Serikali imeona wabunge wamepuyanga bungeni imerudi kukusanya maoni kwa wenye akili timamu

Wewe kwa ufahamu wako una ona kinachofanyika ni kipi? Bora wangekuwa wanauza nchi tunapata faida,ila kwa sasa wanaigaw bure.
Kuuza nchi ni nini ?!!!

Kuuza nchi ni kupi ?!!!

Hivi tumemalizana vyema kabisa na WAZUNGU kule Mwadui ,North Mara ,Bulyanhulu na kwengineko?!!

Nako unasema ni kuuza nchi kwa kuwa tulikuwa tunapata mrahaba 3% hadi juzi hayati JPM alipokuongeza kidogo ?!!!

Miaka yote hiyo ya usuajisuaji huko tunauza nchi ?!!! Mikataba aliingia/ameingia mh.Rais SSH ?!!!

Imeingia awamu hii ya 6 ?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni ukweli usio nashaka kuwa watu wengi wa mwambao wa bahari kwa nchi yetu ya tanzania wana uwezo mdogo wa kuchuja mambo full stop ,hii nikutokana na sababu nyingi sana na zingine ni za kiimani huu ni ukweli mgumu na mchungu ila ndio ukweli
Full stop maana yake nini?!!!

Unataka "kujamba" halafu tusikwambie ?!!!

Dini /imani inahusiana vipi na INTELLIGENT QUOTIENT (IQ)?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hebu nidadavulie kisomi kabisa.....

Dini /Imani ya mtu inaathirije IQ ya mwenye hiyo imani....karibu mkuu wangu!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Dini inachangia bwana rejea wale wakristo wajinga wa lio fukiwa kule kenya utanambia wana akili wale? Na hawa wanao kimbizana kugombania mafuta ya mwamposa hapa bongo nao unaona wana akili? Dini kichocheo pia mzee
 
"Serikali imerudi kukusanya maoni kwa wenye akili timamu" Hili jiwe ni zito mnoo 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Dini inachangia bwana rejea wale wakristo wajinga wa lio fukiwa kule kenya utanambia wana akili wale? Na hawa wanao kimbizana kugombania mafuta ya mwamposa hapa bongo nao unaona wana akili? Di kichocheo pia mzee
Dini yao ina maandiko yaliyosema wakafukiwe ?!!!

Dini yao haisemi kuwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa MAARIFA?!![emoji15]

Dini imetangulia kuwakumbusha umuhimu wa MATUMIZI YA AKILI...wao wakaamua kujiweka MSAMBWENI....sasa DINI ina kosa gani ?!!! Ukristo unalaumiwaje kwa alichokifanya mch.McKenzie ?!??[emoji15][emoji15]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hongera sana kwa kuweka kichwa cha habari kizuri na cha ukwei. Na yule kiongozi wao a.k.a Betina siju anajisikije ssa. Amejawa na ujinga mpaka anashindwa kutofautisha mambo ya kitaifa na uchama
 
Na uninga wa wawaumini wake umechangia bwashee unakubalije mjinga mmjoja akuvike ujinga na wewe uukubali? Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba wafuasi wa mackenzie na wa mwamposa bila kusahau yule dada wa mwanz na wengine wafananao kuwa wana akili timamu.
 
Kwanini Zanzibar iwepo lakini Tanganyika isiwepo kwani muungano ilikuwa baina ya nani na nani?
Zanzibar ipo kidola....

Tanganyika haipo kidola....baba wa taifa aliifutilia mbali....akaizika....dola lake liko wapi ?!!!

Akatueleza Muungano wetu ni wa KIPEKEE...bila ya kuukubali kuwa ni wa KIPEKEE utaendelea kupata shida kifikra kwa kule kufananisha miungano ya nchi nyingine.....

Muungano wetu uko "kiimani" si imani ya DINI....imani ya kiafrika iliyoanzia kwa baba wa taifa hayati Nyerere na mzee Karume....kupitia IMANI HIYO tukaipeleka Tanganyika katika "spiritual state" iitwayo "occultation"....

Ni imani inayohitaji "African spiritualism and awakening" kuamini MIZIMU YETU YA AFRIKA NA MATAMBIKO YETU [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usiwe mjinga fazili...

Acha kutanguliza HISIA zaidi ya UHALISIA uliopo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Umeona sasa unajibu mwenyewe....kwa hiyo ujinga ni wa mtu/watu na si DINI ?!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwani ana mpango wa kugombea kweli!! Sidhani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…