwa ,wengine hawaendi vituoni,kwanza ilitakiwa mtoe orodha ya vituo vya kupimia corona kwa kila wilaya.Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Mabula Mchembe amesema idadi ya watu waliopata maambukizi ya Ugonjwa huo kwenye baadhi ya vituo vya matibabu imepungua na wengi wao wanaendelea vizuri.
Ametaja idadi ya wagonjwa kwa siku ya leo kwa Mkoa wa Dar na Pwani katika Hospitali ya Amana kuna wagonjwa 12, Kisoka- Mloganzila 6 pamoja na Kituo cha Kibaha chenye wagonjwa 24
View attachment 1451311
Kama ni uongo muulizeni mtoto wa mbowe maana alikua kwa wagonjwa mtuonyeshe picha za wagonjwa walio jazana kama mnavyo dai maana kila kitu mijitu inabisha .Sawa Sawa
Taarifa Njema Iwapo Ni Kweli
Tupige kazi wakati Meko kajificha uvunguni..Piga kazi acha kushinda mitandaoni kwa kisingizio cha Korona
Muulize mtoto wa mbowe atakuthibitishia maana naye alikuwa hukoWatu wanafia majumbani mwao
I will never ever believe these lunatics!