DOKEZO Serikali imzuie huyu jamaa kuingia nchini, ana agenda amebeba

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimesha mkomenti mahala nikamwambia hatutaki kumuona
 
Acha uongo huyu ni wana biashara yao ya
Umeongeza chumvi sana,
 
Jamaa namkubali mno, kuliko kalio lake alitumie vibaya na kuleta nongwa kwa jamii.
Yeye kaona alitumie kuteka vidada vitaka tako..

Mambo ya upinde ni wewe na tamaa zako, si ajabu huyo jamaa mkiachwa geto utampakua..

Upinde wake uko wapi hapo? Acha nongwa.
Pesa inatafutwa kwa njia nyingi(halali) kama hiyo.
 
Nenda na wew karekebishe kalio mku likuze
 
Nenda na wew karekebishe kalio mkuu
 
Tunapoongelea Gen Z ni lazima utaje ni Gen Z ya wapi, Gen Z ya Tanzania haya ndiyo mambo yao sasa, wanaweza sana hizi mambo
 
kwani anawafuata wanaume au wanawake?
 
Wanaume hoyeeee
Mnaletewa kishundu hicho mnapokeaje kalio hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…