DOKEZO Serikali imuangalie IGP Mstaafu Omari Mahita, anatoa silaha yake ovyo hadharani anaweza kumjeruhi mtu

DOKEZO Serikali imuangalie IGP Mstaafu Omari Mahita, anatoa silaha yake ovyo hadharani anaweza kumjeruhi mtu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Duh! Kwa jinsi ya majibu hayo; Unaweza na unafaa kuwa chawa wa IGP mstaafu. Hongera sana.
Ndio watanzania mnapoishia akili zenu, unaelezwa unaleta story za uchawa. Njoo na opinions zako, Unaongelea uchawa.
Very low minded aisee
 
Mleta mada tusimulie vizuri hili tukio😂 baada ya kufyatua risasi hakuipuliza bastola pale mbele kama kwenye movie kweli ?

Dingi limekaa kijambazi sana 😂 Huwa napenda kusoma stories zake
Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka
 
Mimi nilikuwa pale muhimbili hospital, nikiwa natoa gari bahati mbaya nikagusa gari lingine kwa nyuma, wale walinzi suma jkt wakaizingira gari yangu. Hapo nilipoigusa hiyo gari mwenyewe hata ukimuonesha hawez kupaona. Wakasema hii gari ni ya generali wa jeshi huwezi kutoka mpaka afike hapa uelewane nae, kipindi tunaendelea na mjadala ghafla nashtukia gari ishatiwa lock na mlinzi mwingine.

Nikiwaambia nionesheni huyo jenerali alipoelekea nikaongee nae, wanasema hawawezi kufanya hivyo mie nisubiri mpaka atoke. Mara naambiwa huyo jenerali ni daktari pia kitengo cha wagonjwa wa dharura.

Hapo nipo na mzee wangu ambae nilimleta hospital akitokea kigoma. Namcheki mzee anatetemeka kusikia jenerali, nadhani alikuwa anawaza vita ya kagera na iddi amini😀😀😀

Dakika chache akaja MP wa jeshi akauliza kuna nini hapo na mbona mmezingira gari ya mzee (akimaanisha hiyo gari ya mkuu wake) nikashuka nikamsalimia salamu ya kawaida tu, habari yako kiongozi, imetokea bahati mbaya wakati natoka nimeigusa gari ya mkuu kidogo sana hapa (huku namuonesha sehemu nyingine) jamaa akasema mbona padogo saana, hata mzee hawez kupaona, mimi mwenyewe sijaona shida iliyopo..

Jamaa akaagiza lock zifunguliwe then niruhusiwe niondoke, suma wakafanya hivyo naondoka ety wakanizuia tena kuona yule MP kaondoka, ety ooh mzee akija akigundua atatumaindi sie, tuachie chochote tumpange mzee akitoka. Nikacheka saaaanaaaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀

Mlipaswa muongee hivyo mapema kabla yule MP hajairuhusu gari yangu na nyie kukubali. Nitaenda kumwambie yule bwana mnaniomba rushwa...daah jamaa waligeuka nyuma bila kuuliza kitu.
 
Kusema kweli una lock gari ya IGP mstaafu...Watanzania wenzangu kulala na kuamka salama sio jambo dogo...kuna watu hawalali ili sisi tulale na tuamke vyema...yupo sahihi sana imagine amepiga chuma bila kuathiri tairi la gari mlitazame hili..yupo makini kiasi gani...hongera mahita
Ukute dingi aliona hii ndio nafasi ya kukumbushia kurenga😂 hapo funzo ni serikali iwakumbuke maigp kwenye vijisafari vya nje huko wakarelax
Nasikia hakusoma pia
 
Kuna watu wanahitaji kutiwa adabu waheshimu wastaafu acha awape doscipline
Mbona wastaafu hawavagi beji kifuani ili watambulike na hivyo waheshimiwe?
Kwani hivi asingekuwa na hio silaha angefanyaje ?
Nadhani huko kumiliki gari na kuli park mahali sio sahihi na kutumia silaha kinyume cha maelekezo ya Umiliki wa silaha Kisheria kulifungua gari, kunatosha kuwa ni kiashiria na kielelezo cha wazi kwamba jamaa kwa sasa anatatizo la kiakili na kwa hiyo anahitaji msaada. Serikali ilitazame hilo.
 
Mbona wastaafu hawavagi beji kifuani ili watambulike na hivyo waheshimiwe?
Kwani hivi asingekuwa na hio silaha angefanyaje ?
Nadhani huko kumiliki gari na kuli park mahali sio sahihi na kutumia silaha kinyume cha maelekezo ya Umiliki wa silaha Kisheria kulifungua gari, kunatosha kuwa ni kiashiria na kielelezo cha wazi kwamba jamaa kwa sasa anatatizo la kiakili na kwa hiyo anahitaji msaada. Serikali ilitazame hilo.
Jamaa lilibaka House girl na kukataa mtoto na Bado halikufungwa.. kwake haka ka issue ka bastola ni kadogo sana
 
Mimi nilikuwa pale muhimbili hospital, nikiwa natoa gari bahati mbaya nikagusa gari lingine kwa nyuma, wale walinzi suma jkt wakaizingira gari yangu. Hapo nilipoigusa hiyo gari mwenyewe hata ukimuonesha hawez kupaona. Wakasema hii gari ni ya generali wa jeshi huwezi kutoka mpaka afike hapa uelewane nae, kipindi tunaendelea na mjadala ghafla nashtukia gari ishatiwa lock na mlinzi mwingine.

Nikiwaambia nionesheni huyo jenerali alipoelekea nikaongee nae, wanasema hawawezi kufanya hivyo mie nisubiri mpaka atoke. Mara naambiwa huyo jenerali ni daktari pia kitengo cha wagonjwa wa dharura.

Hapo nipo na mzee wangu ambae nilimleta hospital akitokea kigoma. Namcheki mzee anatetemeka kusikia jenerali, nadhani alikuwa anawaza vita ya kagera na iddi amini😀😀😀

Dakika chache akaja MP wa jeshi akauliza kuna nini hapo na mbona mmezingira gari ya mzee (akimaanisha hiyo gari ya mkuu wake) nikashuka nikamsalimia salamu ya kawaida tu, habari yako kiongozi, imetokea bahati mbaya wakati natoka nimeigusa gari ya mkuu kidogo sana hapa (huku namuonesha sehemu nyingine) jamaa akasema mbona padogo saana, hata mzee hawez kupaona, mimi mwenyewe sijaona shida iliyopo..

Jamaa akaagiza lock zifunguliwe then niruhusiwe niondoke, suma wakafanya hivyo naondoka ety wakanizuia tena kuona yule MP kaondoka, ety ooh mzee akija akigundua atatumaindi sie, tuachie chochote tumpange mzee akitoka. Nikacheka saaaanaaaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀

Mlipaswa muongee hivyo mapema kabla yule MP hajairuhusu gari yangu na nyie kukubali. Nitaenda kumwambie yule bwana mnaniomba rushwa...daah jamaa waligeuka nyuma bila kuuliza kitu.
Hivyo ndivyo na issue ya mahita ingeliweza kumalizwa kwa mtindo huo na sio kupiga risasi simply eti kwa kuwa anayo bastola.
 
Mahita ni mfano wa kuigwa morogoro, ndio ujumbe umefika kama amefanya tendo hilo, hata wahusika watakua wamempigia simu tayari.
Kingine i don't entertain politics kwenye comment yangu, siasa kaa nazo.
Nasijaongelea mm nyie washamba wa umasaini, nimesema morogoro haswa eneo analopaki yy gari yake.
Unaleta maswala ya masai hapa, nimetaja masai mm hapa.
Hapana ndugu. Manispaa ya Morogoro inapoajiri watumishi haiangalii kama ni wenyeji wa siku nyingi au wametoka mikoa mingine.
Hivyo hata mtu kutoka Kigoma au Pemba anawezaajiriwa na manispaa ya Morogoro. Kusema kwamba wakazi wa Morogoro wote wanaijua gari ya mahita sio kweli.
Mimi nimeishi pale chuo Cha Sokoine SUA kama miezi minne na na nikienda mjini karibia kila siku na sikuwahiona gari la mahita.
 
Mahita ni mfano wa kuigwa morogoro, ndio ujumbe umefika kama amefanya tendo hilo, hata wahusika watakua wamempigia simu tayari.
Kingine i don't entertain politics kwenye comment yangu, siasa kaa nazo.
Nasijaongelea mm nyie washamba wa umasaini, nimesema morogoro haswa eneo analopaki yy gari yake.
Unaleta maswala ya masai hapa, nimetaja masai mm hapa.
Anatumia gari aina Gani huyo dingi
 
Baada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu.

Miongoni mwa matukio ya ajabu aliyofanya ni kupiga risasi lock iliyowekwa kwenye gari yake baada ya kupaki sehemu isiyo sahihi.

Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka!

Mwamba aliyeifunga aliogopa hata kusogea eneo la tukio.

Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?

Badilika.
Hapendagi ujinga
 
Hapana ndugu. Manispaa ya Morogoro inapoajiri watumishi haiangalii kama ni wenyeji wa siku nyingi au wametoka mikoa mingine.
Hivyo hata mtu kutoka Kigoma au Pemba anawezaajiriwa na manispaa ya Morogoro. Kusema kwamba wakazi wa Morogoro wote wanaijua gari ya mahita sio kweli.
Mimi nimeishi pale chuo Cha Sokoine SUA kama miezi minne na na nikienda mjini karibia kila siku na sikuwahiona gari la mahita.
Mkuu, it seems hiyo gari wanaoijua ni wale watu wa aina yake mahita (Wababe)na pia hawajui, hawakubali na hawatambui uwepo wa watu raia wengine wasio wa aina yao na wanaotokea maeneo tofauti na anapopark gari yake hiyo ila wameajiriwa na katika Ajira mtu unaweza kubadilishwa kituo cha kazi wakati wowote.
Huko ni kufilisika kimawazo.
 
Baada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu.

Miongoni mwa matukio ya ajabu aliyofanya ni kupiga risasi lock iliyowekwa kwenye gari yake baada ya kupaki sehemu isiyo sahihi.

Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka!

Mwamba aliyeifunga aliogopa hata kusogea eneo la tukio.

Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?

Badilika.
Fungeni magaru yao ndo mtajua hao cdf ni watu wema au la
 
Hapana ndugu. Manispaa ya Morogoro inapoajiri watumishi haiangalii kama ni wenyeji wa siku nyingi au wametoka mikoa mingine.
Hivyo hata mtu kutoka Kigoma au Pemba anawezaajiriwa na manispaa ya Morogoro. Kusema kwamba wakazi wa Morogoro wote wanaijua gari ya mahita sio kweli.
Mimi nimeishi pale chuo Cha Sokoine SUA kama miezi minne na na nikienda mjini karibia kila siku na sikuwahiona gari la mahita.
Sasa wewe uishi chuo cha sokoine, Kuna umuhimu gani kumfahamu mahita. Gari ya shabiby wala abood hujawahi iona. Ila maisha yakiwa ya mjini utafahamu tu, haswa kwa hao watu wa parking.
Mm nimemjua mahita kabla sijafika mzumbe, na nikiwa mzumbe 3 years sikuwahi kuona gari yake. Ila nimeishi mjini, nimefanyakazi, na nilikua na duka, na nimemuona tena mahita tena zaidi ya mara moja.
 
Back
Top Bottom