Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Siamini tumekua careless namna hii
 
Jibu limepatikana. Huyo mhubiri anakuja kutafuta wakristo awasilimishe. Lakini Uarabuni ni marufuku mkristo kumhuburi hata tu kumtaja Yesu. Chuki, mauaji ugaidi na uislam ni Pete na kidole.
Kwani tanzania ni ukristoni?!
 

Attachments

  • Screenshot_2024-12-29-14-09-42-158.jpg
    342.9 KB · Views: 1
Imani haihojiwi. Kinachohojiwa ni fact.

Ukishahoji imani ushakosea.

Imani imewekewa kinga ya kutohojiwa kikatiba na pia kama sehemu ya haki za binadamu.

Kila siku ninapotaka uthibitisho wa kuwepo Mungu hapa nahoji fact, si imani.

Kwenye imani ingawa mimi siamini Mungu yupo, ila nitatetea watu wanaoamini Mungu yupo waweze kuamini hivyo bila kuhojiwa.
 
Midahalo ya wale mitume na mikesha ya maombezi kwa Mkapa inaruhusiwa ila kwa huyu mhindi ukakasi unatoka wapi? Atahubiri kama wale wazungu wengine tu tuwe wavumilivu
Hujitambui mkuu japo sisapoti hii movement ya wana JF. Hiyo ya wazungu na mitume sio midahalo mkuu ni mahubiri. Unaposema midahalo unamaanisha kuna pande mbili zinao debate mkuu.

Pia wazungu, mitume na mikesha ya maombezi haitaji dini wala kujihusianisha na dini nyingine bro. Ukishasema Yesu unamaanisha Ukristo. Ni bora wangeandika kwenye tangazo lao Muhammad V/S Issa hiyo isingewahusu watu wa dini nyingine.

Nafikiri ndio hoja ya wengi japo mi binafsi sioni shida katika hilo mkuu.
 
Hongera umeandika kitu kizuri mkuu. Hili sikuwa nalijua.
 
Mimi shida yangu iko sehemu moja tu; Jesus anahusika vipi na hiyo shughuli yao?
Na hii ndio hoja ya watu wengi pia tangazo lao kisema Muhaamed Vs Jesus.

Nifahamuvyo ukishasema Yesu inaihusanisha na dini ya Kikristo. Ingekuwa Muhammed VS Issa isingeleta shaka. Mashaka ya wengi yapo hapo.
 
Issa kiarabu, kiswahili yesu,nyie mna husda sana na chuki, yaani mnazungukazunguka hamueleweki hamtaki nini,si muende mkam-challenge kama mnajiamini sana,midahalo ya kisiasa mnaitaka ya dini hamuitaki
 
Issa kiarabu, kiswahili yesu,nyie mna husda sana na chuki, yaani mnazungukazunguka hamueleweki hamtaki nini,si muende mkam-challenge kama mnajiamini sana,midahalo ya kisiasa mnaitaka ya dini hamuitaki
Acha kudanganya. Hakuna kiarabu kinachosema Issa bi Yesu mkuu. Ukiacha Quran vitabu vyote vya kiarabu hakuna Issa badala ya Yesu.

Kimsingi sijui watu wanahofu ya nini humu JF japo mleta mada hajasema hayo unayoyaleta wewe na wengine, yeye ameongelea kwenye angle ya Diplomasia
 
Mnapenda kujitia hofu,huyo kishafika,kama una swali kamuulize

Dr. Zakir Naik ni muhubiri muoga sana akipigwa maswali magumu kama alivyopigwa maswali hapo Nairobi.
Na kizuri nchini Kenya lugha waliyotumia katika mdahalo ni kiingereza na hadhira inafahamu kiingereza pia jukwaa walilotumia ni la eneo local siyo kitaifa kupitia kituo cha televisheni cha kitaifa kama Azam TV.

Lakini kwa Tanzania kuna ajenda maalum kuzidi zile za Sheikh Mazige, Sheikh Mwaipopo n.k sasa kundi la Dr. Zakir Naik badala ya kutumia jukwaa online TV au ukumbi wa Diamond Jubilee au uwanja wa Benjamin Mkapa huyu muhubiri anataka kwa udi na uvumba kutumia jukwaa la kitaifa la Kituo tajwa cha televisheni kuingia katika kila sebule ya nyumba ya raia mtanzania kupitia kituo kikubwa kabisa cha kurushia matangazo ya televisheni cha Azam TV.

Nadhani haijawahi kutokea Tanzania kituo kikubwa kabisa cha Televisheni nchini ngazi ya taifa kikatumika ku test ukweli ya mitume, imani, biblia, Quran, Hadithi n.k kwa upande mmoja wa imani kujikita kusema kuwa kuna mapungufu kati imani inayotumika msikitini, kanisani, hekaluni au katika kusanyiko lao.

Siku zote katika jukwaa la kitaifa kupitia chombo cha umma kikubwa kama Azam TV, ITV n.k hutumika kuswalia, kusali, kuhubiri yale ya imani zao na siyo mashambulizi kuelekezwa imani nyingine.

Hii ni historia au precedent mpya inajaribu ku najengwa kwa chombo umma cha kitaifa kutumika kushambulia imani ya dini, dhehebu na mitume yao pia vitabu vya imani nyingine.

Kufanyika mdahalo Diamond Jubilee, online TV isiyo ya kitaifa, uwanja wa wazi Benjamin Mkapa hiyo siyo shida ila serikali kuruhusu vyombo vikubwa vya umma vya kitaifa kama Azam TV kuwa jukwaa la imani mmoja kushambulia imani nyingine siyo sawa.

Hii ya chombo cha mawasiliano cha kitaifa Tanzania kutumika kushambulia imani nyingine, ni sawa na Radio ile ya Rwanda radio RTLM ilipotumika vibaya WaTutsi kushambuliwa kwa propaganda na Wahutu au wengine kisha historia ikatuambia 1994 ilifikia hitimisho jamii hizi za Rwanda kupata mihemuko na kuleta Maafa ya 'vita ya makundi' ikaishia Mauaji ya Kimbari.

Radio Télévision Libre des Mille Collines (RTLM) nicknamed "Radio Genocide" or "Hutu Power Radio", was a Rwandan radio station


26 December 2024
AZAM MEDIA LTD PAMOJA NA THE ISLAMIC FOUNDATION …


UJIO WA DR ZAKIR NAIK TANZANIA - RATIBA YAKE YOTE

View: https://m.youtube.com/watch?v=PLO0zcQm7ok
KWA MARA YA KWANZA TANZANIA WANAKULETEA MHADHIRI MASHUHURI WA KIMATAIFA , DKT ZAKIR NAIK AKIAMBATANA NA MWANAE SHEIKH FARIQ NAIK KATIKA MDAHALO WA MASWALI NA MAJIBU :

TAREHE 31/12/2024 MSIKITI ZINJIBAR, UNGUJA ZANZIBAR KUANZIA SAA 2 ASUBUHI HADI SAA 7 MCHANA


TAREHE 2/01/2025 DIAMOND JUBILEE DAM KUANZIA SAA 1 USIKU HADI SAA 6 USIKU

TAREHE 5/01/2025 BENJAMIN MKAPA STADIUM UWANJA WA TAIFA KUANZIA SAA 2 ASUBUHI HADI SAA 7 MCHANA


MATANGAZO HAYA YATAKUJIA LIVE - MUBASHARA KUPITIA CHANEL YA ZBC2 WEMA UNAOENDELEA


PIA TUTAKUWA MUBASHARA KATIKA DUA TV AOMBWAE NI MOLA PEKEE JESUS AND MUHAMMAD PEACE BE UPON THEM BROTHERS IN FAITH



 
Mwafrika bado ana safari ndefu sana kujitambua.

Karne ya 22 watu bado wanafikra kama vile elimu ni siri....!
 
Na uwanja WA mkapa tar 2 ni Zanzibar!
 
Tatizo heading ,Jesus anahusu nini?
 
Hata mi binafsi sioni shida hadi mapovu kutoka mengi hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…