Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Maliyamungu mnyima watu haki ya kuishi ndo mshika remote ya TV
 
Siyo kwamba najigamba au kujidai. Ni ukweli tu. Ukweli kwamba, katika watu waliom-‘define’ huyu ‘Gavana’ wa Dar es Salaam humu jukwaani, basi mimi ni mmoja wa watu walio juu katika orodha ya watu hao.

Hizi siku mbili tatu nimejiuliza maswali mengi sana.

Mojawapo ni hili: hivi huyu Rais wetu anakwama wapi?

Manake haiingii akilini kabisa. Kuna watu wengi tu ambao kawatumbua ‘unceremoniously’ kwa makosa madogo kabisa yasiyo stahili hata kuwa sababu ya mtu kutumbuliwa.

Lakini ikija kwa huyu ‘Gavana’, licha ya makosa yake yote, Rais mpaka leo hajamtumbua.

Mpaka Wamarekani nao wameona. Si ajabu wameona siku nyingi tu lakini wakawa wanavuta muda kuona kama Rais atatumia madaraka yake na kutenda [kumtumbua], lakini wapi.

Wamesubiri mwishowe na wao wamechoka. Sasa wameamua kutenda kwa kadri wawezavyo.

Huyu Rais wetu huyu...kama somo halielewi, ina maana na picha nayo haioni?

Anakwama wapi huyu Rais wetu?

Haya, pale wizara ya mambo ya nje kamtoa waziri ambaye ni mwanadiplomasia mbobezi halafu kamweka Kabudi!

Huyu Kabudi ataweza kweli ku ‘navigate the murky waters of international diplomacy’?

Ona alivyoenda Kenya kwenye ule uzinduzi wa ripoti yao ya BBI!!

Kaenda katoa mahubiri utadhani huko alikotoka ni peponi.

Kilichotokea kwa ‘gavana’ sidhani kama kimewahi kutokea [unprecedented].

Ila sasa kimetokea. Chini ya utawala wa Magufuli.

Magufuli anakwama wapi? Hana hekima? Busara?
Nasikia mtaalam wake kwenye mambo ya anga,anaogopa kuangushwa hvyo mtasubiri sana
 
Siyo kwamba najigamba au kujidai. Ni ukweli tu. Ukweli kwamba, katika watu waliom-‘define’ huyu ‘Gavana’ wa Dar es Salaam humu jukwaani, basi mimi ni mmoja wa watu walio juu katika orodha ya watu hao.

Hizi siku mbili tatu nimejiuliza maswali mengi sana.

Mojawapo ni hili: hivi huyu Rais wetu anakwama wapi?

Manake haiingii akilini kabisa. Kuna watu wengi tu ambao kawatumbua ‘unceremoniously’ kwa makosa madogo kabisa yasiyo stahili hata kuwa sababu ya mtu kutumbuliwa.

Lakini ikija kwa huyu ‘Gavana’, licha ya makosa yake yote, Rais mpaka leo hajamtumbua.

Mpaka Wamarekani nao wameona. Si ajabu wameona siku nyingi tu lakini wakawa wanavuta muda kuona kama Rais atatumia madaraka yake na kutenda [kumtumbua], lakini wapi.

Wamesubiri mwishowe na wao wamechoka. Sasa wameamua kutenda kwa kadri wawezavyo.

Huyu Rais wetu huyu...kama somo halielewi, ina maana na picha nayo haioni?

Anakwama wapi huyu Rais wetu?

Haya, pale wizara ya mambo ya nje kamtoa waziri ambaye ni mwanadiplomasia mbobezi halafu kamweka Kabudi!

Huyu Kabudi ataweza kweli ku ‘navigate the murky waters of international diplomacy’?

Ona alivyoenda Kenya kwenye ule uzinduzi wa ripoti yao ya BBI!!

Kaenda katoa mahubiri utadhani huko alikotoka ni peponi.

Kilichotokea kwa ‘gavana’ sidhani kama kimewahi kutokea [unprecedented].

Ila sasa kimetokea. Chini ya utawala wa Magufuli.

Magufuli anakwama wapi? Hana hekima? Busara?
Tatizo ni pale unapouliza Magufuli anakwama wapi kwa huyu Makonda, wakati Magufuli hajawahi kuwa na consistent and coherent agenda popote.

Hapa atakwambia anapiga vita rushwa, kule kauza nyumba za serikali nje ya utaratibu mpaka kwa hawara zake. Pia anasema trafiki kupewa rushwa ni "hela ya kupiga viatu brashi tu".

Hapa atakwambia yeye ni rais wa wanyonge, na maendeleo hayana vyama, pale atakwambia atapiga wapinzani mpaka shangazi zao.

Hapa atamfukuza kazi Kangi Lugola kwa kupiga dili ambalo halijapitia bungeni, kule atanunua ndege bila idhini ya bunge, tender ya wazi wala kuruhusu ukaguzi wa CAG ATCL.

Hapa atasema anawakilisha maslahi ya wakulima wanyonge, halafu hapo hapo ataingilia manunuzi ya korosho na kuharibu soko kwa namna ambayo inaangusha mapato ya mazao ya kilimo kwa asilimia 55 katika mwaka mmoja tu unaoishia Agosti 2019, kwa mujibu wa ripoti ya Bank of Tanzania ya Oktoba 2019.

Sasa mtu kama huyu utategemea vipi ajielewe zaidi ya wholesale politics?

Na watu waliokuwa sane serikalini waliotaka kummdhibiti Makonda na kufanya "damage control" kama kina Dr. Mahiga ndiyo wanaondokewa kwenye prominence. Go figure.

Wizara ya Mambo ya Nje sasa hivi tungehitaji sana watu wenye busara na uzoefu wa kimataifa. Lakini wameondolewa, wamewekwa die hard ideologues waimba sifa. Clear mesage kwamba hatutaki watu wa busara, tunataka watu wa kujikomba kwa mkuu.

For all I know yeye Magufuli na Makonda hawajapishana sana katika kufikiri, na sasa wanaandaa vita dhidi ya "mabeberu".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kwamba najigamba au kujidai. Ni ukweli tu. Ukweli kwamba, katika watu waliom-‘define’ huyu ‘Gavana’ wa Dar es Salaam humu jukwaani, basi mimi ni mmoja wa watu walio juu katika orodha ya watu hao.

Hizi siku mbili tatu nimejiuliza maswali mengi sana.

Mojawapo ni hili: hivi huyu Rais wetu anakwama wapi?

Manake haiingii akilini kabisa. Kuna watu wengi tu ambao kawatumbua ‘unceremoniously’ kwa makosa madogo kabisa yasiyo stahili hata kuwa sababu ya mtu kutumbuliwa.

Lakini ikija kwa huyu ‘Gavana’, licha ya makosa yake yote, Rais mpaka leo hajamtumbua.

Mpaka Wamarekani nao wameona. Si ajabu wameona siku nyingi tu lakini wakawa wanavuta muda kuona kama Rais atatumia madaraka yake na kutenda [kumtumbua], lakini wapi.

Wamesubiri mwishowe na wao wamechoka. Sasa wameamua kutenda kwa kadri wawezavyo.

Huyu Rais wetu huyu...kama somo halielewi, ina maana na picha nayo haioni?

Anakwama wapi huyu Rais wetu?

Haya, pale wizara ya mambo ya nje kamtoa waziri ambaye ni mwanadiplomasia mbobezi halafu kamweka Kabudi!

Huyu Kabudi ataweza kweli ku ‘navigate the murky waters of international diplomacy’?

Ona alivyoenda Kenya kwenye ule uzinduzi wa ripoti yao ya BBI!!

Kaenda katoa mahubiri utadhani huko alikotoka ni peponi.

Kilichotokea kwa ‘gavana’ sidhani kama kimewahi kutokea [unprecedented].

Ila sasa kimetokea. Chini ya utawala wa Magufuli.

Magufuli anakwama wapi? Hana hekima? Busara?
Tuna Rais wa hovyo haijawahi kutokea!
 
Siyo kwamba najigamba au kujidai. Ni ukweli tu. Ukweli kwamba, katika watu waliom-‘define’ huyu ‘Gavana’ wa Dar es Salaam humu jukwaani, basi mimi ni mmoja wa watu walio juu katika orodha ya watu hao.

Hizi siku mbili tatu nimejiuliza maswali mengi sana.

Mojawapo ni hili: hivi huyu Rais wetu anakwama wapi?

Manake haiingii akilini kabisa. Kuna watu wengi tu ambao kawatumbua ‘unceremoniously’ kwa makosa madogo kabisa yasiyo stahili hata kuwa sababu ya mtu kutumbuliwa.

Lakini ikija kwa huyu ‘Gavana’, licha ya makosa yake yote, Rais mpaka leo hajamtumbua.

Mpaka Wamarekani nao wameona. Si ajabu wameona siku nyingi tu lakini wakawa wanavuta muda kuona kama Rais atatumia madaraka yake na kutenda [kumtumbua], lakini wapi.

Wamesubiri mwishowe na wao wamechoka. Sasa wameamua kutenda kwa kadri wawezavyo.

Huyu Rais wetu huyu...kama somo halielewi, ina maana na picha nayo haioni?

Anakwama wapi huyu Rais wetu?

Haya, pale wizara ya mambo ya nje kamtoa waziri ambaye ni mwanadiplomasia mbobezi halafu kamweka Kabudi!

Huyu Kabudi ataweza kweli ku ‘navigate the murky waters of international diplomacy’?

Ona alivyoenda Kenya kwenye ule uzinduzi wa ripoti yao ya BBI!!

Kaenda katoa mahubiri utadhani huko alikotoka ni peponi.

Kilichotokea kwa ‘gavana’ sidhani kama kimewahi kutokea [unprecedented].

Ila sasa kimetokea. Chini ya utawala wa Magufuli.

Magufuli anakwama wapi? Hana hekima? Busara?
Atumbuliwe kwa kosa gani wewe wakati mtu anafanya kazi nzuri. Hebu nieleze biashara ya madawa ya kulevya iko kama zamani? Vijana wamenusurika wangapi. Wauzaji awamejaa korokoroni ndio hao wanalilia kichwa cha makonda. Kuna hospitali kule chanika imejengwa kwa juhudi za makonda..kuna mambo mengi ukurada hautoshi. Mwacheni makonda afanye kazi.
 
Baada ya tangazo la Serikali ya Marekani kumzuia Makonda na familia yake kupata visa ya Marekani Kuna uwezekana mkubwa huo ndiyo ukawa mwisho wa Makonda kisiasa.

Tangazo hilo halijatoa Picha nzuri kwa uongozi wa awamu ya tano na ili kurudisha heshima na mahusiano hayo tena ni Makonda kuondolewa katika nafasi ya Mkuu wa mkoa haraka Sana.

Wamerakani watakawa wametuma makachero wao ndani ya nchi Kama majasusi bila tz kujua na uwezekano wamekuja Kama watalii na kukusanya habari nyingi Sana za ndani ya mifumo ya Serikali.

Ni wakati umefika RC aondoke haraka katika nafasi hiyo.

Ni aibu kubwa sana kwa nchi kwa tangazo hilo.
Mjinga sana wewe praise team wa lumumba jiandaeni kwa sabotage za CIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama asipoondolewa Kuna uwezekana mkubwa wa kupigwa ban kwa viongozi wengine. USA wana evidence na matendo yake.hawakurupuki tu.
TUTAELEWANA TU! Tumepiga sana kelele hapa kuhusu Serikali hii na Makonda kuuwa raia wasio na hatia mkawa mnatukejeli tu, sasa naona tunaenda pamoja.
 
Kwani tz Bila marekani si tunaweza ishi sasa wasitutishe Kama vp watembee na wasitubabaishe na uyo makonda ni kwamba hizo haki za binadamu anawezaje kuvunja za marekani za Tanzania ambapo ndio kwao hasizivunje???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom