#COVID19 Serikali inatudanganya kuhusu Corona au ni siasa za kuomba hela IMF na Europian Union?

#COVID19 Serikali inatudanganya kuhusu Corona au ni siasa za kuomba hela IMF na Europian Union?

Umemuuliza swali gumu sana huyu mpiga porojo.
Mkuu,

Swali unaweza kuliona gumu wewe kwa sababu unatumia mantiki, akaja mtu anayetumia emotion kashalishwa fake news, akaliona rahisi sana akakushangaa kwa nini wewe unaliona gumu.
 
Hii ni hoja dhaifu, kuchanjwa sio solution ya corona, kikubwa ni kuachana na kutiana hofu, serikali saiv mnatutisha mno, huu ugonjwa ni kama magonjwa mengine sema viongozi mnaukuza mno!!! Mm nilishasema sivai mabarakoa yenu hayo
Vipi kuhusu Aids watu wanavyo ambiwa kutumia kinga "Condoms" yenyewe sio kutishana?
Umewahi kusema "Sivai hizo condom zenu?"
 
Corona ipo na ni ugonjwa wavkawaida sema kinachofanyika ni kutisha watu tu..Watu wengi wanafata tu mkumbo na kuimbishwa kolasi ya corona tu!!
Ila ukweli ni kwamba huu ugonjwa ni wakawaida kama magonjwa mengne.
Wengi wanakufa kwa presha yaan hofu tu na sio corona.
Serikali inafanya siasa tu ili kupata mikopo. Hawana lolote.. sitovaa barakoa hata watutishe vp kila mtu atumie njia zake kujilinda,

Hivi kwa akili ya kawaida hiyo covid 19 iliyopo huko magharibi inayoua watu ingekua hapa bongo tungesalimika? Angalia maisha tunayoishi angalieni masokon watu hawana barakoa wala hawanawi mikono yaan tunaishi kawaida kabisa... angalie daladala au mwendokas watu hawana habari kabisa.. hata huku mtaani sijasikia habar za corona sjui mtu kafa au anaumwa yaan kiufupi ni siasa tu
 
Jana ilikuwa final za Euro 2020, 95%ya mashabiki wameingia uwanjani bila barakoa, chini za wenzetu wanaona haya mambo ya barakoa ni UPUUZI, England imetanganza from 19th July hamna haja ya Barakoa

View attachment 1850369View attachment 1850371



Sasa serikali ya Mama Samia kila siku mabarakoa na kuwatia watu hofu


Nawashukuru watanzania wengi wamepuuzia kuvaa haya mabarakoa

Sasa nashangaa mkuu wa mkoa dodoma kulazimisha watu kuvaa haya mabarakao
View attachment 1850376

Bila shaka kwa mtazamo wa mijamaa fulani serikali isiyodanganya ni ya mfalme jiwe peke yake.

"Hiyo ndiyo iliyo kuwa ikiusema ure ukweri!"
 
Subiri ipite na dingi ako ndiyo utajua kama ni uongo ama kweli, tuache utani watu wamelazwa kibao sasahivi
Tangu ianze kutangazwa hapa nilpo sijawah shuhudia mtu anaumwa zaid katika media.
 
Korona ni upuuzi tu, acheni kudemka na maradhi ya wazungu nyie sio mabloila.[emoji276]
 
Mkuu,akikujibu nitag,
Mleta mada anafikiri UK wamefikia maamuzi hayo kwa kukurupuka,sijui akili za wapi hizi aisee.
Kwani chanjo inazuia covid 19 wewe bwege? Chanjo ya Corona ipo miaka yote kama hujui wazee wa Ulaya na Marekani huwa wanachanjwa kila mwaka kuzuia corona kwa maana nyingine ni mafua. Kapigwe chanjo na wewe mkuu.
 
Kwani chanjo inazuia covid 19 wewe bwege? Chanjo ya Corona ipo miaka yote kama hujui wazee wa Ulaya na Marekani huwa wanachanjwa kila mwaka kuzuia corona kwa maana nyingine ni mafua. Kapigwe chanjo na wewe mkuu.
Bwege ni wewe boya usiye na akili,naona unakata viuno tu kwenye hii thd,hii thd inahusu maisha ya watu,hivyo viuno kakate huko kwenye singeli mpaka ukate shanga za kiunoni,umesikia wewe boya?
 
Bwege ni wewe boya usiye na akili,naona unakata viuno tu kwenye hii thd,hii thd inahusu maisha ya watu,hivyo viuno kakate huko kwenye singeli mpaka ukate shanga za kiunoni,umesikia wewe boya?
Nimesikia mkuu bwege!
 
Hakika mwaka huu hautaisha bila kuthibitisha mwenyewe kuwa korona kweli ipo
 
Ma
Jana ilikuwa final za Euro 2020, 95%ya mashabiki wameingia uwanjani bila barakoa, chini za wenzetu wanaona haya mambo ya barakoa ni UPUUZI, England imetanganza from 19th July hamna haja ya Barakoa

View attachment 1850369View attachment 1850371



Sasa serikali ya Mama Samia kila siku mabarakoa na kuwatia watu hofu


Nawashukuru watanzania wengi wamepuuzia kuvaa haya mabarakoa

Sasa nashangaa mkuu wa mkoa dodoma kulazimisha watu kuvaa haya mabarakao
View attachment 1850376
Magufuli alikuwa anawaweza Hawa manyang'au kila hila walizokuwa wanazipanga alizijua mapema nadhan wazungu hawatamsahau aisee
 
Back
Top Bottom