johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Waislamu hawanaga mambo mengi bwashee kwenye misiba!Laki mbili ni dharau sana kwa wafiwa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislamu hawanaga mambo mengi bwashee kwenye misiba!Laki mbili ni dharau sana kwa wafiwa .
Wewe huoni tofauti kati ya tetemeko na moto?!Unadhani au unajua?
Magufuki hakusema kwamba hatatoa chochote kwa sababu serikali haikusababisha tetemeko?
Sasa kwenye moto serikali imesababisha moto?
Yani250k?Serikali imetoa ubani wa sh 250,000 kwa kila familia iliyofiwa na mtoto kwenye ajali ya moto katika shule ya waislamu huko Kyerwa mkoani Kagera.
Kadhalika Serikali inawagharamia wanafunzi wengine sita wanaopatiwa matibabu katika hospitali ya Bugando.
Maendeleo hayana vyama!
Magufuli alisema serikali haitatoa chochote kwa sababu haikusababisha tetemeko.Wewe huoni tofauti kati ya tetemeko na moto?!
Poleni sana wafiwa.Serikali imetoa ubani wa sh 250,000 kwa kila familia iliyofiwa na mtoto kwenye ajali ya moto katika shule ya waislamu huko Kyerwa mkoani Kagera.
Kadhalika Serikali inawagharamia wanafunzi wengine sita wanaopatiwa matibabu katika hospitali ya Bugando.
Maendeleo hayana vyama!
Jifunze kuwa na moyo wa shukrani mkuu. Wewe ulitaka serikali itoe kiasi gani cha pesa ili kila mtu aridhike?Yani250k?
Huyu Dr Aleksanda si anahonga mpaka mahoteli kweli hii ndio rambi rambi.
Hii ni thread ya suala la ajali ya moto, wewe unaleta story za tetemeko za miaka ya zamani.Unadhani au unajua?
Magufuki hakusema kwamba hatatoa chochote kwa sababu serikali haikusababisha tetemeko?
Sasa kwenye moto serikali imesababisha moto?
Moto siyo janga la asili!Magufuli alisema serikali haitatoa chochote kwa sababu haikusababisha tetemeko.
Nimeuliza hivi, kwani huu moto umesababishwa na serikali?
Hujanijibu.
Kabisa mkuu...... Umenena vema!Hii ni thread ya suala la ajali ya moto, wewe unaleta story za tetemeko za miaka ya zamani.
Tafuta thread ya tetemeko uongelee hayo masuala yako.