Waliilazimisha Corona ije imegoma sanasana inaenda nao waliochanjwa wafanyabiashara na watu mashuhuri.
vijijini hawavai barakoa,wanaona wakubwa kwenye TV wamevaa mivitambaa mikubwa mdomoni utafikiri mabakuli.
Chanjo nayo watu wameigomea laki tatu kwa milioni 60.
Na maisha yanaenda,mleta mada ulikuwa sahihi,ni kutaka fedha ya mzungu.
vijijini hawavai barakoa,wanaona wakubwa kwenye TV wamevaa mivitambaa mikubwa mdomoni utafikiri mabakuli.
Chanjo nayo watu wameigomea laki tatu kwa milioni 60.
Na maisha yanaenda,mleta mada ulikuwa sahihi,ni kutaka fedha ya mzungu.