Serikali inahitaji kuingalia Mwanza kwenye miundombinu, ni jiji zuri sana kutembelea

Serikali inahitaji kuingalia Mwanza kwenye miundombinu, ni jiji zuri sana kutembelea

Wakuu heshima yenu! Heading inajieleza, mimi ni kati ya wale watanzania waliobahatika kuishi mikoa mingi hapa nchini, kiukweli Nchi yetu kwa kiasi chake imebarikiwa kwa uzuri nimeishi Maeneo kama Lushoto, Moshi, Dodoma, Kahama na Morogoro na nimebahatika kutembelea kwa sana mikoa ya Dar, Arusha, Geita, Mbeya na hata Iringa.

Awamu hii nmetembelea Mwanza kutoka Dodoma ninapoishi kiukwel Mwanza ni kuzuri sana wazee wenzangu Almost the whole city looks nourishing and amazing.

Tatizo kubwa ni Infrastructures hasa kwa maeneo nliyobahatka kufikia kbs (NATIONAL) kuna mtaa unaitwa Mahina aseeh roads ziko very poor & rough mji umepangika vizuri shida ni barabara mbovu hasa kipindi hiki cha bogi ndio kabisa bajaji wanasusa kubeba abiria kisa barabara mbovu.

Kitu kingine ni taa za barabarani Mwanzoni mwa Mji Usagara/ Buhongwa kama sijakosea, Inashangaza sana kuona mji kama Mwanza unakosa taa za barabara tena barabara kuu kbs yakuingia mjini na bado haitoshi barabara nako ni mbovu sijapata kuona sijui Wahusika wa Jiji hili hawaoni wenyeji nao ukiwaeleza wanakwambia tumezoea hvohvo wataweka wakitaka Come on!

Viongozi wa Jiji la Mwanza hii ni aibu kwa Jiji lenu fanyeni kitu ingawa ,jifunzeni hata kwa Dodoma kule sshv sio kama zamani.

NB: Sipo kwa ajili ya kuwananga watu wa Mwanza.
Wasukuma ukiwawekea taa si watakua wanalipishwa kuzitumia? Imagine kuna mwamba alikua analipisha kuangalia zile billboard za TV....
 
Mwanza inafanyiwa figisu sana, ila haijawahi kuiangusha serikali kwenye mapato, sasa unajiuliza ikiendelezwa itakuwaje?

Jiji la Mwanza likipewa hayo yote iliyopewa Dodoma na ikajengwa vizuri, basi itavunja rekodi nyingi sana. Ni basi tu wanaichukulia poa sana.
Uko sahihi mkuu ila kumbuka Dodoma ni Capital city kwhivyo ni haki yke kupata vyote ilivyonavyo sshv, Karibu sana Dom mzee.
 
Kulikuwa na bado kuna umakusudi wa serikali kutelekeza miji yote ya kanda ya ziwa! Utajiri wa kila aina uliojaa kanda ya ziwa na idadi kubwa ya watu kuwa huko kunawapa serikali hofu kwamba wakipaendeleza huenda miji /mikoa mingine ikabaki tupu.

Mwanza mathalani, ni jiji la pili kwa ukubwa kwa kila kitu including mapato. Lakini pesa inakusanywa inaenda kujenga Dar ( ambayo tayari kuna gateways mbili za bandari na airport kuu).

Jiji la mwanza kimsingi linajijenga, kama mzawa japo siishi huko hivi sasa, sijawahi kuona juhudi yoyote ya serikali zaidi ya politics za kutafuta kura. Ukienda kagera napo kwa sababu pengine ya kuwa na wasomi wengi sana hasa nyakati za mwanzo wa uhuru, Nyerere alikusudia kwa makusudi kudhohofisha mkoa huo kwa kutopeleka maendeleo yoyote na hata wasomi hao kupelekeshwa puta katika usalama wa Taifa ili kuchunguzana (mtego ambao wakwe zangu wachaga walistukia) baada ya kuona yanayoendelea Kagera.

Siku moja mikoa yote ya kaskazini (North East na Nortwest) Kagera, Geita, Mara, Mwanza, Arusha,Shinyanga na Kilimanjaro inapaswa kudai uhuru wao na kuanzisha Taifa huru kwasababu wananyonywa mno.!

Madini yote ya nchi hii yanatoka huko, sijataja mbuga za wanyama lakini Takwinu zinatueleza ati watu wa chini ya dollar moja wengi wanatoka huko. Dharau mbaya sana hii.
 
Kulikuwa na bado kuna umakusudi wa serikali kutelekeza miji yote ya kanda ya ziwa! Utajiri wa kila aina uliojaa kanda ya ziwa na idadi kubwa ya watu kuwa huko kunawapa serikali hofu kwamba wakipaendeleza huenda miji /mikoa mingine ikabaki tupu.

Mwanza mathalani, ni jiji la pili kwa ukubwa kwa kila kitu including mapato. Lakini pesa inakusanywa inaenda kujenga Dar ( ambayo tayari kuna gateways mbili za bandari na airport kuu).

Jiji la mwanza kimsingi linajijenga, kama mzawa japo siishi huko hivi sasa, sijawahi kuona juhudi yoyote ya serikali zaidi ya politics za kutafuta kura. Ukienda kagera napo kwa sababu pengine ya kuwa na wasomi wengi sana hasa nyakati za mwanzo wa uhuru, Nyerere alikusudia kwa makusudi kudhohofisha mkoa huo kwa kutopeleka maendeleo yoyote na hata wasomi hao kupelekeshwa puta katika usalama wa Taifa ili kuchunguzana (mtego ambao wakwe zangu wachaga walistukia) baada ya kuona yanayoendelea Kagera.

Siku moja mikoa yote ya kaskazini (North East na Nortwest) Kagera, Geita, Mara, Mwanza, Arusha,Shinyanga na Kilimanjaro inapaswa kudai uhuru wao na kuanzisha Taifa huru kwasababu wananyonywa mno.!

Madini yote ya nchi hii yanatoka huko, sijataja mbuga za wanyama lakini Takwinu zinatueleza ati watu wa chini ya dollar moja wengi wanatoka huko. Dharau mbaya sana hii.
Kwahiyo serikali ikiwanyonya hizo hela inapeleka mikoa gani?
 
Punguza ushamba na utoto mkuu uzi wangu sio wakuwanangia watu, mm n mtu mzima najiheshimu na ninaheshimu kila mtu na kabila lake....!
Ungekua mtu unayejiheshimu usingeniita mshamba na mtoto.

Ukishaweka uzi JF sio wako ni wa JF hutupangii cha kujibu. Wewe umewaza miundombinu wengine tunawaza matukio.

Chilax na enjoy JF.
 
Back
Top Bottom