Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Wewe una matatizo na sidhani kama una uelewa mzuri.Hapa kinachokwaza Watu ni Serikali kurasimisha mahubiri ya chuki.kwani jf ni Serikali?mbona midahalo hiyo ya kijinga ipo mingi tu huko vijiweni,Watu tunasimama tunasikikiliza tunaenda zetu hatujalalamika.
Kwani kunajadiliwa nini kwenye hayo mahubiri ambacho hujenga chuki?
 
Hiyo mada yenyewe tayari imeonyesha kuwa ni kupandikiza chuki au kuleta taharuki za kidini nchini,huyo jamaa ni muslim unadhani ataongea jema gani dhidi ya upande mwingine,!?
Mbaya zaidi hii ishu inakuwa promoted all over the country kwa kupitia media maana yake watu wengi wataifuatilia matokeo yake ni nini,
Tutachukiana sana huku mtaani nani atakubali upande wake ufeli au uonekane inferior..
Waislamu wengi ni wabaguzi sana
 
Kwanini huko malaysia hawapati matatizo mpaka kafika hapa bongo kapita transist ngapi hajakamatwa wacheni kujitia wasi wasi kwa mambo yasiyo wahusu!
Wewe Fala hakuna unachojua hata uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo mno, Baki na CCM yako Tu haya mambo ya kimataifa ni mtihani kwako
 
Wakristo hatuna shida na huyo bwana kuja kufundisha, tunacholalamikia ni huyo jamaa kuwa muislamu halafu anataka kuleta mdahalo wa YESU KRISTO na Mohamed sasa huoni yeye hapo tayari ana upande wake wa kuusifia huku kwa ukristo kuuenezea chuki na mifarakano?
Kwa nini asijikite kwa mtume Mohamed pekee?
Kwahiyo mkuu unataka waislamu wasimzungumzie Jesus japo wanamtambua kama mtume kwao?
 
Kupingwa, kukosolewa, comedy za dini au hata kukejeliwa dini yako sio chuki, ni sehemu ya free speech. Chuki ni kuhamasisha vurugu(violence) pamoja na utengano kama alivyofanya huyu sheikh hapa
View attachment 3187549
Nioneshe neno lolote linalo onesha huyu muhubili akihamasisha vurugu dhidi ya dini nyingine.
Huwezi kukejeli dhidi ya kitu unacho kipenda na kukiheshimu.
Kitendo cha wakristo kushinda humu wakuanzisha mijadala ya kishifa dhidi ya waisilam inawakilisha chuki zao dhidi ya waisilam.
 
Kwa hiyo hukuandika kua Unahisi? hili gazeti haliwezi kubadili hoja ya wewe kuandika kwa kuhisi na sio kwa kujua.
Naandika kwa ushahidi wa kutosha na kwa kuishi maeneo hayo na kwa hapa Dar kuna kundi kubwa sana la wadada wa kizaramo,wakwere na wadengereko wanao OKOKA na kuolewa na vijana wa kikristo

Nimehudhuria harusi kama 14 ndani ya mwaka huu ambapo mabinti wa kiislam wanabadili dini na kuwa wakristo ili kuoleka

Leo ukienda kwenye Makanisa mengi hasa haya ya kinabii,utakuta kuna Wamama wengi sana wa kiislam wameokoka
 
Usichokijua ni kwamba huyo Yesu anatambulika kwenye uislamu,

Wahubiri kama kina Mazinge wamekua wakifanya midahalo ya aina hiyo kwa miaka mingi ila hatujaona vurugu au watu kufa,ila kule Moshi walikufa watu 20 kwa kukanyagana kugombea mafuta,

Issue si mnaongelea amani?
Waislam wakifanya mkutano wakapata majanga wenyewe au WAKRISTO wakifanya mikutano wakafa huko sioni walivyoingilia Imani ya mwingine. Shida ni pale mkristo atakapoandaa mkutano mahususi kuwasema waislam je, anaweza kufanya hivyo Uarabuni ? Kama NJ I tatizo au haiwezekani mkristo kufanya mikutano huru kwa uislam mbona iwe ruhusa na rahisi kwa muislam kuandaa mkutano wa kukashifu ukristo na kulindwa na serikali ? Huko Nigeria hamjasikia chuki iliyopondwa na Boko Haram wanavyochinja WAKRISTO kama kuku na kuteka wanawake na kuwabaka kama mateka wa ngono ?
 
Huwezi kukejeli dhidi ya kitu unacho kipenda na kukiheshimu.
Kitendo cha wakristo kushinda humu wakuanzisha mijadala ya kishifa dhidi ya waisilam inawakilisha chuki zao dhidi ya waisilam.
Members wa hili jukwaa sio Wakristo na Waislamu tu, kuna Atheists na waumini wa dini za kienyeji pia.
Umewahi kulijua hili??
 
Wewe una matatizo na sidhani kama una uelewa mzuri.Hapa kinachokwaza Watu ni Serikali kurasimisha mahubiri ya chuki.kwani jf ni Serikali?mbona midahalo hiyo ya kijinga ipo mingi tu huko vijiweni,Watu tunasimama tunasikikiliza tunaenda zetu hatujalalamika.
Mbona serikali imerasimisha utapeli na unyanganyi kupitia mgongo wa mitume na manabii na hujawahi kuona kama ni tatizo?
Waisilam kujadili yesu sio jambo la ajabu kwa sababu wap wanamtambua kama nabii na alivyo Muhammad.
 
Nimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.

Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?

View attachment 3187483
hakuna athari zozote kidiplomasia dhidi ya mataifa yetu huru, haya mawili ya kihistoria.

infact,
huyo muungwana huenda akawa na uraia wa nchi nyingine pia kitu ambacho kama taifa huru hakituhusu kabisa.

Tanzania kama taifa huru lisilofungamana na upande wowote duniani, halipo taifa jingine la kutuchagulia rafiki au la kuielekeza Tanzania isimkaribishe rafikia au mgeni ambae kwa wengine ni adui.

Taifa letu na sio la kidini, na wananchi wake wako huru kuabudu wanachoona kinafaa.

na kwahivyo,
hakuna haja wala sababu hata moja ya kumzuia muhubiri au kiongozi wa dini kutoka popote duniani ikiwa ameingia nchini kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi :pulpTRAVOLTA:
 
Waislam wakifanya mkutano wakapata majanga wenyewe au WAKRISTO wakifanya mikutano wakafa huko sioni walivyoingilia Imani ya mwingine. Shida ni pale mkristo atakapoandaa mkutano mahususi kuwasema waislam je, anaweza kufanya hivyo Uarabuni ? Kama NJ I tatizo au haiwezekani mkristo kufanya mikutano huru kwa uislam mbona iwe ruhusa na rahisi kwa muislam kuandaa mkutano wa kukashifu ukristo na kulindwa na serikali ? Huko Nigeria hamjasikia chuki iliyopondwa na Boko Haram wanavyochinja WAKRISTO kama kuku na kuteka wanawake na kuwabaka kama mateka wa ngono ?
Hivi unaelewa hata ulichokiandika lakini?
 
Punguza chuki za kijinga wewe Kafiri,

Hakuna hoja uliyoiweka hapa zaidi ya chuki za kijinga,hakuna hoja ya kujibu hapa.
Asante kwa matusi. Hebu kanusha kuwa Boko Haram (waislam) hawachinji WAKRISTO na kubaka wanawake Nigeria na kwingineko. Nihakikishie mimi mkristo naweza kupata kibali Uarabuni kumhuburi Mohamed vibaya na kumuinua Yesu. Nihakikishie kama naweza kufungua Kanisa Somalia sawa na wewe unavyoweza kuanzisha msikiti hapa. Hapo kati yetu nani ana chuki ?
 
Back
Top Bottom