Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Huyu hakuufaa kuruhusiwa kwa sababu atahubiri udini na chuki dhidi ya wasio wasilamu
 
Uislam sio fashion wew ukibadilika inatosha kabisa Uislam hauna mabadiliko yoyote utafanya kuendana na Dunia, usilam utabaki vilevile wew ndio uendane na Dunia inavotaka.
 
Kwa Hisani ya ChatGpt kwanini hujasema hivyo. Zaka naik ni kichekesho. Wakristo Inabidi tumualike David Wood aje uone chuki itakavyotamalaki! David Wood ni Ex Atheist ambaye ni mwanazuoni anayempopoa naiki Kwa viwango vya juu na uislam wake
 
Je ni haki kumjadili Muhammad wenu na wakristo
Hamna hiyo haki kwa sababu sio mtume wenu na wala hamumtambui kama mtume wenu.
Lakini yesu ni nabii wa waisilam na wana mtambua hivyo wana haki ya kumjadili.
Nabii pekee ndani ya ukristo asiye wahusu waisilam ni paulo tu maana hawamtambui.
 
Muhamed ni cult tu Wala sio mtume Ndio mana hata Biblia haijawahi kutabiri Wala kuandika juu yake! Ujanja ujanja wake ulompa umaarufu basi!
Hamna hiyo haki kwa sababu sio mtume wenu na wala hamumtambui kama mtume wenu.
Lakini yesu ni nabii wa waisilam na wana mtambua hivyo wana haki ya kumjadili.
Nabii pekee ndani ya ukristo asiye wahusu waisilam ni paulo tu maana hawamtambui.
 
Muhammad anatikiwa afaninishwe na akina mtume Petro au Paulo

Muhammad siyo wa kumlinganisha na YESU KRISTO ni dhambi kubwa sana na mtakuja kuilipia
Ndio hicho Sasa unatakiwa ukaeleze kwa Dr. Naik
 
Ziangatia hoja za wadau kuhusu uchochezi na kashfa ambazo jamaa anazo,yeye sio muhubiri wa kwanza wa kislam kuja tanzania, mbona watu hawakuhoji?
 
Wewe kilaza hata TV ya huyo sheikh imepigwa marufuku na kufungiwa nchi nyingi tu zikiwemo Uingereza na Canada. Unaelewa tolerance kubwa ya kidini iliyopo Uingereza ukipigwa ban ina maana una matatizo makubwa sana??
Sasa uingereza na Canada si ni nchi za kikatoliki hizo we nae YODA MJINGA! Mbona ni mtu mzima ila chuki ya waziwazi imekujaa?! Wewe una akili kuzidi serikali?! Una mamlaka gani ya kuwapangia wa kuingia au kutokuingia nchini?! Kwa taarifa yako Intelijensia ya Tanzania ni hatari mno! Mno! Mno! Usisikie! Ukiona wapo kimya wanajua kila kitu na wameshaelewa na hakuna risk yoyote!

Mada za mbowe zimekuishia?!
 
Ziangatia hoja za wadau kuhusu uchochezi na kashfa ambazo jamaa anazo,yeye sio muhubiri wa kwanza wa kislam kuja tanzania, mbona watu hawakuhoji?
Kashfa kila binadamu anazo,zingine hua sio za kweli,hata wewe una kashfa zako pia,wapingaji hawana hoja zaidi ya chuki ya udini,huo ndio ukweli,take it or leave it but u can't change the truth,

Hata Mandela alikua na kashfa,hata yule kiongozi wa kile chama alituhumiwa ugaidi pia,

Sio kila tuhuma ni za kweli.
 
Nchi yetu ina dini nyingi, lazima wahubiri wanakuja kuhubiri walitambue hilo, waepuke kabisa kuhubiri migawanyiko au mahubiri yatayochochea dini moja dhidi ya nyingine.
 
Serikali zote zinaendeshwa na Waislam...!
 
Muhamed ni cult tu Wala sio mtume Ndio mana hata Biblia haijawahi kutabiri Wala kuandika juu yake! Ujanja ujanja wake ulompa umaarufu basi!
Dini zote ni cults. Ila ikiwa si yako ndiyo unapata urahisi wa kuiona cult.
 
Dini zote ni cults. Ila ikiwa si yako ndiyo unapata urahisi wa kuiona cult.
With written proof from its own sources it is a cult! What if am an atheist?
How would you allow marriage of a 6 years old girl and consummate the marriage at her 9 and claim that is a religion of righteousness!
 
Mbona hakuna Jesus VS Muhammad? Binafsi nimeona bango linasoma Jesus & Muhammad Brothers In Faith.
Au mnapenda kuwaza na kutenda kitofauti kwa misingi ya dini zenu?
 
Pumbafuuu Kabisa Huyo gaidi anakuja kufanya Nini Kwetu,,Mambo ya Yesu Sijui Mohammad yanatusaidia Nini Sisi!??? please Serikali kataeni upuuuzi Huo..Kazi kuingilia Dini za Watu Tuu.Tuache ..Takataka Hiyo hatuitaki Hapa.
Nenda kasikilize kwanza... usihukumu kabla ya kusikiliza na kuona mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…