Daaah hii mijadala ya Yesu na Mohamed kuwashindanisha ni upuuzi kwangu. So no time for that dialogue!Kwani wakristo wana hati miliki ya yesu kiasi kwamba hatakiwi kujadiliwa na watu wengine tofauti na wao?
Unasemaje Mohamed sio wa wote na WAKRISTO wakiwemo ila unataka kila mtu amfuate. Kwenye hoja ya kumchambua unakataa, sio wa wote. Kila mtume aliletwa kwa ulimwengu, acheni azungumzwe, achambuliwe. Huyo sio miliki ya dini moja kama alivyo Yesu . Chuki inaanzia hapo na ubaguzi unaanzia hapo.Muhammad sio mtume wa wote kwa sababu nyinyi hamumtambui na wala kwenye Bible yenu haimtamui.
Lakini kwa waisilam Yesu wanamtambua na Qruan ina mtambua na kwenye uisilam unamtambua mama yake yesu kama mwanamke mtukufu kuliko wanawake wote.
Samahani, wewe hutoi kibali, je serikali za Uarabuni wanaweza kunipa kibali kumhuburi Yesu na kumponda Mohamed??
Kumuongelea Yesu ni kuongelea dini nyingine?Unaona ni sahihi dini moja kuzungumzia mambo ya dini nyingine? Au ni bora zaidi kila dini ikajikita kwenye malengo yake mahsusi?
Umenikumbusha vichekesho vya Max Na Zembwela.Muhammad anatikiwa afaninishwe na akina mtume Petro au Paulo
Muhammad siyo wa kumlinganisha na YESU KRISTO ni dhambi kubwa sana na mtakuja kuilipia
Ww huyo yesu ulisha wahi kumuona mpaka ujue kuwa walikuwa tofauti?Jesus au Yesu kristo ni tofauti kabisa na mtume wao wanaomtambua kama Issa bin Marium. Wao wamulinganishe huyo na mtume Mohamed
Waisilam hawajawahi kumshindanisha Yesu na Muhammad kwa sababu kwa mujibu wa uisilam wote walikuwa manabii wa Mungu wenye daraja sawa.Daaah hii mijadala ya Yesu na Mohamed kuwashindanisha ni upuuzi kwangu. So no time for that dialogue!
With due respect on them, pbut...
Mkuu huyu mleta mada ni mfuasi wa akina Mwamposa, ametumwa alete umbea huu ili huyo mhubiri azuiwe. Kwasabb wanaona sadaka makanisani zitapungua.Kwanini huko malaysia hawapati matatizo mpaka kafika hapa bongo kapita transist ngapi hajakamatwa wacheni kujitia wasi wasi kwa mambo yasiyo wahusu!
Muhammad hawezi kuwa mtume wako hali yakuwa humuamini ili umuamini ni razima uoneshe kwa vitendo na kwa maandiko.Unasemaje Mohamed sio wa wote na WAKRISTO wakiwemo ila unataka kila mtu amfuate. Kwenye hoja ya kumchambua unakataa, sio wa wote. Kila mtume aliletwa kwa ulimwengu, acheni azungumzwe, achambuliwe. Huyo sio miliki ya dini moja kama alivyo Yesu . Chuki inaanzia hapo na ubaguzi unaanzia hapo.
Kumuongelea Yesu ni kuiongelea dini ya Kikristo! Kumuongelea Mtume Muhammad, ni kuiongelea dini ya Kiislam!!Kumuongelea Yesu ni kuongelea dini nyingine?
Nimesha kwambia Yesu kwenye uisilam ni nabii,kwa hiyo wakristo wakimuongelea Musa au Ibrahim basi wanakuwa wameongelea waisilam?
Utetezi wote huu ni kuzuia na kumlinda Mahamed asiguswe kisije kikanuka, hitimisho ni rahisi. Ukidhani unajua ya wenzako, nao wanayajua yako ila wamenyamaza.Kumuongelea Yesu ni kuiongelea dini ya Kikristo! Kumuongelea Mtume Muhammad, ni kuiongelea dini ya Kiislam!!
Ukimtukana Mtume Muhammad, umewatukana Waislam! Na vivyo hivyo ukimtukana Yesu umewatukana Wakristo! Shida iko wapi kiasi cha kushindwa kuielewa concept nyepesi kiasi hiki?
All in all, tunawasihi muepukane na chokochoko za kidini. Maana mnapenda sana kulazimisha watu wote duniani kuwa na mtazamo kama wa kwenu, jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.
Hiyo ni point kabisa ila, umemsahau na tapeli mwingine Shekhe Mwaipopo.Serikali yetu haiamuliwi na serikali nyingine. Sisi ni taifa huru.
Wewe inabidi ulalamike jinsi serikali yetu inavyomlinda tapeli Mwamposa badala ya kuzuia watu makini kuja nchini.
Azam huwezi kuwatenganisha na udini!! Na hili ni jambo ambalo liko wazi kabisa. Hata tamthiliya zao nyingi za Kituruki huwa zina lengo la kuutukuza Uislam wao, huku wakiuponda Ukristo kiaina.Azam kuna mda wanakuaga km wapumbavu
Tatizo ni wanasiasa wengi walio madarakani wana mitizamo na mielekeo ya udiniHuyo muhubiri apigwe marufuku,ni moja ya mawakala wa ugaidi,tuwe makini nae kukaribisha watu kama hawa nchini ni kuleta mtafaruku hasa ukizingatia mada yake imekaa kichochezi na leo ovu nyuma yake.
Mkuu usicho kielewa ni kipi hapo?Kumuongelea Yesu ni kuiongelea dini ya Kikristo! Kumuongelea Mtume Muhammad, ni kuiongelea dini ya Kiislam!!
Ukimtukana Mtume Muhammad, umewatukana Waislam! Na vivyo hivyo ukimtukana Yesu umewatukana Wakristo! Shida iko wapi kiasi cha kushindwa kuielewa concept nyepesi kiasi hiki?
All in all, tunawasihi muepukane na chokochoko za kidini. Maana mnapenda sana kulazimisha watu wote duniani kuwa na mtazamo kama wa kwenu, jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.
Acheni kujifananisha na hizo primitive mythologies zenu, hii ni kalne ya 21N
Nenda ukasikilize inshallah utasilimu
Hao wote uliowataja wote fake tu na mkristu anaejielewa hawezi kuwasapoti.Wewe Kafiri acha kutema matapishi hapa kwa chuki za kijinga,
Hao mitume wenu mbona hua hulalamiki?
Yule Kiboko ya wachawi kutoka DRC aliwapiga hela watu kisha akarudi kwao na kuwacheka ulitoa hili povu?
Mwaka 2020 kule Moshi walikufa watu 20 wakigombania kupaka mafuta ya upako,ulitoa hili povu? hao mitume wenu kila siku wanajaza watu na kuwauzia udongo na mafuta,mbona hua upo kimya?
Nimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.
Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?
View attachment 3187483