cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti anapaka wanja lol.Halafu hawa askari wanaanza kusimamisha magari wakati mwenzao ndo kwanza anapaka wanja.
Kuna haja ya kufanya utafiti kujua misafara hii ya viongozi inasababisha hasara kiasi gani kwa taifa na kwa mtu mmoja mmoja