Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini kwa nini usubiri eti Serikali wakukumbuke kwenye vijisafari vya nje ilhali mstaafu hupokea malipo makubwa mwanzoni si angelitumia kwenda kujirusha huko nje? au bado anaHang over ya posho za kiserikali?Ukute dingi aliona hii ndio nafasi ya kukumbushia kurenga😂 hapo funzo ni serikali iwakumbuke maigp kwenye vijisafari vya nje huko wakarelax
Nasikia hakusoma pia
😂Itakuwa Hang over. Nilisikia Kuna kipindi TRA walimkalia vibayaLakini kwa nini usubiri eti Serikali wakukumbuke kwenye vijisafari vya nje ilhali mstaafu hupokea malipo makubwa mwanzoni si angelitumia kwenda kujirusha huko nje? au bado anaHang over ya posho za kiserikali?
Kwa Amri yake aliyotoa; mauaji yalifanyika.Amewahi kuua kwani?
Ma CDF wastaafu unaweza kuwapigia kufuli gari zao wakipaki sehemu? Umepata unachostahili. Muheshimuni IGP mstaafuNikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?
Badilika.
Sura yenyewe inaeleza kila kitu, halafu mtu anaenda kutia lockMzee wa Ngunguri
Mpole sanaMimi ningemtafuta aliyelock nimlambe ya mguu, halafu akilia namlamba nyingine
Mahita ana huruma sana
Muee ya ngunguri!Baada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu.
Miongoni mwa matukio ya ajabu aliyofanya ni kupiga risasi lock iliyowekwa kwenye gari yake baada ya kupaki sehemu isiyo sahihi.
Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka!
Mwamba aliyeifunga aliogopa hata kusogea eneo la tukio.
Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?
Badilika.
Aisee!Kusema kweli una lock gari ya IGP mstaafu...Watanzania wenzangu kulala na kuamka salama sio jambo dogo...kuna watu hawalali ili sisi tulale na tuamke vyema...yupo sahihi sana imagine amepiga chuma bila kuathiri tairi la gari mlitazame hili..yupo makini kiasi gani...hongera mahita
Manispaa ya Morogoro ni kubwa kuliko mahita.Na hao watu wa parking Kuna wanaostaafu na wengine ni waajiriwa wapya ambao huchukua muda kadhaa kuyazoea magari na wamiliki wake.Mimi kwamfano nimeishi Tanga mjini miaka Tisa bila kutoka ila Kuna watu maarufu sana kama matajiri maarufu, na viongozi wastaafu kama wabunge , mawaziri na wanajeshi wastaafu ambao sikuwahi kuona magari yao. Halafu kwa watu wenye pesa ndefu hawakai na gari moja muda mrefu. Hupenda kubadilisha na kununua magari ya kisasa zaidi kwa sababu Hela inaruhusu. Kwa mfano wakati mahita anastaafu kuna magari ya kisasa yalikuwa hayajatoka ambayo bila shaka atahitaji kuwa nayo ili kwenda na wakati . Kwa hiyo Bado kusema kwamba wakazi wa Morogoro wote wanalijua gari la mahita sio kweli.Sasa wewe uishi chuo cha sokoine, Kuna umuhimu gani kumfahamu mahita. Gari ya shabiby wala abood hujawahi iona. Ila maisha yakiwa ya mjini utafahamu tu, haswa kwa hao watu wa parking.
Mm nimemjua mahita kabla sijafika mzumbe, na nikiwa mzumbe 3 years sikuwahi kuona gari yake. Ila nimeishi mjini, nimefanyakazi, na nilikua na duka, na nimemuona tena mahita tena zaidi ya mara moja.
Sawa sawaWalikuwepo watata zaidi yake enzi za nyuma, lakini leo hii wametulia au dunia imewalazimisha wawe wanyenyekevui.e. Dunia imewatiisha.
Kakamate na gari ya JK ndio utajua yupo juu ya sheria ama chini ya sheriaIna jina?
Mahita yupo juu ya sheria?
Sheria imeelekezwa ibague nani na kumuacha nani?
Na gari yake hujiepusha kadri iwezekanavyo kuhusika katika uvunjaji wa sheria.Kakamate na gari ya JK ndio utajua yupo juu ya sheria ama chini ya sheria
Kakamate na gari ya JK ndio utajua yupo juu ya sheria ama chini ya sheria
Tusijitoe ufahamu. Mwanae alikamatwa; sembuse gari?JK mbali sana. akakamate gari hata ya Tibaijuka tu
IGP mstaafu sio askofu mstaafu msichanganye mambo.Nanukuu: "Mtu yyte lazma uijue gari ya huyu bwana, else wise ni dharau. Na hiyo ndio kazi ya bastola."
Mkuu, Hiyo gari yake ina utambulisho(Identity) gani wa kipekee kiasi kwamba mtu yeyote ni lazma aijue? Mbona ss huku umasaini ndani ndani huku hatuijui au sisi sio watu?
Je, kazi ya bastola ni kufungua lock za magari? Tafakari.
Huyo mwamba mstaafu inabidi ajitambue(Kama bado akili iko vizuri) kwamba ni muda wake sasa wa kupumzika na kuyafurahia mema ya nchi na sio kuendeleza ubabe. Wahenga walitanabahisha "Dunia huwatiisha watu".
1. Hiyo gari yaweza kutofanya kazi muda wowote e.g. kuharibika au vinginevyo;
2. Hiyo bastola sio mali yake - amedhaminiwa tuu i.e. anaweza kutakiwa kisheria airudishe kwa waliompa.
3. Kadri umri wake unavyosogea, anaweza kufikia umri ambapo asiweze tena kuvitumia hivyo vitu hata kama bado atakuwa navyo.
Ushauri: IGP (Inspector General Police) Mstaafu, kwa heshima alokuwa nayo (kabla na baada ya kustaafu) ndani ya Jamii ingependeza zaidi akawa ni mfano wa kuigwa na sio kuwa ni mtu wa vitisho na kuonesha umwamba.
SawaManispaa ya Morogoro ni kubwa kuliko mahita.Na hao watu wa parking Kuna wanaostaafu na wengine ni waajiriwa wapya ambao huchukua muda kadhaa kuyazoea magari na wamiliki wake.Mimi kwamfano nimeishi Tanga mjini miaka Tisa bila kutoka ila Kuna watu maarufu sana kama matajiri maarufu, na viongozi wastaafu kama wabunge , mawaziri na wanajeshi wastaafu ambao sikuwahi kuona magari yao. Halafu kwa watu wenye pesa ndefu hawakai na gari moja muda mrefu. Hupenda kubadilisha na kununua magari ya kisasa zaidi kwa sababu Hela inaruhusu. Kwa mfano wakati mahita anastaafu kuna magari ya kisasa yalikuwa hayajatoka ambayo bila shaka atahitaji kuwa nayo ili kwenda na wakati . Kwa hiyo Bado kusema kwamba wakazi wa Morogoro wote wanalijua gari la mahita sio kweli.