Serikali ina cheka na nyani: Wizi wa kimtandao Arusha inaelekea ni nchi nzima!

Serikali ina cheka na nyani: Wizi wa kimtandao Arusha inaelekea ni nchi nzima!

Noma sana yani hapo kwenye makampuni ndio watu wanapigwa!
The Tanganyika halafu una kutana na Tanganyika…ukiwa mjinga na haujali basi wewe unalipa tuu bila kujali kumbe unawapa watu hela za bure….

Sasa serikali hapa ndio inatakiwa kuwekeza kwenye kudhibiti wezi kama hawa wanaoweza kutengeneza kampuni hewa na kuipa control number….

Na watanzania tusivyo watu wakujali tunapigwa sana…yani kampuni yako inaitwa “leak” halafu wanakulete control number inayoonesha kampuni inaitwa “The leak” na sisi watanzania tusivyo watu makini na wakuhoji unatakuta mtu analipa kwenye hiyo control number ya “ The leak” kumbe ni kampuni hewa

Aiseee huu ni wizi umekisiri sana sana kwenye control number kwa watu waoga na wasio makini wanalipa tuu na unaweza kuwapigia wahusika wakakwambia hakuna shida we lipa tuu haina shida kumbe mtu amepigwa hapo…

Hii nchi ina shida sana
Wizi umekuwa mkubwa maana no checks and balance zinazotskiwa kuwepo.
Mkurugenzi anapiga tu kiroho mbaya.
Isingekuwa huyo mfanyabiashara mzalendo kuibua, serikali imelala tu.
 
hii kitu kwa sasa iko sehemu nyingi sana!
yaani unapewa control number ya taasisi au shirika la serikali, unalipa lakini kumbe hela inakwenda kwenye mifuko ya wenzetu wajanja wachache!!
Me naona kabisa shida ni sisi watanzania ni either hatulipi kodi kuhalali ndio maana hatuwezi kuhoji kama huyo mzee au tunakula nao hao jamaa wa halmashauri!
 
View attachment 2994308
Msimamo wa kula kwa urefu wa kamba imepata maana mpya na mbaya.
Serikali ikiwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama katika kila mkoa, itaibiwaje kibwege hivi?

Yes, serikali inaibiwa kibwege na wateule walewale wa Rais.
Tumesikia kuwa kule Mbeya mtandao kama huo ulikuwepo.
Hapo tusimung'unye maneno, serikali Awamu ya Sita imeothesha udhaifu mkubwa kiutawala.

Mama Samia atulie ofisini na asimamie wateule wake.


Duuh hii kuna issue kubwa serikali itapata madudu mengi kupitia investigation itakayo fanyika, na hii itafungua macho serikali kujua wezi wa kodi za serikali katika sehemu mbali mbali za nchi yetu.

Chambulo ni mfanyabiashara mzalendo sana, na huyo Mkurugenzi ni fisadi anaonekana tu, last time alikuwa na mapete makubwa mikono yote utadhania mganga wa kienyeji, mtumishi wa umma ana mapete makubwa vile vidoleni nilijua kabisa huyo sio kabisa.
 
Aisee mjini ni shule sana.

Acheni tu,watu wanajua sana,haijaanza leo hii.
 
View attachment 2994308
Msimamo wa kula kwa urefu wa kamba imepata maana mpya na mbaya.
Serikali ikiwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama katika kila mkoa, itaibiwaje kibwege hivi?

Yes, serikali inaibiwa kibwege na wateule walewale wa Rais.
Tumesikia kuwa kule Mbeya mtandao kama huo ulikuwepo.
Hapo tusimung'unye maneno, serikali Awamu ya Sita imeothesha udhaifu mkubwa kiutawala.

Mama Samia atulie ofisini na asimamie wateule wake.
Ipitishwe sheria ya kuuwa majizi kama China
 
View attachment 2994308
Msimamo wa kula kwa urefu wa kamba imepata maana mpya na mbaya.
Serikali ikiwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama katika kila mkoa, itaibiwaje kibwege hivi?

Yes, serikali inaibiwa kibwege na wateule walewale wa Rais.
Tumesikia kuwa kule Mbeya mtandao kama huo ulikuwepo.
Hapo tusimung'unye maneno, serikali Awamu ya Sita imeothesha udhaifu mkubwa kiutawala.

Mama Samia atulie ofisini na asimamie wateule wake.
Serikali ya mabwege hutengeneza wezi tu.
 
Noma sana yani hapo kwenye makampuni ndio watu wanapigwa!
The Tanganyika halafu una kutana na Tanganyika…ukiwa mjinga na haujali basi wewe unalipa tuu bila kujali kumbe unawapa watu hela za bure….

Sasa serikali hapa ndio inatakiwa kuwekeza kwenye kudhibiti wezi kama hawa wanaoweza kutengeneza kampuni hewa na kuipa control number….

Na watanzania tusivyo watu wakujali tunapigwa sana…yani kampuni yako inaitwa “leak” halafu wanakulete control number inayoonesha kampuni inaitwa “The leak” na sisi watanzania tusivyo watu makini na wakuhoji unatakuta mtu analipa kwenye hiyo control number ya “ The leak” kumbe ni kampuni hewa

Aiseee huu ni wizi umekithiri sana sana kwenye control number kwa watu waoga na wasio makini wanalipa tuu na unaweza kuwapigia wahusika wakakwambia hakuna shida we lipa tuu haina shida kumbe mtu amepigwa hapo…

Hii nchi ina shida sana
Hivi jamani Kuna mtu humu amewahi ku-scan barcodes za risiti za Jiji,halo ni wizi mtupu!
 
Mama Samia atulie ofisini na asimamie wateule wake.
Yale yale ya siku zote.

Sasa unataka akuonyeshe vipi ndipo utambue kuwa hana uwezo? Hapa unaweka visababu visivyo husiana kabisa na unachokilalamikia. "Atulie ofisini...", kwani hili nalo mpaka akumbushwe au ahimizwe?

Kiongozi afanye nini ndipo ujue kuwa hana uwezo wa kuongoza nchi?

Kazi kila siku kufumbafumba tu, sijui hizi tabia zinatoka wapi?
 
Majizi hayajaanza awamu hii hata Magu walimpiga sana kwa kumsifia sana na walikuwa wanafurahia maisha baadhi yao

Tatizo ni makuzi ya wengi wao, na pia ukikulia umasikini ukaja kuziona ukubwani unachanganyikiwa ila aliekulia kwenye maadili na hela anaona kawaida tu
Sasa mtu anaiba 2b zote alizopewa kwa ajili ya miradi ni mzima huyo au kawehuka kuziona zote hizo
Huwa hamjui kula kidogo kama mlivypambiwa mnalamba zote
Kweli mnataka udikteta wa kuwasweka miaka 30 au kuuwa kabisa
 
Noma sana yani hapo kwenye makampuni ndio watu wanapigwa!
The Tanganyika halafu una kutana na Tanganyika…ukiwa mjinga na haujali basi wewe unalipa tuu bila kujali kumbe unawapa watu hela za bure….

Sasa serikali hapa ndio inatakiwa kuwekeza kwenye kudhibiti wezi kama hawa wanaoweza kutengeneza kampuni hewa na kuipa control number….

Na watanzania tusivyo watu wakujali tunapigwa sana…yani kampuni yako inaitwa “leak” halafu wanakulete control number inayoonesha kampuni inaitwa “The leak” na sisi watanzania tusivyo watu makini na wakuhoji unatakuta mtu analipa kwenye hiyo control number ya “ The leak” kumbe ni kampuni hewa

Aiseee huu ni wizi umekithiri sana sana kwenye control number kwa watu waoga na wasio makini wanalipa tuu na unaweza kuwapigia wahusika wakakwambia hakuna shida we lipa tuu haina shida kumbe mtu amepigwa hapo…

Hii nchi ina shida sana
Kwani si ulisoma POLISI TRAFIC wamekuwa na control number tofauti na za uhalisia na mamilioni yamepigwa kwenda mbele! Yaani wanakuandikia hapo barabarani unaenda kulipia kumbe namba ni za kwao hazipo kwenye system kabisa.

Na ndio maana kunatakiwa mtandao wa kiserikali uwe unasomana!

Na kuwe eneo zote mfano RITA, NIDA, AFYA, LESENI ya Dereva nk kote huko kunatakiwa kusomana.
Hii biashara ya mtu anaenda RITA anaambiwa nenda NIDA yaani kuzungushana na kupotezeana muda.
System ziwe zinasomana tutapunguza kuwasumbua wananchi kutwa barabarani.

NIDA Ile ofisi ni za balaa na hatuelewi wqnachokifanya mle ndani kutoa namba badala ya kadi.
WafanyakaI wenyewe ndio waharibifu wa hili zoezi.
Serikali na hasa mkurugezi na waziri mhusika kaeni na money haya mambo si sahihi. !
 
View attachment 2994308
Msimamo wa kula kwa urefu wa kamba imepata maana mpya na mbaya.
Serikali ikiwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama katika kila mkoa, itaibiwaje kibwege hivi?

Yes, serikali inaibiwa kibwege na wateule walewale wa Rais.
Tumesikia kuwa kule Mbeya mtandao kama huo ulikuwepo.
Hapo tusimung'unye maneno, serikali Awamu ya Sita imeothesha udhaifu mkubwa kiutawala.

Mama Samia atulie ofisini na asimamie wateule wake.
Hivi unajua maana ya neno "Wizi wa Kimtandao"
Huu ukifika bongo, ni kesi kama hizi ndio tutasema "Wizi wa Kimtandao"


View: https://www.youtube.com/watch?v=mCX-Px7H4h4
 
Hakuna mwizi hapo...
Yaani Maza siku hizi Anaonekana kuwa na furaha akiwa njd ya nchi. Akiwa Bongo Anaonekana kuchoka na mwenye mawazo. Hata kuonekana umekuwa ni shida... Anaikimbia hata mikutano ya chama.....!!?
 
Yale yale ya siku zote.

Sasa unataka akuonyeshe vipi ndipo utambue kuwa hana uwezo? Hapa unaweka visababu visivyo husiana kabisa na unachokilalamikia. "Atulie ofisini...", kwani hili nalo mpaka akumbushwe au ahimizwe?

Kiongozi afanye nini ndipo ujue kuwa hana uwezo wa kuongoza nchi?

Kazi kila siku kufumbafumba tu, sijui hizi tabia zinatoka wapi?
Sasa pale juu si ukakae wewe unayejua?
 
Back
Top Bottom