Serikali ina cheka na nyani: Wizi wa kimtandao Arusha inaelekea ni nchi nzima!

Serikali ina cheka na nyani: Wizi wa kimtandao Arusha inaelekea ni nchi nzima!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594

Msimamo wa kula kwa urefu wa kamba imepata maana mpya na mbaya.
Serikali ikiwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama katika kila mkoa, itaibiwaje kibwege hivi?

Yes, serikali inaibiwa kibwege na wateule walewale wa Rais.
Tumesikia kuwa kule Mbeya mtandao kama huo ulikuwepo.
Hapo tusimung'unye maneno, serikali Awamu ya Sita imeonyesha udhaifu mkubwa kiutawala, hasa usimamiaji wa mapato, yanayoliwa na wateule wa Rais.

Mama Samia atulie ofisini na asimamie wateule wake.
 
Noma sana yani hapo kwenye makampuni ndio watu wanapigwa!
The Tanganyika halafu una kutana na Tanganyika…ukiwa mjinga na haujali basi wewe unalipa tuu bila kujali kumbe unawapa watu hela za bure….

Sasa serikali hapa ndio inatakiwa kuwekeza kwenye kudhibiti wezi kama hawa wanaoweza kutengeneza kampuni hewa na kuipa control number….

Na watanzania tusivyo watu wakujali tunapigwa sana…yani kampuni yako inaitwa “leak” halafu wanakulete control number inayoonesha kampuni inaitwa “The leak” na sisi watanzania tusivyo watu makini na wakuhoji unatakuta mtu analipa kwenye hiyo control number ya “ The leak” kumbe ni kampuni hewa

Aiseee huu ni wizi umekithiri sana sana kwenye control number kwa watu waoga na wasio makini wanalipa tuu na unaweza kuwapigia wahusika wakakwambia hakuna shida we lipa tuu haina shida kumbe mtu amepigwa hapo…

Hii nchi ina shida sana
 
Noma sana yani hapo kwenye makampuni ndio watu wanapigwa!
The Tanganyika halafu una kutana na Tanganyika…ukiwa mjinga na haujali basi wewe unalipa tuu bila kujali kumbe unawapa watu hela za bure….

Sasa serikali hapa ndio inatakiwa kuwekeza kwenye kudhibiti wezi kama hawa wanaoweza kutengeneza kampuni hewa na kuipa control number….

Na watanzania tusivyo watu wakujali tunapigwa sana…yani kampuni yako inaitwa “leak” halafu wanakulete control number inayoonesha kampuni inaitwa “The leak” na sisi watanzania tusivyo watu makini na wakuhoji unatakuta mtu analipa kwenye hiyo control number ya “ The leak” kumbe ni kampuni hewa

Aiseee huu ni wizi umekisiri sana sana kwenye control number kwa watu waoga na wasio makini wanalipa tuu na unaweza kuwapigia wahusika wakakwambia hakuna shida we lipa tuu haina shida kumbe mtu amepigwa hapo…

Hii nchi ina shida sana
Watu wanalamba asali wewe tulia kimya

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Noma sana yani hapo kwenye makampuni ndio watu wanapigwa!
The Tanganyika halafu una kutana na Tanganyika…ukiwa mjinga na haujali basi wewe unalipa tuu bila kujali kumbe unawapa watu hela za bure….

Sasa serikali hapa ndio inatakiwa kuwekeza kwenye kudhibiti wezi kama hawa wanaoweza kutengeneza kampuni hewa na kuipa control number….

Na watanzania tusivyo watu wakujali tunapigwa sana…yani kampuni yako inaitwa “leak” halafu wanakulete control number inayoonesha kampuni inaitwa “The leak” na sisi watanzania tusivyo watu makini na wakuhoji unatakuta mtu analipa kwenye hiyo control number ya “ The leak” kumbe ni kampuni hewa

Aiseee huu ni wizi umekisiri sana sana kwenye control number kwa watu waoga na wasio makini wanalipa tuu na unaweza kuwapigia wahusika wakakwambia hakuna shida we lipa tuu haina shida kumbe mtu amepigwa hapo…

Hii nchi ina shida sana
hii kitu kwa sasa iko sehemu nyingi sana!
yaani unapewa control number ya taasisi au shirika la serikali, unalipa lakini kumbe hela inakwenda kwenye mifuko ya wenzetu wajanja wachache!!
 
View attachment 2994308
Msimamo wa kula kwa urefu wa kamba imepata maana mpya na mbaya.
Serikali ikiwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama katika kila mkoa, itaibiwaje kibwege hivi?

Yes, serikali inaibiwa kibwege na wateule walewale wa Rais.
Tumesikia kuwa kule Mbeya mtandao kama huo ulikuwepo.
Hapo tusimung'unye maneno, serikali Awamu ya Sita imeothesha udhaifu mkubwa kiutawala.

Mama Samia atulie ofisini na asimamie wateule wake.
Yale Maburungutu unafikiri yanatoka wapi...Think deeply
 
Huyo dingilai ni chotara ya canada na tz
Ipo pale karatu inabonge ya ghorofa mazeee
Ana mawe, fweza, fubaa hatariiii Sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndio swaga zetu za Chuga Chalii wanguu na mawe yote aliyonayo lkn yuko simple Dingiii.

Angelikuwa ni hawa janjajanja ya mjini tukokomaaa dingi
 
View attachment 2994308
Msimamo wa kula kwa urefu wa kamba imepata maana mpya na mbaya.
Serikali ikiwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama katika kila mkoa, itaibiwaje kibwege hivi?

Yes, serikali inaibiwa kibwege na wateule walewale wa Rais.
Tumesikia kuwa kule Mbeya mtandao kama huo ulikuwepo.
Hapo tusimung'unye maneno, serikali Awamu ya Sita imeothesha udhaifu mkubwa kiutawala.

Mama Samia atulie ofisini na asimamie wateule wake.
Hakuna mwizi hapo...
 

Attachments

  • 5721155-9a49954b187b2277f686215a92d5533b.mp4
    3.3 MB
View attachment 2994308
Msimamo wa kula kwa urefu wa kamba imepata maana mpya na mbaya.
Serikali ikiwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama katika kila mkoa, itaibiwaje kibwege hivi?

Yes, serikali inaibiwa kibwege na wateule walewale wa Rais.
Tumesikia kuwa kule Mbeya mtandao kama huo ulikuwepo.
Hapo tusimung'unye maneno, serikali Awamu ya Sita imeothesha udhaifu mkubwa kiutawala.

Mama Samia atulie ofisini na asimamie wateule wake.
Future ya Tanganyika ni mbaya sana kutokana na kukosa viongozi wenye maono. Nchi inaliwa vibaya sana huku umaskini wa raia ukizidi kutamalaki.
 
Back
Top Bottom