DOKEZO Serikali imuangalie IGP Mstaafu Omari Mahita, anatoa silaha yake ovyo hadharani anaweza kumjeruhi mtu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
mzoee uyo ana laana inamtafuna alimwaga sana dam enzi zake kama unakumbuka tukio la mwembe chai aliqmuru wapigwe sana risas waislam seeikal wamtazame ivo viashriq kua alikua mtu wa aina gan hana busara kashakua mzee asume pind kijana alikuaje katumia sana siraha ya moto na ndiomana hat saiv kidgo anakutolea bastola nafkir ht ndg wamshaul astembee nayo itamletea matatzo km dc mstaaf ditopile aliompga risas dereva wa daladala mwisho wke ukaw mbaya pia
 
Lakini wanaofunga Huwa wanakera sana.unashangaa umepaki gari Yako inaenda kunywa chai unakuta imetiwa lock.
Alafu wakati mtu ana-park gari huwa wanaangalia tu ili wapate sababu ya kufunga mnyororo tyre wapate maokoto ya fine ya wrong parking
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
kunashida mahala kunahitajika msaada wa kisaikolojia wa haraka sana, kusema nirahisi sana shida ni kwenye utekelezaji atakubali ya kuwa anahasira za haraka? ambazo ni hatari kwa maisha yake na wanaomzunguka?
 
T
Tujaribu kuwa wakweli mwembechai mtu anakuja na panga au shoka yupo mbio anakuja kukudhuru..wewe una gun..utafanyaje...??
 
Kwahiyo mimi maisha huku ngara nikija morogoro kikazi naijuia Gari yake siku hiyo hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…