- Thread starter
- #21
Nani kakwambia wamechajwa wote?Mkuu,akikujibu nitag,
Mleta mada anafikiri UK wamefikia maamuzi hayo kwa kukurupuka,sijui akili za wapi hizi aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia wamechajwa wote?Mkuu,akikujibu nitag,
Mleta mada anafikiri UK wamefikia maamuzi hayo kwa kukurupuka,sijui akili za wapi hizi aisee.
Umelielewa swali uliloulizwa lakini?Nimejibu hapo juu
Nani kasema wamechanjwa wote?Nani kakwambia wamechajwa wote?
Hizo za Tanzania au Uingereza?34M vaccinated and 36M not vaccinated
Kuwa vaccinated sio kigezo, mbona wameambiwa wote hukuna mambo ya barakoa
Mambo ya barakoa ya kipuuzi tu
Sawa kiongozi nimekuelewa, acha wapewe hiyo pesa wazunguke nchi nzima watutukane.Hawawezi kukosa pesa ipo wanaipiga vizuri sn, kodi si tunalipa?
Nchi ni mali yao acha wapige pesa mkuuSawa kiongozi nimekuelewa, acha wapewe hiyo pesa wazunguke nchi nzima watutukane.
Mambo ya barakoa ni mambo ya kipuuzi kabisa, tunatiana hofu tuSubiri ipite na dingi ako ndiyo utajua kama ni uongo ama kweli, tuache utani watu wamelazwa kibao sasahivi
Umelazimishwa kuvaa?Mambo ya barakoa ni mambo ya kipuuzi kabisa, tunatiana hofu tu
Je who inasema ukichajwa unavua mask?Hizo za Tanzania au Uingereza?
Tanzania asilimia ya waliochanjwa ni ngapi na Uingereza ni ngapi?
Chanjo hata kwa bunduki sichomiWenzako wameshapata chanjo wewe
Hii ni hoja dhaifu, kuchanjwa sio solution ya corona, kikubwa ni kuachana na kutiana hofu, serikali saiv mnatutisha mno, huu ugonjwa ni kama magonjwa mengine sema viongozi mnaukuza mno!!! Mm nilishasema sivai mabarakoa yenu hayoUingereza asilimia ya waliopata chanjo ni ngapi, Tanzania ni ngapi?
Safi kabisa wewe una akili sanaChanjo hata kwa bunduki sichomi
Huo utumwa sitaki
Chanjo ni hiari..Chanjo hata kwa bunduki sichomi
Huo utumwa sitaki
Hata wakileta hiyo chanjo watachanjwa wao ila mimi sichanjwiWaharakishe izo chanjo tu, haya mambo ya kutishana sio poa. Serikali ni moja ile ile ya ccm ila haieleweki mara corona ipo mara tena haipo.
Walete chanjo tu watu wachanjwe maisha yaendelee kama zamani ila wakianza tu kuleta siasa, tutaishi kama wakimbizi nchini kwetu.
Wewe unafikiri asingekufa na Covid malaria isingemua???? Au angeishi milele??? TusitishaneCovid IPO mkuu tumepoteza jamaa yetu bado Kijana kabisa labda haijagusa upande wako wa jamaa zako
Kwa hiyo kama WHO haijasema ukichanjwa unavua mask maana yake imesema usipochanjwa usivae mask?Je who inasema ukichajwa unavua mask?
Mbona waliochajwa hawatakia kusikia viziba mdomo?
Nakwambia hivi, kuchanjwa ndiko kumewawezesha Waingereza kupata nafuu mpaka kuona hawahitaji barakoa.Hii ni hoja dhaifu, kuchanjwa sio solution ya corona, kikubwa ni kuachana na kutiana hofu, serikali saiv mnatutisha mno, huu ugonjwa ni kama magonjwa mengine sema viongozi mnaukuza mno!!! Mm nilishasema sivai mabarakoa yenu hayo