SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
- Thread starter
- #21
Nko National mkuu, situmii bia napga wine tu.Upo mwanza sehemu gani ndugu tupate bia mbili tatu halafu nkuuzie simu kama utapendezwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nko National mkuu, situmii bia napga wine tu.Upo mwanza sehemu gani ndugu tupate bia mbili tatu halafu nkuuzie simu kama utapendezwa
Hili ni tatizo la takribani nchi nzima, miundombinu yetu ni ovyo sanaMwanza ni kuzuri ila Miundombinu ndio ya hovyo kwenye lile Jiji.
Wasukuma ukiwawekea taa si watakua wanalipishwa kuzitumia? Imagine kuna mwamba alikua analipisha kuangalia zile billboard za TV....Wakuu heshima yenu! Heading inajieleza, mimi ni kati ya wale watanzania waliobahatika kuishi mikoa mingi hapa nchini, kiukweli Nchi yetu kwa kiasi chake imebarikiwa kwa uzuri nimeishi Maeneo kama Lushoto, Moshi, Dodoma, Kahama na Morogoro na nimebahatika kutembelea kwa sana mikoa ya Dar, Arusha, Geita, Mbeya na hata Iringa.
Awamu hii nmetembelea Mwanza kutoka Dodoma ninapoishi kiukwel Mwanza ni kuzuri sana wazee wenzangu Almost the whole city looks nourishing and amazing.
Tatizo kubwa ni Infrastructures hasa kwa maeneo nliyobahatka kufikia kbs (NATIONAL) kuna mtaa unaitwa Mahina aseeh roads ziko very poor & rough mji umepangika vizuri shida ni barabara mbovu hasa kipindi hiki cha bogi ndio kabisa bajaji wanasusa kubeba abiria kisa barabara mbovu.
Kitu kingine ni taa za barabarani Mwanzoni mwa Mji Usagara/ Buhongwa kama sijakosea, Inashangaza sana kuona mji kama Mwanza unakosa taa za barabara tena barabara kuu kbs yakuingia mjini na bado haitoshi barabara nako ni mbovu sijapata kuona sijui Wahusika wa Jiji hili hawaoni wenyeji nao ukiwaeleza wanakwambia tumezoea hvohvo wataweka wakitaka Come on!
Viongozi wa Jiji la Mwanza hii ni aibu kwa Jiji lenu fanyeni kitu ingawa ,jifunzeni hata kwa Dodoma kule sshv sio kama zamani.
NB: Sipo kwa ajili ya kuwananga watu wa Mwanza.
Iko siku nitafka mkuu Inshaallah.mkuu hujafika tarime
mji unafikika kirahisi ktokea popote, iwe arusha unapita mbuga mbili,serengeti na ngorongoro
iwe ni kutokea mwanza ,mabasi ya uhakika ,masafi yenye ushindani wa hali ya juu
karibu tarime pia
hali ya hewa ni kama lushoto na tukuyu
Punguza ushamba na utoto mkuu uzi wangu sio wakuwanangia watu, mm n mtu mzima najiheshimu na ninaheshimu kila mtu na kabila lake....!Wasukuma ukiwawekea taa si watakua wanalipishwa kuzitumia? Imagine kuna mwamba alikua analipisha kuangalia zile billboard za TV....
Uko sahihi mkuu ila kumbuka Dodoma ni Capital city kwhivyo ni haki yke kupata vyote ilivyonavyo sshv, Karibu sana Dom mzee.Mwanza inafanyiwa figisu sana, ila haijawahi kuiangusha serikali kwenye mapato, sasa unajiuliza ikiendelezwa itakuwaje?
Jiji la Mwanza likipewa hayo yote iliyopewa Dodoma na ikajengwa vizuri, basi itavunja rekodi nyingi sana. Ni basi tu wanaichukulia poa sana.
Dom ni nyumbani mkuu, asante karibu tuchome nyama MsalatoUko sahihi mkuu ila kumbuka Dodoma ni Capital city kwhivyo ni haki yke kupata vyote ilivyonavyo sshv, Karibu sana Dom mzee.
Kwahiyo serikali ikiwanyonya hizo hela inapeleka mikoa gani?Kulikuwa na bado kuna umakusudi wa serikali kutelekeza miji yote ya kanda ya ziwa! Utajiri wa kila aina uliojaa kanda ya ziwa na idadi kubwa ya watu kuwa huko kunawapa serikali hofu kwamba wakipaendeleza huenda miji /mikoa mingine ikabaki tupu.
Mwanza mathalani, ni jiji la pili kwa ukubwa kwa kila kitu including mapato. Lakini pesa inakusanywa inaenda kujenga Dar ( ambayo tayari kuna gateways mbili za bandari na airport kuu).
Jiji la mwanza kimsingi linajijenga, kama mzawa japo siishi huko hivi sasa, sijawahi kuona juhudi yoyote ya serikali zaidi ya politics za kutafuta kura. Ukienda kagera napo kwa sababu pengine ya kuwa na wasomi wengi sana hasa nyakati za mwanzo wa uhuru, Nyerere alikusudia kwa makusudi kudhohofisha mkoa huo kwa kutopeleka maendeleo yoyote na hata wasomi hao kupelekeshwa puta katika usalama wa Taifa ili kuchunguzana (mtego ambao wakwe zangu wachaga walistukia) baada ya kuona yanayoendelea Kagera.
Siku moja mikoa yote ya kaskazini (North East na Nortwest) Kagera, Geita, Mara, Mwanza, Arusha,Shinyanga na Kilimanjaro inapaswa kudai uhuru wao na kuanzisha Taifa huru kwasababu wananyonywa mno.!
Madini yote ya nchi hii yanatoka huko, sijataja mbuga za wanyama lakini Takwinu zinatueleza ati watu wa chini ya dollar moja wengi wanatoka huko. Dharau mbaya sana hii.
Hakuna sehemu wanapeleka hata hapa Dar kero tu! Uchafu kila kona miundombinu mibovu nk!Kwahiyo serikali ikiwanyonya hizo hela inapeleka mikoa gani?
Vita ni vita mura!mkuu hujafika tarime
mji unafikika kirahisi ktokea popote, iwe arusha unapita mbuga mbili,serengeti na ngorongoro
iwe ni kutokea mwanza ,mabasi ya uhakika ,masafi yenye ushindani wa hali ya juu
karibu tarime pia
hali ya hewa ni kama lushoto na tukuyu
Ungekua mtu unayejiheshimu usingeniita mshamba na mtoto.Punguza ushamba na utoto mkuu uzi wangu sio wakuwanangia watu, mm n mtu mzima najiheshimu na ninaheshimu kila mtu na kabila lake....!
Ila kweli kwa billion 700 wangejenga double roads za kufa mtu hapo mwanza East africa nzima wangeeiimba mwanzaYule Rais wao wa wanyonge alisema anawajengea daraja ,basi inatosha.
My Take: Shida ya kukosa akili ya kipi kianze na kipi kifuate na walivyojenga hovyo hovyo ndio kabisaa
Yule Rais wao hakuwa na Akili.Hizo.pesa zingefumua Jiji zima na lingevutia sana hata biasharaIla kweli kwa billion 700 wangejenga double roads za kufa mtu hapo mwanza East africa nzima wangeeiimba mwanza
Clinton aliwaingiza chaka wakajaaa 😄Africa hii kuna geneva ukweli kile kimji kilichojaa mateja na wavuta bangi, vibaka ndiyo waita Geneva
Umebana nini?Mji wenyewe umebana balaa, Poor mwanza.