Kumbe hata wewe unaviji akili kidogo vimesalia kichwani kwako ,nilidhani ni zero kabisa.leo kwa mara ya kwanza nimeona kiji akili kichwani mwakoWakiacha kazi serikali kamwe haiwezi kuhuzunika..kuna majobless kibao mtaani ambao hata kwa nusu mshahara watafanya kazi.
Washkaji zako 3 ndio wimbi kubwa?.!
Magufuli alipunguza mfumuko wa bei na kupunguza mzigo kwa masikini kama umeme wakati wa kikwete kila siku ulikuwa unapanda na bado tanesco ilikuwa wanadai inapewa rudhuku ,bei ya mafuta ilikuwa vizuri ,elimu bure sijui mlikuwa mnalalamika bila ya kutumia akili viwanja vilishuka bei ,vyumba na nyumba za kupanga bei ikashuka na kubaki tulivyu tofauti na kipindi cha kikwete.Miaka 6 bila nyongeza ya mishahara aliumia roho sana. hivi hawana imani ya mungu watawala?
Mkuu umewahi kukaa Jobless kwa muda gani ?Concern yangu ni kwamba ifike wakati serikali iboreshe mazingira ya kazi kwa kuzitatua changamoto za wafanyakazi ambazo zinawafanya waache kazi au wafanye kazi bila ya kuifurahia hivyo kusababisha udhaifu wa huduma bora kwa wananchi. Mazingira ya kazi yakiwa safi na mfanyakazi akiifurahia kazi yake hata kama maslahi ni kidogo, atafanya kazi kwa moyo..!
Ili ni tatizo kubwa sana sijui usalama wa taifa wanafanya kazi gani ,rain feki kuingia kwenye system za serikali ni dharau na hatari sanaHalafu kazi Serikali zinaenda kwa Wahamiaji haramu, hii Nchi itakuja kuwa Koloni la Burundi
wanaofanya kazi serikalini wengi ni wale uwezo wao wa kufikiri upo chini.Nina washkaji zangu kadhaa nilisoma nao wameacha kazi za serikali. Na jana nimekutana na mwanangu nilikua nae room moja chuo ameniambia ameacha kazi aliyokua anaifanya huko serikalini.
Nilipomhoji akanambia ishu ni maslahi ilihali muda mwingi anautumia kazini, hata muda wa kufanya shuguli binafsi za kumuingizia kipato hana, ameamua aache kazi afanye ishu zake.
Swali la kujiuliza, ni kweli hawa wote wana tamaa na hawaridhiki na mshahara wao? Au ni kweli huko serikalini maslahi hamna na unatoil vya kutosha??
Njoo na utafiti kuthibitisha hilo wimbiAaahhaaa umekuja kivingine sio... Kwa hiyo nikujibu ipi? 3 au kadhaa??
Sure kabisaSerikalini inabidi uwe mvumilivu, afisa utumishi tu anaweza kukupiga danadana usipande cheo hata miaka 10, hata kukaa kwenye position utafanyiwa kila figisu uonekane hufai hadi ma ushirikina yanatumika humo, huko waachieni waliotoka familia duni wakakanyagane. Ambao wapo comfortable ni wenye connection ya kukaa sehemu nyeti, mfano BOT, TRA na kwingineko.....
Waondoke tu,mbona wanaotafuta ajira ni wengi.Na hata hivyoo,mbona kuacha kazi ni kawaida,ukipata aNina washkaji zangu kadhaa nilisoma nao wameacha kazi za serikali. Na jana nimekutana na mwanangu nilikua nae room moja chuo ameniambia ameacha kazi aliyokua anaifanya huko serikalini.
Nilipomhoji akanambia ishu ni maslahi ilihali muda mwingi anautumia kazini, hata muda wa kufanya shuguli binafsi za kumuingizia kipato hana, ameamua aache kazi afanye ishu zake.
Swali la kujiuliza, ni kweli hawa wote wana tamaa na hawaridhiki na mshahara wao? Au ni kweli huko serikalini maslahi hamna na unatoil vya kutosha??