Ws geuze kwa faida wangerudia tena biashara, sasa hivi waisikia korosho ni kama wameneza makaa ya motoSeriously, mimi nilikuwa naamini was just a political game, na ndipo hapa nakumbuka yale ambayo tuliongea sana hapa JF siku Magufuli anatangaza serikali kununua korosho!!!
Na kuna uwezekano mkubwa serikali iliuza kwa hasara zile korosho, na tena kama waliuza zote basi manake hawa jamaa kwa mbwembwe, angekuwa amepatikana potential buyer, kungewekwa hadi kipindi maalumu pale TBC!!
Kwanza wametoa banki ya TIB kama mkopo kwa serikali.19 Jul 2020
Mtwara, Tanzania
Serikali imetoa shilling bilioni 20 za kulipa madeni ya wakulima, wasafirishaji, wapuliziaji dawa na waendesha maghala ya korosho. "Rais Magufuli ametoa fedha hizi kwa ajili ya Tandahimba, Masasi, Mtwara na Kibiti kwa ajili ya waliokuwa wamelipwa nusu, waliolipwa kiasi na wasiolipwa kabisa. Fedha hizi zitaanza kulipwa kesho asubuhi," Waziri mkuu Kassim Majaliwa ametoa kauli hii leo (Jumapili, Julai 19, 2020) wakati akizungumza na wanachama wa Chama cha Msingi (AMCOS) cha Matogoro na wakazi wa Tandahimba mkoani Mtwara alikoenda kuhamasisha maandalizi ya msimu wa ununuzi wa korosho.
Source : Azam TV
Kwa hiyo rasisi ni mfanya biashara wa korosho , na analipa madeni aliyokopa?19 Jul 2020
Mtwara, Tanzania
Serikali imetoa shilling bilioni 20 za kulipa madeni ya wakulima, wasafirishaji, wapuliziaji dawa na waendesha maghala ya korosho. "Rais Magufuli ametoa fedha hizi kwa ajili ya Tandahimba, Masasi, Mtwara na Kibiti kwa ajili ya waliokuwa wamelipwa nusu, waliolipwa kiasi na wasiolipwa kabisa.
Fedha hizi zitaanza kulipwa kesho asubuhi," Waziri mkuu Kassim Majaliwa ametoa kauli hii leo (Jumapili, Julai 19, 2020) wakati akizungumza na wanachama wa Chama cha Msingi (AMCOS) cha Matogoro na wakazi wa Tandahimba mkoani Mtwara alikoenda kuhamasisha maandalizi ya msimu wa ununuzi wa korosho.
Chanzo: Azam TV
Unaamini kuwa hizo 20bil zimetoka?Kusingekuwa na uchaguzi mwaka huu wananchi wa kusini wangezisikia bilioni 20 kwenye bomba.
Zinaanza kugaiwa leoUnaamini kuwa hizo 20bil zimetoka?
Rushwa za wazi mchana kweupeeeeeee!!19 Jul 2020
Mtwara, Tanzania
Serikali imetoa shilling bilioni 20 za kulipa madeni ya wakulima, wasafirishaji, wapuliziaji dawa na waendesha maghala ya korosho. "Rais Magufuli ametoa fedha hizi kwa ajili ya Tandahimba, Masasi, Mtwara na Kibiti kwa ajili ya waliokuwa wamelipwa nusu, waliolipwa kiasi na wasiolipwa kabisa.
Fedha hizi zitaanza kulipwa kesho asubuhi," Waziri mkuu Kassim Majaliwa ametoa kauli hii leo (Jumapili, Julai 19, 2020) wakati akizungumza na wanachama wa Chama cha Msingi (AMCOS) cha Matogoro na wakazi wa Tandahimba mkoani Mtwara alikoenda kuhamasisha maandalizi ya msimu wa ununuzi wa korosho.
Chanzo: Azam TV
Watagawa robo tu.Zinaanza kugaiwa leo
Mambo mengine unaweza kucheka...Waziri Mkuu Majaliwa amesema Serikali imetoa Tsh. Bil 20 kulipa madeni ya wakulima, Wasafirishaji, wapuliziaji dawa na waendesha maghala ya korosho“JPM ametoa hizi fedha kwa ajili ya Tandahimba, Masasi, Mtwara & Kibiti kwa waliolipwa nusu, kiasi na wasiolipwa, zitaanza kulipwa kesho”
-----
Serikali imetoa shilling bilioni 20 za kulipa madeni ya wakulima, wasafirishaji, wapuliziaji dawa na waendesha maghala ya korosho. "Rais Magufuli ametoa fedha hizi kwa ajili ya Tandahimba, Masasi, Mtwara na Kibiti kwa ajili ya waliokuwa wamelipwa nusu, waliolipwa kiasi na wasiolipwa kabisa.
Fedha hizi zitaanza kulipwa kesho asubuhi," Waziri mkuu Kassim Majaliwa ametoa kauli hii leo (Jumapili, Julai 19, 2020) wakati akizungumza na wanachama wa Chama cha Msingi (AMCOS) cha Matogoro na wakazi wa Tandahimba mkoani Mtwara alikoenda kuhamasisha maandalizi ya msimu wa ununuzi wa korosho.
Chanzo: Azam TV
Tuweke chama gani mbadala madam?Hata uchaguzi uwe kila mwaka lakini CCM tumeichoka.
Anarekebisha kauli ya kupiga shangazi zao@Kampeni zimeanza kunoga.
Sijui wangeenda kuwaambia nini wakulima wa Korosho.
Hahah sasa hivi mashangazi wataenda kutoa kilio chao kwa mpwa wao Membe.Anarekebisha kauli ya kupiga shangazi zao@