Serikali inahitaji kuingalia Mwanza kwenye miundombinu, ni jiji zuri sana kutembelea

Serikali inahitaji kuingalia Mwanza kwenye miundombinu, ni jiji zuri sana kutembelea

Wakuu heshima yenu! Heading inajieleza, mimi ni kati ya wale watanzania waliobahatika kuishi mikoa mingi hapa nchini, kiukweli Nchi yetu kwa kiasi chake imebarikiwa kwa uzuri nimeishi Maeneo kama Lushoto, Moshi, Dodoma, Kahama na Morogoro na nimebahatika kutembelea kwa sana mikoa ya Dar, Arusha, Geita, Mbeya na hata Iringa.

Awamu hii nmetembelea Mwanza kutoka Dodoma ninapoishi kiukwel Mwanza ni kuzuri sana wazee wenzangu Almost the whole city looks nourishing and amazing.

Tatizo kubwa ni Infrastructures hasa kwa maeneo nliyobahatka kufikia kbs (NATIONAL) kuna mtaa unaitwa Mahina aseeh roads ziko very poor & rough mji umepangika vizuri shida ni barabara mbovu hasa kipindi hiki cha bogi ndio kabisa bajaji wanasusa kubeba abiria kisa barabara mbovu.

Kitu kingine ni taa za barabarani Mwanzoni mwa Mji Usagara/ Buhongwa kama sijakosea, Inashangaza sana kuona mji kama Mwanza unakosa taa za barabara tena barabara kuu kbs yakuingia mjini na bado haitoshi barabara nako ni mbovu sijapata kuona sijui Wahusika wa Jiji hili hawaoni wenyeji nao ukiwaeleza wanakwambia tumezoea hvohvo wataweka wakitaka Come on!

Viongozi wa Jiji la Mwanza hii ni aibu kwa Jiji lenu fanyeni kitu ingawa ,jifunzeni hata kwa Dodoma kule sshv sio kama zamani.

NB: Sipo kwa ajili ya kuwananga watu wa Mwanza.
vipi mkuu kuhusu chattle ,miundombinu ikoje?
 
Wewe Kwa akili Yako mbovu,Mwanza ilihitaji Hilo daraja zaidi ya Barabara za kufungua Jiji Mitaani? 😂😂

Kapiteni Sasa mnamlalamikia nani? Focus ya Serikali ni Dar,Dom na kiasi Kwa Arusha.

Bil.700 zilitosha kuweka lami Kila mtaa hapo Mwanza zaidi ya km 500 Mjini zingebadili taswira ya Jiji ila kuweka kadaraja 1 tena Kijijini huko ni useless.
Point yako nmeielewa mkuu kwa barabara zile bora tu raia wangeendelea kutumia ferry na hizo pesa wakajenga infrastructures za roads Jiji lingewaka sana tofaut na sshv barabara za mtaa zinakera san Mwanza aseeh zinatia hasira.
 
Point yako nmeielewa mkuu kwa barabara zile bora tu raia wangeendelea kutumia ferry na hizo pesa wakajenga infrastructures za roads Jiji lingewaka sana tofaut na sshv barabara za mtaa zinakera san Mwanza aseeh zinatia hasira.
Hiyo ndio point yangu na invebadili taswira nzima ya Jiji la Mwanza na kuwa Mji wa Kisasa then Hilo la Daraja ndio lingefuta let say kuanzia 2030 huko
 
manthari ya ziwa victoria yameipendezesha imagine mbeya mjini kungekuwa matema beach.
Ungevutia mji wowote uliopo kando ya bahari, ziwa na mto kuna kitu kinaongeza uzuri.
Miji kama Tanga,Mtwara,Linda ingejengwa kama Mwanza ingepunguza msongamano wa watu Dar
 
Mwanza iko vizuri sana ttzo ndio hivyo miundo mbinu..stendi za mabasi nyamongoro na nyegezi ni nzuri kuliko airport dah
 
Wakuu heshima yenu! Heading inajieleza, mimi ni kati ya wale watanzania waliobahatika kuishi mikoa mingi hapa nchini, kiukweli Nchi yetu kwa kiasi chake imebarikiwa kwa uzuri nimeishi Maeneo kama Lushoto, Moshi, Dodoma, Kahama na Morogoro na nimebahatika kutembelea kwa sana mikoa ya Dar, Arusha, Geita, Mbeya na hata Iringa.

Awamu hii nmetembelea Mwanza kutoka Dodoma ninapoishi kiukwel Mwanza ni kuzuri sana wazee wenzangu Almost the whole city looks nourishing and amazing.

Tatizo kubwa ni Infrastructures hasa kwa maeneo nliyobahatka kufikia kbs (NATIONAL) kuna mtaa unaitwa Mahina aseeh roads ziko very poor & rough mji umepangika vizuri shida ni barabara mbovu hasa kipindi hiki cha bogi ndio kabisa bajaji wanasusa kubeba abiria kisa barabara mbovu.

Kitu kingine ni taa za barabarani Mwanzoni mwa Mji Usagara/ Buhongwa kama sijakosea, Inashangaza sana kuona mji kama Mwanza unakosa taa za barabara tena barabara kuu kbs yakuingia mjini na bado haitoshi barabara nako ni mbovu sijapata kuona sijui Wahusika wa Jiji hili hawaoni wenyeji nao ukiwaeleza wanakwambia tumezoea hvohvo wataweka wakitaka Come on!

Viongozi wa Jiji la Mwanza hii ni aibu kwa Jiji lenu fanyeni kitu ingawa ,jifunzeni hata kwa Dodoma kule sshv sio kama zamani.

NB: Sipo kwa ajili ya kuwananga watu wa Mwanza.
 
Hii barabara ya Buzuruga Hadi Kona ya Bwiru na Kiloleli taa haziwaki Manispaa inakusanya fedha tu daily inapeleka wapi? DED Ilemela ajitathmini na Kuna barabara ya Nyasaka kanisani kwenda miti mirefu kupitia Nyamhuge ofisi ya mtaa nayo ni barabara kubwa ya kuunga kata 3 yaani Nyasaka,Buzuruga na Mabatini haipitiki Kwa gari hata boda zinapita kwa kibishi na kina sehemu hazipiti kabisa ni suala la greda kupita na kuweka miundo mbinu sawa kuchonga na kutengeneza mitaro,DED Ilemela na wataalam wako msikae na kujifungua tu ofisini pls
 
Mwanza iko vizuri sana ttzo ndio hivyo miundo mbinu..stendi za mabasi nyamongoro na nyegezi ni nzuri kuliko airport dah
Shida nyingine kubwa ni Uwanja wa ndege Zero kabisa. Tutaonana 2025.
 
Wakuu heshima yenu! Heading inajieleza, mimi ni kati ya wale watanzania waliobahatika kuishi mikoa mingi hapa nchini, kiukweli Nchi yetu kwa kiasi chake imebarikiwa kwa uzuri nimeishi Maeneo kama Lushoto, Moshi, Dodoma, Kahama na Morogoro na nimebahatika kutembelea kwa sana mikoa ya Dar, Arusha, Geita, Mbeya na hata Iringa.

Awamu hii nmetembelea Mwanza kutoka Dodoma ninapoishi kiukwel Mwanza ni kuzuri sana wazee wenzangu Almost the whole city looks nourishing and amazing.

Tatizo kubwa ni Infrastructures hasa kwa maeneo nliyobahatka kufikia kbs (NATIONAL) kuna mtaa unaitwa Mahina aseeh roads ziko very poor & rough mji umepangika vizuri shida ni barabara mbovu hasa kipindi hiki cha bogi ndio kabisa bajaji wanasusa kubeba abiria kisa barabara mbovu.

Kitu kingine ni taa za barabarani Mwanzoni mwa Mji Usagara/ Buhongwa kama sijakosea, Inashangaza sana kuona mji kama Mwanza unakosa taa za barabara tena barabara kuu kbs yakuingia mjini na bado haitoshi barabara nako ni mbovu sijapata kuona sijui Wahusika wa Jiji hili hawaoni wenyeji nao ukiwaeleza wanakwambia tumezoea hvohvo wataweka wakitaka Come on!

Viongozi wa Jiji la Mwanza hii ni aibu kwa Jiji lenu fanyeni kitu ingawa ,jifunzeni hata kwa Dodoma kule sshv sio kama zamani.

NB: Sipo kwa ajili ya kuwananga watu wa Mwanza.
Pamoja na yote ila jiji ni chafu sana

Mtu akiwa masikini basi ajitahidi hata kuoga
 
Wakuu heshima yenu! Heading inajieleza, mimi ni kati ya wale watanzania waliobahatika kuishi mikoa mingi hapa nchini, kiukweli Nchi yetu kwa kiasi chake imebarikiwa kwa uzuri nimeishi Maeneo kama Lushoto, Moshi, Dodoma, Kahama na Morogoro na nimebahatika kutembelea kwa sana mikoa ya Dar, Arusha, Geita, Mbeya na hata Iringa.

Awamu hii nmetembelea Mwanza kutoka Dodoma ninapoishi kiukwel Mwanza ni kuzuri sana wazee wenzangu Almost the whole city looks nourishing and amazing.

Tatizo kubwa ni Infrastructures hasa kwa maeneo nliyobahatka kufikia kbs (NATIONAL) kuna mtaa unaitwa Mahina aseeh roads ziko very poor & rough mji umepangika vizuri shida ni barabara mbovu hasa kipindi hiki cha bogi ndio kabisa bajaji wanasusa kubeba abiria kisa barabara mbovu.

Kitu kingine ni taa za barabarani Mwanzoni mwa Mji Usagara/ Buhongwa kama sijakosea, Inashangaza sana kuona mji kama Mwanza unakosa taa za barabara tena barabara kuu kbs yakuingia mjini na bado haitoshi barabara nako ni mbovu sijapata kuona sijui Wahusika wa Jiji hili hawaoni wenyeji nao ukiwaeleza wanakwambia tumezoea hvohvo wataweka wakitaka Come on!

Viongozi wa Jiji la Mwanza hii ni aibu kwa Jiji lenu fanyeni kitu ingawa ,jifunzeni hata kwa Dodoma kule sshv sio kama zamani.

NB: Sipo kwa ajili ya kuwananga watu wa Mwanza.
Yaah ninkweli mm pia last year ndio ilikuwa mara ya kwanza kufika mwanza nilishangaa jiji kubwa tu na nzuri sana ila nyumba zao hazina mpangilio ila ni jiji kubwa sana huwezi kufananisha na arusha
 
Bugando-Mahina-Igoma
Ingepunguza jam .

Mecco-Kangaye-Buswelu
Ingepunguza jam.

Mkuyuni-Kanyerere-Igoma

Voil-Igogo-Bugando-Nata
Ingepunguza jam.

Hizo barabara ni mbovu sana
 
Back
Top Bottom