Serikali ijitathimini, kuna wimbi kubwa la vijana kuacha kazi ndani ya kipindi hiki cha miaka 7

Wakiacha kazi serikali kamwe haiwezi kuhuzunika..kuna majobless kibao mtaani ambao hata kwa nusu mshahara watafanya kazi.
Kumbe hata wewe unaviji akili kidogo vimesalia kichwani kwako ,nilidhani ni zero kabisa.leo kwa mara ya kwanza nimeona kiji akili kichwani mwako
 
Miaka 6 bila nyongeza ya mishahara aliumia roho sana. hivi hawana imani ya mungu watawala?
Magufuli alipunguza mfumuko wa bei na kupunguza mzigo kwa masikini kama umeme wakati wa kikwete kila siku ulikuwa unapanda na bado tanesco ilikuwa wanadai inapewa rudhuku ,bei ya mafuta ilikuwa vizuri ,elimu bure sijui mlikuwa mnalalamika bila ya kutumia akili viwanja vilishuka bei ,vyumba na nyumba za kupanga bei ikashuka na kubaki tulivyu tofauti na kipindi cha kikwete.
Sasa mtajua amjui maana magu hayupo tena gharama za maisha zitapanda sana elimu bure kwisha kikao kimefanyika kuwa iondolewe kimtindo mtindo ,dhamani ya hela inakwenda kudondoka kilimo kinapolomoka kwa kasi nauli ya mabasi zinakwenda kupanda zaidi,
 
Mkuu umewahi kukaa Jobless kwa muda gani ?

Umewahi kufanya kazi sekta binafsi ?

Umewahi kujiajiri ?

Anyway, kama huifurahii kazi ACHA KAZI ukatafute utajayoipenda, maisha yenyewe ndio haya haya.

Usiingie kwenye Ajira na matamanio yako ambayo hayapo, utakuwa dissappointed sana.

Mfano: Mimi kama graduate kwenye graduate kwenye kampuni za ulinzi, hata siku moja huwezi kunikuta nalalamika kwasababu sekta niliyopo naijua vizuri IN&OUT.

Huwezi kufanya kazi hii, halafu ukategemea utajenga ghorofa. Utakuwa zuzu.

Fanya kazi yako kwa wakati husika, ukichoka unaacha tu, unakaa nyumbani.

Na hakuna kitu rahisi kama kuacja kazi. Hakuna Mwajiri atakayehangaika na wewe au kukufuata nyumbani uende kazini kwa nguvu.
 
Halafu kazi Serikali zinaenda kwa Wahamiaji haramu, hii Nchi itakuja kuwa Koloni la Burundi
Ili ni tatizo kubwa sana sijui usalama wa taifa wanafanya kazi gani ,rain feki kuingia kwenye system za serikali ni dharau na hatari sana
 
wanaofanya kazi serikalini wengi ni wale uwezo wao wa kufikiri upo chini.

Sio Mimi ni CAG Assad.
 
Sure kabisa
 
Waondoke tu,mbona wanaotafuta ajira ni wengi.Na hata hivyoo,mbona kuacha kazi ni kawaida,ukipata a
better alternative you go.
 
Kuacha kazi sio dhambi na wala sio kuvunja sheria. Lakini kwa nini kwa kipindi hiki kifupi hili limeongezeka kwa kasi? Kuna wengine hata miaka 5 ya kazi haijafika mtu anaacha..! Ndio maana nikasema kuna haja ya serikali kujitathimini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…