Serikali inahitaji kuingalia Mwanza kwenye miundombinu, ni jiji zuri sana kutembelea

Serikali inahitaji kuingalia Mwanza kwenye miundombinu, ni jiji zuri sana kutembelea

SSEKK The Literally

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2023
Posts
1,134
Reaction score
1,905
Wakuu heshima yenu! Heading inajieleza, mimi ni kati ya wale watanzania waliobahatika kuishi mikoa mingi hapa nchini, kiukweli Nchi yetu kwa kiasi chake imebarikiwa kwa uzuri nimeishi Maeneo kama Lushoto, Moshi, Dodoma, Kahama na Morogoro na nimebahatika kutembelea kwa sana mikoa ya Dar, Arusha, Geita, Mbeya na hata Iringa.

Awamu hii nmetembelea Mwanza kutoka Dodoma ninapoishi kiukwel Mwanza ni kuzuri sana wazee wenzangu Almost the whole city looks nourishing and amazing.

Tatizo kubwa ni Infrastructures hasa kwa maeneo nliyobahatka kufikia kbs (NATIONAL) kuna mtaa unaitwa Mahina aseeh roads ziko very poor & rough mji umepangika vizuri shida ni barabara mbovu hasa kipindi hiki cha bogi ndio kabisa bajaji wanasusa kubeba abiria kisa barabara mbovu.

Kitu kingine ni taa za barabarani Mwanzoni mwa Mji Usagara/ Buhongwa kama sijakosea, Inashangaza sana kuona mji kama Mwanza unakosa taa za barabara tena barabara kuu kbs yakuingia mjini na bado haitoshi barabara nako ni mbovu sijapata kuona sijui Wahusika wa Jiji hili hawaoni wenyeji nao ukiwaeleza wanakwambia tumezoea hvohvo wataweka wakitaka Come on!

Viongozi wa Jiji la Mwanza hii ni aibu kwa Jiji lenu fanyeni kitu ingawa ,jifunzeni hata kwa Dodoma kule sshv sio kama zamani.

NB: Sipo kwa ajili ya kuwananga watu wa Mwanza.
 
mkuu hujafika tarime
mji unafikika kirahisi ktokea popote, iwe arusha unapita mbuga mbili,serengeti na ngorongoro
iwe ni kutokea mwanza ,mabasi ya uhakika ,masafi yenye ushindani wa hali ya juu
karibu tarime pia
hali ya hewa ni kama lushoto na tukuyu
 
Wakuu heshima yenu! Heading inajieleza, mimi ni kati ya wale watanzania waliobahatika kuishi mikoa mingi hapa nchini, kiukweli Nchi yetu kwa kiasi chake imebarikiwa kwa uzuri nimeishi Maeneo kama Lushoto, Moshi, Dodoma, Kahama na Morogoro na nimebahatika kutembelea kwa sana mikoa ya Dar, Arusha, Geita, Mbeya na hata Iringa.

Awamu hii nmetembelea Mwanza kutoka Dodoma ninapoishi kiukwel Mwanza ni kuzuri sana wazee wenzangu Almost the whole city looks nourishing and amazing.

Tatizo kubwa ni Infrastructures hasa kwa maeneo nliyobahatka kufikia kbs (NATIONAL) kuna mtaa unaitwa Mahina aseeh roads ziko very poor & rough mji umepangika vizuri shida ni barabara mbovu hasa kipindi hiki cha bogi ndio kabisa bajaji wanasusa kubeba abiria kisa barabara mbovu.

Kitu kingine ni taa za barabarani Mwanzoni mwa Mji Usagara/ Buhongwa kama sijakosea, Inashangaza sana kuona mji kama Mwanza unakosa taa za barabara tena barabara kuu kbs yakuingia mjini na bado haitoshi barabara nako ni mbovu sijapata kuona sijui Wahusika wa Jiji hili hawaoni wenyeji nao ukiwaeleza wanakwambia tumezoea hvohvo wataweka wakitaka Come on!

Viongozi wa Jiji la Mwanza hii ni aibu kwa Jiji lenu fanyeni kitu ingawa ,jifunzeni hata kwa Dodoma kule sshv sio kama zamani.

NB: Sipo kwa ajili ya kuwananga watu wa Mwanza.
Yule Rais wao wa wanyonge alisema anawajengea daraja ,basi inatosha.

My Take: Shida ya kukosa akili ya kipi kianze na kipi kifuate na walivyojenga hovyo hovyo ndio kabisaa
 
Mwanza imebanwa na serikali kwenye miundo mbinu na hili ni tatizo la kihistoria Hivyo jiji halina kiwanja cha ndege kimataifa barabara njia nne kuingia na kutoka jijini na hata barabara za mitaani ni mashimo matupu.iko shida vinginevyo ni jiji zuri kuishi.
 
Mwanza imebanwa na serikali kwenye miundo mbinu na hili ni tatizo la kihistoria Hivyo jiji halina kiwanja cha ndege kimataifa barabara njia nne kuingia na kutoka jijini na hata barabara za mitaani ni mashimo matupu.iko shida vinginevyo ni jiji zuri kuishi.
Mwanza ni kuzuri kuishi tatzo miundombinu tu.
 
Back
Top Bottom