Kinachokataliwa hapa ni kushurutishwa,,Bongo wapo mademu wa kichina wanauza mbunye, wapo mademu wa kiarabu wanauza mbunye, hii ni biashara haram kama cocaine tu, siku zote biashara haram ndio zinalipa faster.
Muarabu mweusi naona wamekugusa hadi Umetoka shimoni kutema checheeItoe akili yako shimoni, chuki yako itakuongezea umasikini tu issue ya human trafficking ni Dunia nzima, kuna wadada kibao Europe na America wameingizwa kwenye huu mtego, fanya kazi kijana ili familia yako isije ikaingia kwenye huu mtego coz hapa issue ni umasikini.
Naunga mkono hoja yako.Mi siwalaumu hao Waarabu/Waturuki/Wahindi na Wazungu. Nawalaumu hao mnao waita dada zetu, kina wawasha nini kwenda huko? Kwanini wasitulize misambwanda yao huku huku tujenge nchi yetu?
Hayo ni mawazo yako,mimi nimechangia mada,mkiitwa weusi na Mzungu mnasema racism ila wewe naona unapayuka tu kama vile akili zako umeziweka kwenye mfuko wa shati,Muarabu mweusi naona wamekugusa hadi Umetoka shimoni kutema chechee
Sijui wapewe elimu gani hao madadasuala la mabint kupenda kwenda Arabuni mm napendekeza serikali isijishughulishe nalo kabisa sababu wanajitakia, kila siku matatizo ni nchi za kiarabu dhidi ya wadada wa tz na yanaripotiwa lakini bado wanaendelea kwenda kwa wingi,,,, wapambane na hali zao.
Hizi siyo stori mpya, ni hadithi zinazosemwa kila siku, kila mahali,Sio kweli MKyUU,wapo warembo wengine wanapelekwa kama kutafuta maisha,,au kutembea.
Wakifika kule wanaambiwa kazi yenyewe ni hii..
Hapo anakuwa hana jinsi..lazima auze ili apate pesa ya kujikimu maisha.
Ungeona hawa Dada zetu wanavyotudhalilisha huko ughaibuni wala usingepongeza jambo hilo.
Na mimi nashangaa unaenda nchi ya watu kufanya umalaya unategemea nini? hapa bongo walishawahi kuchapwa na kusombwa sasa lini jipya wanalofanya huko. Ukienda nchi ya watu fuata sheria zao kama wakija hapa wanatakiwa kufuata sheria. kuna suki sijui wa kabila gani wale wachina walikamatwa kuna mitaa walikuwa wanajiuza sasa hapa utawalaumu nini?Mi siwalaumu hao Waarabu/Waturuki/Wahindi na Wazungu. Nawalaumu hao mnao waita dada zetu, kina wawasha nini kwenda huko? Kwanini wasitulize misambwanda yao huku huku tujenge nchi yetu?
Nakubaliana nawe kabisa, nguvu za serikali zielekezwe tu kwenye elimu, huko mashuleni na mitaani, waelemishwe, wanaoenda waende tu kwa tamaa zao na shida zao na raha zao.suala la mabint kupenda kwenda Arabuni mm napendekeza serikali isijishughulishe nalo kabisa sababu wanajitakia, kila siku matatizo ni nchi za kiarabu dhidi ya wadada wa tz na yanaripotiwa lakini bado wanaendelea kwenda kwa wingi,,,, wapambane na hali zao.
Kabisa tena ilitakiwa wachapwe kabisa viboko, mwafrika ndie aliyeshiriki kumuuza mwafrika mwenzake kwa mtu mweupe,inakuaje watu watoke bara Hadi pwani Makundi kwa Makundi waswagwe Kama ng'ombe na weupe wachache Hali wanapita vijijini tena vyema watu bila kutoa msaada.Hivi hata babu zetu kumbe walijitakia wenyewe kuuzwa?
Hata hapa mataifa yote yanauza hazina zao kwa wachaguzi wa ladha,hili ni tatizo la dunia.Na mimi nashangaa unaenda nchi ya watu kufanya umalaya unategemea nini? hapa bongo walishawahi kuchapwa na kusombwa sasa lini jipya wanalofanya huko. Ukienda nchi ya watu fuata sheria zao kama wakija hapa wanatakiwa kufuata sheria. kuna suki sijui wa kabila gani wale wachina walikamatwa kuna mitaa walikuwa wanajiuza sasa hapa utawalaumu nini?
Human trafficking ni janga la kidunia nchi zote ni waathirika.Thus ufanywa kwa Siri, muhimu waendao nje kwa ahadi zigeukazo uongo wapate elimu tambuzi.Kama wakiingia kwenye mitego wajinasue vipi hapa ni suala la elimu nn ufanye kupata msaada, msaada no 1 ni mawasiliano.Hivi mkuu mfano kuna mtu anasaka mashoga kuwauza ulaya,,
Utakwenda kuwa shoga ughaibuni sababu ya umasikini?
Tusitupie lawana serikali kwa tamaa zetu wenyewe za mafanikio ya haraka haraka,,
Human traffic ni janga la kidunia nzima ,,tena adhabu yake ni Mara 3 ya hukumu ya madawa ya kulevya huko ulaya..
Huo ni mtandao wa kihalifu uliopo hapa kwetu tzania ...
Serikali inapaswa ichunguze hao maagent wa kuuza wenzao na kuwachukulia hatua Kali sana,,
Wenye mikataba sahihi ni nadra kupata madhara, serikali iingilie Kati kupunguza risk ya watu kutumia njia za panya kwenda huko.Unakubali kuna uzembe ? Unakubali kuna kujitakia ? Sasa hapa naongelea madhila ya sababu hizo mbili, ndiyo maana nikaandika huko ya kuwa kama wapo wanaopata madhila kinyume na hao basi naunga mkono hoja ya kuwa serikali iingilie kati.
Mtemvu aliyekuwa mbunge wa Temeke enzi za JK. Yeye ni wakala wa kuwasafirisha hawa wadada!Kwani nani huwa anawapeleka huko?
Naanza kwa kuwaonea huruma. Wanakimbilia nn huko. Wanaume hapa wapo hata kama wanalipwa vijisenti wakubali kuliko matesoNadhani mwaka jana, Serikali ilipata wakati mgumu sana kupitia balozi zake, kwani balozi hizo zilivamiwa na kesi nyingi za watanzania kunyanyasika nchi za kiarabu na China.
Kinachoendelea sasa ni ya kutisha kwani wadada wengi sana, wanakimbilia Dubai, Oman na Uturuki kujiuza. Siku ya Ijumaa, nikiwa Dubai, Polisi wa UAE walivamia sehemu moja ambayo ni pub maarufu na Wageningen wa Kizungu na kuwakamata wadada wa Kitanzania zaidi ya 30 waliokuwa wanajiuza eneo lile.
Swala kama hili nimeambiwa na rafiki yangu mmoja mfanya biashara anayeishi Istanbul Kwamba siku chache, alikutana na mdada wa Kitanzania aliyefanyiwa kitu kibaya na Waturuki kwani baada ya kufika, walinyang'anywa paspoti na kuingizwa kwenye Danguro.
Na haya mambo siyo tu Uturuki, Wadada wa Kitanzania wengi wanatumikishwa, Dubai, China (Macau na Gwanzhou) Uturuki na Oman.
Nadhani ni vyema serikali inaingilia kati hili swala la hawa vijana kabla halijawa bomu, maana wanaokimbia nchi ni wengi sana. Hasa sasa hivi, wadada ni wengi sana.
ubaguzi wa kimakabila upo na ubaguzi wa rangi upo sana, labda ujivue akili tu ukatae , kisa mwarabu kasemwa...Huko Sudan, Misri, Tunisia japo ni 'waafrika' wenzetu ila wanambagumgua mtu mweusi ile mbaya, wewe unakuja kuteteaHayo ni mawazo yako,mimi nimechangia mada,mkiitwa weusi na Mzungu mnasema racism ila wewe naona unapayuka tu kama vile akili zako umeziweka kwenye mfuko wa shati,
Mechi ya PSG na ile team ya Uturuki iliahirishwa kisa refa namba 3 alimuita jamaa wa team ya Uturuki black,wewe hapa unarudia lile lile! halafu una uhakika gani na my skin colour?
Ni aibu kuongelea mambo ya rangi ya ngozi au ukabila kwa Dunia ya leo,bado unaishi shimoni naona.