Nasubiri ulazwe nije nikusabahiSubiri ipite na dingi ako ndiyo utajua kama ni uongo ama kweli, tuache utani watu wamelazwa kibao sasahivi
Uingereza asilimia ya waliopata chanjo ni ngapi, Tanzania ni ngapi?Jana ilikuwa final za Euro 2020, 95%ya mashabiki wameingia uwanjani bila barakoa, chini za wenzetu wanaona haya mambo ya barakoa ni UPUUZI, England imetanganza from 19th July hamna haja ya Barakoa
View attachment 1850369View attachment 1850371
Sasa serikali ya Mama Samia kila siku mabarakoa na kuwatia watu hofu
Nawashukuru watanzania wengi wamepuuzia kuvaa haya mabarakoa
Sasa nashangaa mkuu wa mkoa dodoma kulazimisha watu kuvaa haya mabarakao
View attachment 1850376
Mkuu samahani, MaCCM hayatapeleka hiyo pesa ikasadie watu, sasa maanake nini , acha tu tukose wote. Sisi wanyonge kufa na wao kosa pesa.Subiri ipite na dingi ako ndiyo utajua kama ni uongo ama kweli, tuache utani watu wamelazwa kibao sasahivi
Sina udungu na weweNasubiri ulazwe nije nikusabahi
Hawawezi kukosa pesa ipo wanaipiga vizuri sn, kodi si tunalipa?Mkuu samahani, MaCCM hayatapeleka hiyo pesa ikasadie watu, sasa maanake nini , acha tu tukose wote. Sisi wanyonge kufa na wao kosa pesa.
”sisi kosa na wao kosa” ubaya ubaya tu.!
😂😂😂 Nataka nikuone ukifanyiwa kipimo cha haja kubwaSina udungu na wewe
34M vaccinated and 36M not vaccinatedUingereza asilimia ya waliopata chanjo ni ngapi, Tanzania ni ngapi?
Umeona eeehPesa tu hapo inatakiwa, watu wazunguke na ving’ora , watukane wapinzani.
Umemuuliza swali gumu sana huyu mpiga porojo.Uingereza asilimia ya waliopata chanjo ni ngapi, Tanzania ni ngapi?
Mkuu,akikujibu nitag,Uingereza asilimia ya waliopata chanjo ni ngapi, Tanzania ni ngapi?
Nimejibu hapo juuMkuu,akikujibu nitag,
Mleta mada anafikiri UK wamefikia maamuzi hayo kwa kukurupuka,sijui akili za wapi hizi aisee.
Umemuuliza swali gumu sana huyu mpiga porojo.