Serikali imetoa Tsh 250,000 kama ubani kwa kila familia ya mtoto aliyefariki kwenye shule ya waislamu Byamungu

Serikali imetoa Tsh 250,000 kama ubani kwa kila familia ya mtoto aliyefariki kwenye shule ya waislamu Byamungu

Unadhani au unajua?

Magufuki hakusema kwamba hatatoa chochote kwa sababu serikali haikusababisha tetemeko?

Sasa kwenye moto serikali imesababisha moto?
Wewe huoni tofauti kati ya tetemeko na moto?!
 
Serikali imetoa ubani wa sh 250,000 kwa kila familia iliyofiwa na mtoto kwenye ajali ya moto katika shule ya waislamu huko Kyerwa mkoani Kagera.

Kadhalika Serikali inawagharamia wanafunzi wengine sita wanaopatiwa matibabu katika hospitali ya Bugando.


Maendeleo hayana vyama!
Yani250k?
Huyu Dr Aleksanda si anahonga mpaka mahoteli kweli hii ndio rambi rambi.
Wawafungulie uamshobkwa sababu wanajua kwa mini haya yote yanatokea
 
Wewe huoni tofauti kati ya tetemeko na moto?!
Magufuli alisema serikali haitatoa chochote kwa sababu haikusababisha tetemeko.

Nimeuliza hivi, kwani huu moto umesababishwa na serikali?

Hujanijibu.
 
Serikali imetoa ubani wa sh 250,000 kwa kila familia iliyofiwa na mtoto kwenye ajali ya moto katika shule ya waislamu huko Kyerwa mkoani Kagera.

Kadhalika Serikali inawagharamia wanafunzi wengine sita wanaopatiwa matibabu katika hospitali ya Bugando.


Maendeleo hayana vyama!
Poleni sana wafiwa.

R.I.P watoto wetu.

Serikali Mungu azidi kuwabariki kwa moyo huu mwema mlio nao.
 
Rushwa hiyo....Why iwe sasa mbona kuna majanga kibao mabaya yanatokea wako kimya? Mbona kipindi hiki cha kampeni?
 
Unadhani au unajua?

Magufuki hakusema kwamba hatatoa chochote kwa sababu serikali haikusababisha tetemeko?

Sasa kwenye moto serikali imesababisha moto?
Hii ni thread ya suala la ajali ya moto, wewe unaleta story za tetemeko za miaka ya zamani.

Tafuta thread ya tetemeko uongelee hayo masuala yako.
 
Back
Top Bottom