DOKEZO Serikali imuangalie IGP Mstaafu Omari Mahita, anatoa silaha yake ovyo hadharani anaweza kumjeruhi mtu

DOKEZO Serikali imuangalie IGP Mstaafu Omari Mahita, anatoa silaha yake ovyo hadharani anaweza kumjeruhi mtu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
He is mentally sick
Soon atapata tukio la aibu kwa staili hyo
Mkuu, Hilo Ni la Uhakika kama hatabadilika na kukubaliana na matokeo. Ajue na Atambue kwamba Amestaafu i.e. Hayuko Ofisini tena na pia Yeye sio IGP tena bali ni Raia sawa na raia wengine. Huko kumiliki gari na bastola na vitu vingine kama anavyo ajue kwamba hata raia wengine wanavyo vitu hivyo pengine hata kumzidi.
Hivi inakuwaje kwa huyo mwamba - anakwama wapi? haangalii hata Rais mstaafu Mh. J. Kikwete anavyoishi na Jamii ? CDF mtaafu anavyoishi na Jamii??? :KEKBye: anadhani hivyo vitu (gari na bastola)anavyotamba navyo wao hawana? Mbona wametulia?
 
T

Tujaribu kuwa wakweli mwembechai mtu anakuja na panga au shoka yupo mbio anakuja kukudhuru..wewe una gun..utafanyaje...??
unarusiwa kujiham ila sheria yavsirah inakataz kua kitisho wa jamii kidgo umeonyesha kidgo umetoa umeona kwa malalamiko tu uyo mshua angekua raia wa kawaid washamnyang'anya ktambo sema tu vle alikua na wadhifa then sheria ya kujiham ipo pia sio uue tu kisa mtu kakutolea panga unakaa jela km kawaid shelia ya kujiham ni kupga juu mweny panga awez skia risas asitupe panga aje akmbie aje akudhur tu na kiwang cha mwish kabs kupga miguu sio kuua na ukimpga nyuma ni kosa yan kuna sheria kal km unavoona trafk wanapma ajal na sirah ivo ivo kuna wachunguz pk waon umetumia sirah kmakosa au laa
 
Baada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu.

Miongoni mwa matukio ya ajabu aliyofanya ni kupiga risasi lock iliyowekwa kwenye gari yake baada ya kupaki sehemu isiyo sahihi.

Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka!

Mwamba aliyeifunga aliogopa hata kusogea eneo la tukio.

Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?

Badilika.
Huyu jamaa bado anadhani bado ni IGP.hata wakati yupo madarakani alikuwa na tabia ya hovyo sana na hakupaswa kumilikishwa silaha.hii nchi ya hovyo sana ni kama vile hatuna serikali na wakati jpm alikuwa mpole sana ila sasa wanachezea sana mama
 
Kwa nchi zetu hizi za kujuana sana.

Kufunga lock gari ya IGP mstaafu ni kujitafutia matatizo tu. Huyo mfunga lock ni mpumbavu pia.

IGP mstafu huwezi kwenda kumshitaki popote ukamshinda.
Kama hakuijua mkuu inakuwaje? Japo una point, kwanza kituo utachoenda kushitaki wanaweza kukugeuka umemdharau afande.
 
Kusema kweli una lock gari ya IGP mstaafu...Watanzania wenzangu kulala na kuamka salama sio jambo dogo...kuna watu hawalali ili sisi tulale na tuamke vyema...yupo sahihi sana imagine amepiga chuma bila kuathiri tairi la gari mlitazame hili..yupo makini kiasi gani...hongera mahita
Kwani yeye yuko juu ya sheria au!
 
mzoee uyo ana laana inamtafuna alimwaga sana dam enzi zake kama unakumbuka tukio la mwembe chai aliqmuru wapigwe sana risas waislam seeikal wamtazame ivo viashriq kua alikua mtu wa aina gan hana busara kashakua mzee asume pind kijana alikuaje katumia sana siraha ya moto na ndiomana hat saiv kidgo anakutolea bastola nafkir ht ndg wamshaul astembee nayo itamletea matatzo km dc mstaaf ditopile aliompga risas dereva wa daladala mwisho wke ukaw mbaya pia
Tatizo ni kwa Serikali inaweza kupewa Dokezo kama hili, halafu ikakaa kimya halafu likitokea la kutokea ndo Wanaamka - lakini maji yanakuwa yameshamwagika.
 
Mahita yupo morogoro wayback sidhani kama hata aliwahi kutoka. Mtu yyte lazma uijue gari ya huyu bwana, else wise ni dharau. Na hiyo ndio kazi ya bastola. It is too risk kufunga gari ya mtu kama huyo, risk kwake na kwako mfungaji.
Mimi tu nakushtua utumbo ukifanya hivo kwenye gari yangu kama na wadhfa wake.
Kila mtu moro anamjua mahita. Huyo nani kalifunga.
Mzee hana stress. Kama kuna wazee wanaenjoy maisha ni mahita. Kafanya kazi yake na anaenjoy muda wake.
Inaonekana kijana aliwaaminisha wenzake ngoja kwa niifunge gari ya mahita ... Nyie sini mnamuogopa.😁 Arafu kijana mwenyewe ni huyu huyu muanzisha mada hii..

Halafu makosa mengi kama hayo ya kufunga gari unakuta hata vile vibango vya Katazo havipo au kukiwepo kimeanzishwa makusudi ili usikione au kimewekwa mazingira ambayo si rahisi kukiona

Sababu wanajua kabisa watakosa hela..


Labda kwa taarifa kijana ambazo hazijui Omar mahita ni mtu hatari sana na aina ya wafu wenye misimamo mikali sana enzi zake za utumishi
 
Back
Top Bottom